MTOTO WA MATUMLA KUMVAA MKOREA MACHI 27
. Bondia mkongwe nchini Rashid Matumla, kutoka kushoto, Mohamed Matumla, Japhet Kaseba na Rais wa (TPBO), Yassin Abdallah 'Ustaadh' katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani). Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Rais wa TPBO, Yassin Abdallah 'Ustaadh'. BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini Mohamed Matumla Jr ambaye ni mtoto wa gwiji wa zamani wa mchezo huo, Rashid Matumla ‘Snake...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ICEicGOxRiE/VZr-iMCo2iI/AAAAAAAAECY/jn9TU3EJSeA/s72-c/SHARI%2Bcopy.jpg)
BONDIA MOHAMED MATUMLA KUMVAA KOBA DONATI IDI PILI BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ICEicGOxRiE/VZr-iMCo2iI/AAAAAAAAECY/jn9TU3EJSeA/s640/SHARI%2Bcopy.jpg)
Na Mwandishi Wetu
BONDIA Mohamed Matumla anatalajia kupanda tena uringoni siku ya Idi pili katika ukumbi wa TASUBA uliopo Bagamoyo Mkoa wa Pwani kupambana na Koba Nodat katika uzito wa KG 57 mpambano wa raundi sita Matmla anapambana mpambano uho baada ya mpambano wake wa mwisho kumtwanga Mchina kwa pointmratibu na promota wa mpambano uho Muhsin Sharif amesema amesema mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ya utangulizi litawakutanisha bondia Iddi Pialali kutoka Kiwangwa Bagamoyo...
10 years ago
MichuziBondio Mohamed Matumla kuzichapa na Mchina machi 27
Pambano hilo la raundi 12 la uzani wa Bantam limepangwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa pia na bingwa wa zamani wa dunia wa uzani wa juu, Francois Botha.
Promota wa pambano hilo, Jay Msangi alisema jana kuwa maandalizi yote yamekamilika na pambano litasimamiwa na Shirikisho la ngumi la dunia la WBF ambaye rais wake atawasili...
11 years ago
Michuzi12 Feb
news alert: CHADEMA KALENGA WAJUMBE WAMCHAGUA MWANASHERIA MWENDA KUMVAA MTOTO WA MGIMWA
11 years ago
Habarileo22 Jul
Wizara yatishia kuifuta shule ya Mkorea
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imetishia kuifutia usajili shule ya kimataifa ya Eden iliyopo Chukwani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, kwa madai ya kubainika kutoa mafunzo ya Biblia kwa wanafunzi wa shule ya msingi kinyume na utaratibu.
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Miyeyusho kumvaa Mfilipino
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Cheka kumvaa Mrussia leo
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Karama Nyilawila kumvaa Mmalawi.
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Wanne kumvaa Ridhiwani Chalinze
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Makonda akanusha kumvaa Warioba