Daktari awataka pacha wa Mbeya, nauli kikwazo
Mkuu wa Kitengo cha Upasuaji wa Watoto cha Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dk Zaituni Bokhary amerejea nchini na kuwataka wazazi wa watoto pacha Elikana na Eliudi kuwaleta jijini Dar es Salaam kwa ajili ya uchunguzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Daktari wa watoto pacha kwenda Mbeya
11 years ago
Mwananchi09 Jul
‘Pacha wa Mbeya’ watoka hospitali
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Mama ajifungua pacha wanne Mbeya
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Watoto pacha waruhusiwa kurejea Mbeya leo
9 years ago
StarTV17 Dec
Upandishaji Nauli Kipindi Cha Sikukuu SUMATRA Mbeya yatoa tahadhari
Mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa majini na nchi kavu nchni SUMATRA Mkoa wa Mbeya imewatahadharisha wamiliki wa vyombo vya usafiri kutokupandisha nauli katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za mwisho mwa mwaka.
Afisa Mfawidhi wa SUMATRA mkoani Mbeya Denis Daudi amesema mamlaka hiyo haitasita kuwachukulia hatua watoa huduma wakiwemo wamiliki, wafanyakazi na wapiga debe wa vyombo vya usafiri watakaokiuka agizo hilo.
Akizungumza na Star tv, Denis amesema yamejengeka mazoeza ya kila...
11 years ago
Michuzi13 Jun
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA AWATAKA MADEREVA NA WAMILIKI WA DALALDALA KUACHA MGOMO
9 years ago
Mwananchi14 Oct
‘Viongozi ni kikwazo michezoni’
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-SwV2pUtXq88/VQmfZYdQsWI/AAAAAAAACBI/nl7Sp6Jcj6Q/s72-c/kilango.jpg)
Ufinyu wa bajeti kikwazo
UFINYU wa bajeti ya serikali umeelezwa kuwa kikwazo kwa wanafunzi wanaosoma kwa lugha za kigeni kupata mafunzo kwa vitendo.
Hata hivyo, serikali imesema jitihada mbalimbali zinaendelea kufanywa ili kuhakikisha wanafunzi wote wanasoma kwa vitendo.
Kusoma kwa vitendo ni njia mojawapo ya njia za kumwezesha mwanafunzi kuwa na uelewa mpana.
Hayo yalielezwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne Kilango-Malecela.
![](http://3.bp.blogspot.com/-SwV2pUtXq88/VQmfZYdQsWI/AAAAAAAACBI/nl7Sp6Jcj6Q/s1600/kilango.jpg)
Alisema Sera ya Elimu aliyoiwasilisha mezani imeweka mikakati...
10 years ago
Habarileo16 Apr
Sumatra 'yagoma' kushusha nauli
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imetangaza kushusha nauli za mabasi ya Masafa Marefu huku ikiacha kabisa kuzigusa nauli za mabasi katika miji mikubwa, maarufu kama daladala.