Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO WA PRODYUZA WA 2PAC KUENDELEZA FANI YA MUZIKI

Mtoto  wa Prodyuza maarufu marehemu Tupac Omar Shakur ‘2 Pac’, Zhani Jackson Na Arme Nando Zhani Jackson (20), mtoto wa kike wa prodyuza maarufu wa marehemu Tupac Omar Shakur ‘2 Pac’, Johnny Lee Jackson ‘Johnny J’ aliyemtengenezea ngoma kali kama How Do u Want It, Picture Me Rolling  na albumu nzima ya Me Against the World na All Eyes On Me amefunguka kwamba anatamani kuingia katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UMOJA WA WASANII WA FANI MBALIMBALI WAMUGA JK,WAMTANGAZA KUWA SHUJAA WA SANAA YA MUZIKI NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani),waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City  katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli,Dkt Jakaya Kikwete alizungumza mambo mbalimbali zikiwemo haki na hatimiliki za wasanii wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Umoja wa wasanii wa fani mbalimbali wamuaga JK, wamtangaza kuwa shujaa wa sanaa ya muziki nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani),waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City  katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli,Dkt Jakaya Kikwete alizungumza mambo mbalimbali zikiwemo haki na hatimiliki za wasanii wa...

 

10 years ago

GPL

CHRIS BROWN AICHORA LAMBORGHINI YAKE MASHAIRI YA WIMBO WA 2PAC

Lamborghini Aventador ya Chris Brown baada ya kuchorwa mashairi ya wimbo wa 2Pac. Chris Brown (kulia) akiwa na mchora tattoo Huero.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prodyuza: Vipaji mikoani havithaminiwi

IMEELEZWA kuwa licha ya wasanii wengi wa mikoani kuwa na vipaji vya kuimba, lakini hawathaminiwi katika kazi zao. Hayo yalisemwa jana na prodyuza Abdulaziz Issa ‘EiZER BiTZ’ wa mkoani Tabora,...

 

10 years ago

Bongo5

Adele akiri kuwa mtoto wake si shabiki wa muziki wake

Licha ya muziki wake kupendwa na idadi kubwa ya mashabiki mbalimbali duniani, mwanamuziki wa Uingereza, Adele amekiri kuwa mtoto wake wa kiume si shabiki wa muziki wake. Akiwa kwenye mahojiano na BBC Radio 2, Adele aliulizwa kama huwa anamwimbia mtoto wake wa miaka mitatu aitwaye Angelo, alijibu kuwa hua anamwiambia lakini hapendi nyimbo zake. Mshindi […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stupid Father yamtoa machozi prodyuza

FILAMU mpya ya ‘Stupid Father’ aliyoicheza marehemu Adam Kuambiana, inamtoa machozi mtayarishaji wa Kampuni ya 5 Effects Movies Ltd, Denis Ngakongwa, ambaye aliihariri kwa ajili ya kuiingiza sokoni hivi karibuni....

 

11 years ago

GPL

PRODYUZA BAUCHA ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE

Prodyuza mkongwe nchini, Ally Baucha akijibu maswali ya waandishi wa habari (hawapo pichani). Mkongwe huyo ndiye aliyezalisha ngoma kali kama Neila, Fid Q.  Com na Usiulize wa Rado. ...Akipiga picha na Mhariri wa Gazeti la Ijumaa, Amrani Kaima.…

 

11 years ago

GPL

PRODYUZA: WEMA ALITAKA NIWE KUWADI

Na Stori: Shakoor Jongo
BAADA  ya kudaiwa kufanya ngono katika magari ya Kampuni ya Endless Fame inayoongozwa na Wema Issac Sepetu, Prodyuza, Rashid Mohammed ‘Chid Classic’ amefunguka na kusema chanzo cha yote ni mshahara  na ukuwadi ndani ya kampuni hiyo wala siyo uzinzi, Amani linakujuza. Prodyuza Rashid Mohammed ‘Chid Classic’. Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili, Chid amesema hajafukuzwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani