Zinatumia umeme zaidi ya Mkoa wa Mtwara
Ghorofa nne za kisasa zilizopo Dar es Salaam, zinatumia kiasi kikubwa cha umeme kuliko ule unaotumiwa katika Mkoa wa Mtwara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QfKUtqKSCiA/Vlwd-1NXThI/AAAAAAABlDU/3OXh7_7qZqk/s72-c/Eunice.jpg)
WAKULIMA ZAIDI YA 300 WA MKOA WA MTWARA WAJIUNGA NA NSSF
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) limeandikisha wakulima wa Korosho zaidi ya 300 mkoani mtwara kwenye kampeni ijulikanayo kama NSSF Kwanza ambayo ilifanyika mahususi ili kuwafikia watu ambao wako kwenye sekta isiyo rasmi.
Kampeni hiyo yenye malengo ya kufikia umma wa Watanzania ambao haujafikiwa na elimu ya Hifadhi ya jamii, Kuwaandikisha kujiunga na NSSF ili kuongeza wigo wa wanachama na pia Kupata mrejesho wa huduma zetu kutoka kwa wanachama wa mfuko.
Imemaliza mkoani Mtwara na...
Kampeni hiyo yenye malengo ya kufikia umma wa Watanzania ambao haujafikiwa na elimu ya Hifadhi ya jamii, Kuwaandikisha kujiunga na NSSF ili kuongeza wigo wa wanachama na pia Kupata mrejesho wa huduma zetu kutoka kwa wanachama wa mfuko.
Imemaliza mkoani Mtwara na...
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Mtwara washushiwa umeme hadi Sh27,000
Serikali imetangaza neema kwa vijiji vinavyopitiwa na bomba la gesi ambavyo vipo mkoani Mtwara na Lindi, sasa wataunganishiwa kwa Sh27,000.
10 years ago
Habarileo31 Mar
Gesi zaidi yagundulika Mtwara
WIZARA ya Nishati na Madini iko kwenye mchakato wa kukamilisha uandaaji wa sheria tatu, zitakazowasilishwa bungeni wakati wowote, zenye lengo la kuweka uwazi katika maeneo yote yanayohusu mikataba ya uchimbaji wa madini na gesi.
11 years ago
MichuziUWANJA WA NDEGE MTWARA KUIMARISHWA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kCH_dL-S_XM/U8QFRse39JI/AAAAAAAF2KU/gjEkQDq0tGw/s72-c/photo.jpg)
KATIZO LA UMEME MKOA WA TEMEKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-kCH_dL-S_XM/U8QFRse39JI/AAAAAAAF2KU/gjEkQDq0tGw/s1600/photo.jpg)
TAREHE: 16/07/2014, 17/07/2014 NA 19/07/2014MUDA: 03:00Asubuhi – 12 Jioni SABABU: Kubadilisha nguzo zilizooza maeneo ya Feri Kigamboni. MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:Feri, Tungi, Machava, Magogoni, Navy jeshini, Pikoli na maeneo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TQFe9nqKrEc/VapARmQVx3I/AAAAAAAHqTo/O6o1UGXJr8g/s72-c/1.jpg)
MKUU WA MKOA WA MTWARA AFUNGUA MKUTANO WA MAENDELEO YA MISITU
![](http://2.bp.blogspot.com/-TQFe9nqKrEc/VapARmQVx3I/AAAAAAAHqTo/O6o1UGXJr8g/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-piC56LEq06c/VapARqtHSDI/AAAAAAAHqTk/9rMfIvdQH2M/s640/2.jpg)
9 years ago
MichuziMkoa wa Kigoma kunufaika na Umeme wa nishati ya jua wa MW 5
10 years ago
Mwananchi12 Apr
Bei za umeme kushuka zaidi Julai
>Kuanzia Julai mwaka huu Watanzania wataanza kupata umeme wa uhakika na usiyo kuwa na gharama baada ya kuanza kazi kwa mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi, utakaoingiza kwenye gridi ya Taifa megawati 150.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania