MUHAS WAADHIMISHA SIKU YA MAGONJWA YA WATOTO YA RHEUMATISM
![](https://1.bp.blogspot.com/-_Kja3GQ91YE/XnJGJ0luQVI/AAAAAAALkSU/h3TCDyZ7IL4ZYNCCywvNRP6XeKslCBArACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B18.53.02-1.jpeg)
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Kila ifikapo Machi 18, dunia huadhimisha siku ya magonjwa ya watoto ya Rheumatism ambayo husababishwa na hitilafu katika mfumo wa Kinga ya mwili ambayo hushambulia sehemu mbalimbali za mwili badala ya kuulinda.
Magonjwa hayo yanaweza kusababisha ulemavu na udhaifu wa mwili.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam Daktari Bingwa wa watoto kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt Francis Furia amesema magonjwa hayo huwa na madhara mengi kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X7cQznGSw5g/VCf4hk5hCNI/AAAAAAAGmSs/amiigVDI9jw/s72-c/01.jpg)
Wafanyakazi wa NBC waadhimisha Siku ya Moyo Duniani kuchangisha fedha kusaidia vijana na watoto wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo
![](http://2.bp.blogspot.com/-X7cQznGSw5g/VCf4hk5hCNI/AAAAAAAGmSs/amiigVDI9jw/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YBbLlBsHP5o/VCf4iEASEnI/AAAAAAAGmSw/a0Ay_I8KGPw/s1600/02..jpg)
10 years ago
MichuziSOS WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA KWA MWANZILISHI WA VIJIJI VYA WATOTO DUNIANI
Akizungumza na leo katika maadhimisho ya kuezi kuzaliwa kwa mwanzilishi Vijiji vya Watoto SOS,Herman Gmeiner,Mkurugenzi wa Kijiji cha SOS,Anglolwisye Mwollo-ntalima,amesema kuwa kila juni 23 kila mwaka wanaadhimisho kuzaliwa kwa Gmeiner.Mwollo-ntalima amesema kuwa kutokana na mwanzilishi huyo kwa sasa Rais wa SOS ni mtu aliyetokana na...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Watoto pacha waadhimisha ‘birthday’
10 years ago
Habarileo22 Nov
Waadhimisha siku ya matumizi ya vyoo
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imesema ujenzi wa vyoo shuleni na matumizi yake utasaidia kupunguza maradhi ya mlipuko na kuimarisha afya za wanafunzi.
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
UDSM waadhimisha Siku ya Wanawake
MWENYEKITI wa Kigoda cha Taaluma cha Mwalimu Julius Nyerere, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Penina Mlama, amesema wanawake wataendelea kuukumbusha ulimwengu kuwa kuna mapambano makubwa katika kuleta...
10 years ago
MichuziCWT WAADHIMISHA SIKU YA WALIMU DUNIANI
10 years ago
Habarileo27 Sep
Zanzibar waadhimisha siku ya utalii duniani
KAMISHENI ya Utalii Zanzibar jana ilizindua Siku ya Utalii Duniani ambayo itafikia kilele chake kesho katika kijiji cha Nungwi wilaya ya Kaskazini Unguja.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b2nt7Ptgdew/U3hhc-lVV3I/AAAAAAAFjYo/UMz5i-bYtP4/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Wauguzi wilaya ya Hanang' waadhimisha siku yao jana
![](http://2.bp.blogspot.com/-b2nt7Ptgdew/U3hhc-lVV3I/AAAAAAAFjYo/UMz5i-bYtP4/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jt2Ba4WgdGw/U3hhd-xTe4I/AAAAAAAFjYs/V2xrN2afnng/s1600/unnamed+(12).jpg)
10 years ago
GPLWAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10