Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO WA MATUMLA KUMVAA MKOREA MACHI 27

. Bondia mkongwe nchini Rashid Matumla, kutoka kushoto, Mohamed Matumla, Japhet Kaseba na Rais wa (TPBO), Yassin Abdallah 'Ustaadh' katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani). Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Rais wa TPBO, Yassin Abdallah 'Ustaadh'. BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini Mohamed Matumla Jr ambaye ni mtoto wa gwiji wa zamani wa mchezo huo, Rashid Matumla ‘Snake...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BONDIA MOHAMED MATUMLA KUMVAA KOBA DONATI IDI PILI BAGAMOYO


Na Mwandishi Wetu
BONDIA Mohamed Matumla anatalajia kupanda tena uringoni siku ya Idi pili katika ukumbi wa TASUBA uliopo Bagamoyo Mkoa wa Pwani kupambana na Koba Nodat katika uzito wa KG 57 mpambano wa raundi sita Matmla anapambana mpambano uho baada ya mpambano wake wa mwisho kumtwanga Mchina kwa pointmratibu na promota wa mpambano uho Muhsin Sharif amesema amesema mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ya utangulizi litawakutanisha bondia Iddi Pialali kutoka Kiwangwa Bagamoyo...

 

10 years ago

Michuzi

Bondio Mohamed Matumla kuzichapa na Mchina machi 27

Bondia Mohamed Matumla atapanda ulingoni kuzichapa kuwania ubingwa wa dunia wa WBF Machi 27 dhidi ya Wang Xin Hua wa China.
Pambano hilo la raundi 12 la uzani wa Bantam limepangwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa pia na bingwa wa zamani wa dunia wa uzani wa juu, Francois Botha.
Promota wa pambano hilo, Jay Msangi alisema jana kuwa maandalizi yote yamekamilika na pambano litasimamiwa na Shirikisho la ngumi la dunia la WBF ambaye rais wake atawasili...

 

11 years ago

Michuzi

news alert: CHADEMA KALENGA WAJUMBE WAMCHAGUA MWANASHERIA MWENDA KUMVAA MTOTO WA MGIMWA

Wajumbe  wa mkutano  mkuu wa kura za maoni jimbo la Kalenga  wa CHADEMA jioni hii wametegua kitendawili  cha nani kati ya  makada 13 atakayevaana na mgombea wa CCM katika uchaguzi huo baada ya kumchagua  mwanasheria Sinkala Mwenda kwa kura 132 dhidi ya kura 122 alizopata mpinzani  wake wa karibu Grace Tendega huku  Zuberi Mwachura  akiambulia   0 katika uchaguzi huo uliofanyika mjini Iringa.


 

11 years ago

Habarileo

Wizara yatishia kuifuta shule ya Mkorea

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imetishia kuifutia usajili shule ya kimataifa ya Eden iliyopo Chukwani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, kwa madai ya kubainika kutoa mafunzo ya Biblia kwa wanafunzi wa shule ya msingi kinyume na utaratibu.

 

11 years ago

Mwananchi

Miyeyusho kumvaa Mfilipino

Bondia Francis Miyeyusho amebadilishiwa mpinzani na sasa atazichapa na Ronald Pontillas wa Philippines badala ya Viktor Chernous wa Ukraine.

 

11 years ago

Mwananchi

Cheka kumvaa Mrussia leo

>Bingwa wa dunia wa WBF, Francis ‘SMG’ Cheka amesema atahakikisha anamaliza raundi zote kwenye pambano lake la leo dhidi ya Fedor Chudino wa Russia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Karama Nyilawila kumvaa Mmalawi.

Bondia wa Tanzania Karama Nyilawila mwakani ,anatarajia kupanda ulingoni kuzichapa na bondia mmalawi Frank Mwamaso

 

11 years ago

Mwananchi

Wanne kumvaa Ridhiwani Chalinze

Vyama vinne vimejitokeza kusimamisha wagombea wao ili wapambane na Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwan Kikwete ambaye tayari amepitishwa na chama hicho tawala kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

Makonda akanusha kumvaa Warioba

Katibu wa Hamasa wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM), Paul Makonda jana alibanwa na aliyekuwa mshehereshaji wa mdahalo wa Katiba, Said Kubenea akimtuhumu kuhusika na vurugu zilizotokea katika mdahalo huo na kusababisha aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kushambuliwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani