Mtwara washushiwa umeme hadi Sh27,000
Serikali imetangaza neema kwa vijiji vinavyopitiwa na bomba la gesi ambavyo vipo mkoani Mtwara na Lindi, sasa wataunganishiwa kwa Sh27,000.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo17 Aug
Jipatie Tsh 2,000 hadi Tsh 40,000 kwa Video kupitia Kisakuzi.com
![kisakuzi-video-tanzania](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/kisakuzi-video-tanzania.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Zinatumia umeme zaidi ya Mkoa wa Mtwara
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
11 years ago
Habarileo28 Jan
Kuunganishiwa umeme sasa Sh 27,000
BEI ya kuunganisha umeme katika vijiji ambavyo bomba la gesi linapita kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam, imeshushwa zaidi na kuwa Sh 27,000. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ametangaza kuanzia mwaka huu wanavijiji ambako bomba la gesi linapita wataunganishiwa umeme kwa bei hiyo.
11 years ago
MichuziTAKWIMU ZA MTANDAO WA UMEME NCHINI TOKA 2005 HADI MACHI 2014
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Serikali yasaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa wa kutoa maji kutoka mto Ruvuma hadi Mtwara
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Futakamba akiwa na Rais wa Kampuni ya China Railway International Group Co. Ltd Dkt. Lu Bo wakisaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kutoa maji kutoka mto Ruvuma hadi Mtwara. Makubaliano hayo yalifanyika Beijing, China tarehe 10 Januari 2015. nyuma ya Katibu Mkuu (aliyesimama) ni Waziri wa Maji Mheshimiwa Prof. Jumanne Abdallah Maghembe (Mb).
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Futakamba akipeana mikono na Rais wa Kampuni ya China...
11 years ago
Habarileo26 Feb
Wataka posho Bunge Maalumu ipunguzwe hadi 170,000/-
WAKAZI wa wilaya za Tarime na Rorya mkoani Mara, wameshauri kupunguzwa kwa posho za wajumbe wa Bunge maalumu la Katiba kutoka Sh 300,000 hadi Sh 170,000 ambazo walisema ni za kawaida kwa vikao vya Bunge.
10 years ago
Habarileo08 Mar
‘Msidanganywe, gharama za kuunganisha umeme ni 177,000/-’
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Richard Ndassa amewaambia wakazi wa kata ya Ibihwa iliyopo Bahi mkoani Dodoma kuwa gharama za kuunganishiwa huduma ya umeme zimeshuka hadi Sh 177,000.