Watoto pacha waruhusiwa kurejea Mbeya leo
Watoto pacha waliotenganishwa, Eliud na Elikana wameruhusiwa jana kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na leo wanarejea Kyela, Mbeya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Daktari wa watoto pacha kwenda Mbeya
Daktari aliyewapokea watoto pacha waliokuwa wameungana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kuwapeleka India kufanyiwa upasuaji, Zaituni Bokhary anatarajia kuwasili nchini leo akitokea masomoni Misri na kwenda Mbeya kuwajulia hali watoto hao.
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Raia Uchina waruhusiwa kuzaa watoto wawili
Uchina imeamua kusitisha sera yake iliyodumu miaka mingi ya kuzitaka familia kuwa na mtoto mmoja pekee, shirika la habari la Xinhua limeripoti.
11 years ago
Mwananchi09 Jul
‘Pacha wa Mbeya’ watoka hospitali
>Watoto pacha waliozaliwa wakiwa wameungana, Eliud Erick na Elikana Erick, ambao walikuwa wakifanyiwa operesheni katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya (MRH), wameruhusiwa kurudi nyumbani Kasumulu wilayani Kyela.
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Mama ajifungua pacha wanne Mbeya
Mwanamke Aida Nakawana (25) wa Kijiji cha Chiwanda wilayani Mbozi, Mbeya amejifungua watoto wanne wa kiume kwa njia ya kawaida katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi.
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Daktari awataka pacha wa Mbeya, nauli kikwazo
Mkuu wa Kitengo cha Upasuaji wa Watoto cha Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dk Zaituni Bokhary amerejea nchini na kuwataka wazazi wa watoto pacha Elikana na Eliudi kuwaleta jijini Dar es Salaam kwa ajili ya uchunguzi.
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Watoto pacha waadhimisha ‘birthday’
Nderemo na vifijo vilisikika kwa muda jana katika wodi ya watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) chumba cha wauguzi anamoishi Grace Joel na wa watoto wake pacha, waliowasili juzi kutoka India walikofanyiwa upasuaji mkubwa wa kuwatenganisha.
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Watoto pacha kufanyiwa operesheni nyingine
Watoto pacha waliotenganishwa, Eliud na Elikana watafanyiwa upasuaji mwingine ili kuwatengenezea njia ya mkojo ya kudumu.
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Watoto pacha waliotenganishwa India sasa waanza kutembea
Hali za watoto pacha waliozaliwa wakiwa wameungana, Eliud na Elikana wenye mwaka mmoja na miezi sita, zinazidi kuimarika tangu walipofanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya Julai mwaka huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania