Watoto pacha waadhimisha ‘birthday’
Nderemo na vifijo vilisikika kwa muda jana katika wodi ya watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) chumba cha wauguzi anamoishi Grace Joel na wa watoto wake pacha, waliowasili juzi kutoka India walikofanyiwa upasuaji mkubwa wa kuwatenganisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_Kja3GQ91YE/XnJGJ0luQVI/AAAAAAALkSU/h3TCDyZ7IL4ZYNCCywvNRP6XeKslCBArACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B18.53.02-1.jpeg)
MUHAS WAADHIMISHA SIKU YA MAGONJWA YA WATOTO YA RHEUMATISM
Kila ifikapo Machi 18, dunia huadhimisha siku ya magonjwa ya watoto ya Rheumatism ambayo husababishwa na hitilafu katika mfumo wa Kinga ya mwili ambayo hushambulia sehemu mbalimbali za mwili badala ya kuulinda.
Magonjwa hayo yanaweza kusababisha ulemavu na udhaifu wa mwili.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam Daktari Bingwa wa watoto kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt Francis Furia amesema magonjwa hayo huwa na madhara mengi kwa...
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Daktari wa watoto pacha kwenda Mbeya
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Watoto pacha kufanyiwa operesheni nyingine
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Watoto pacha waruhusiwa kurejea Mbeya leo
10 years ago
MichuziSOS WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA KWA MWANZILISHI WA VIJIJI VYA WATOTO DUNIANI
Akizungumza na leo katika maadhimisho ya kuezi kuzaliwa kwa mwanzilishi Vijiji vya Watoto SOS,Herman Gmeiner,Mkurugenzi wa Kijiji cha SOS,Anglolwisye Mwollo-ntalima,amesema kuwa kila juni 23 kila mwaka wanaadhimisho kuzaliwa kwa Gmeiner.Mwollo-ntalima amesema kuwa kutokana na mwanzilishi huyo kwa sasa Rais wa SOS ni mtu aliyetokana na...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Watoto pacha waliotenganishwa India sasa waanza kutembea
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X7cQznGSw5g/VCf4hk5hCNI/AAAAAAAGmSs/amiigVDI9jw/s72-c/01.jpg)
Wafanyakazi wa NBC waadhimisha Siku ya Moyo Duniani kuchangisha fedha kusaidia vijana na watoto wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo
![](http://2.bp.blogspot.com/-X7cQznGSw5g/VCf4hk5hCNI/AAAAAAAGmSs/amiigVDI9jw/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YBbLlBsHP5o/VCf4iEASEnI/AAAAAAAGmSw/a0Ay_I8KGPw/s1600/02..jpg)
10 years ago
CloudsFM11 Nov
SHOO YA BIRTHDAY YA MH.TEMBA, ASILIMIA 80 YA MAPATO KUCHANGIA WODI YA WATOTO HOSPITALI YA TEMEKE
Leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa ya msanii Amani Temba a.k.a Mheshimiwa Temba kutoka kundi ya TMK Wanaume Family.
Usiku wa leo ameandaa shoo maalum ndani ya ukumbi wa Ikweta Grill, Temeke kiasi cha mapato kitaenda kuchangia wodi ya watoto katika hospitali ya Temeke, kama ilivyokuwa kwa bendi ya Yamoto Band mwishoni mwa mwezi wa tisa walipoambatana na timu nzima ya TMK Wanaume Temba kuchangia hospitalini hapo.