‘Pacha wa Mbeya’ watoka hospitali
>Watoto pacha waliozaliwa wakiwa wameungana, Eliud Erick na Elikana Erick, ambao walikuwa wakifanyiwa operesheni katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya (MRH), wameruhusiwa kurudi nyumbani Kasumulu wilayani Kyela.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yKSxyS5Ed2w/Xrr648Zvj7I/AAAAAAALp_M/NCH3ThnMSAAK2u779YLAzklKNV0OB7rgwCLcBGAsYHQ/s72-c/0b30eed9-53fd-4404-aee8-0d9d4d1797f3.jpg)
WAUGUZI HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA WATOA ZAWADI YA CHEREHANI KWA HOSPITALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yKSxyS5Ed2w/Xrr648Zvj7I/AAAAAAALp_M/NCH3ThnMSAAK2u779YLAzklKNV0OB7rgwCLcBGAsYHQ/s640/0b30eed9-53fd-4404-aee8-0d9d4d1797f3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-t-iSku1E-A4/Xrr64wajdSI/AAAAAAALp_Q/v9ggvbcwqQAgHJ79p3D8dTN-pzby39uZwCLcBGAsYHQ/s640/46253368-5df7-4c6f-8fc6-2db91d438d1f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fABH6vnVGNA/Xrr64IqKMII/AAAAAAALp_I/SVAnEdUVZ8sWTt7s0dgvTEb4TH6RMyqlgCLcBGAsYHQ/s640/c65bc8e3-1bda-4181-bacd-fb3d35945366.jpg)
Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, leo wamekabidhi zawadi ya mashine ya cherehani yenye thamani ya shilingi 1,500,000/= MZRH ikiwa ni mchango wao wa alama ya upendo katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wauguzi duniani.
Akizungumza katika makabidhiano hayo Mwenyekiti wa Chama cha...
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Daktari wa watoto pacha kwenda Mbeya
Daktari aliyewapokea watoto pacha waliokuwa wameungana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kuwapeleka India kufanyiwa upasuaji, Zaituni Bokhary anatarajia kuwasili nchini leo akitokea masomoni Misri na kwenda Mbeya kuwajulia hali watoto hao.
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Mama ajifungua pacha wanne Mbeya
Mwanamke Aida Nakawana (25) wa Kijiji cha Chiwanda wilayani Mbozi, Mbeya amejifungua watoto wanne wa kiume kwa njia ya kawaida katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi.
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Daktari awataka pacha wa Mbeya, nauli kikwazo
Mkuu wa Kitengo cha Upasuaji wa Watoto cha Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dk Zaituni Bokhary amerejea nchini na kuwataka wazazi wa watoto pacha Elikana na Eliudi kuwaleta jijini Dar es Salaam kwa ajili ya uchunguzi.
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Watoto pacha waruhusiwa kurejea Mbeya leo
Watoto pacha waliotenganishwa, Eliud na Elikana wameruhusiwa jana kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na leo wanarejea Kyela, Mbeya.
11 years ago
GPLMBEYA CITY, ASHANTI WATOKA BILA BILA
Wachezaji wa Mbeya City (kulia) na Ashanti wakiwania mpira huku mvua kali ikiendelea kunyesha kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Mbande nje kidogo ya Jiji la Dar. Steven Mazanda (8) na Deogratius Julius (mwenye mpira) wachezaji wa Mbeya City wakiwania mpira na mchezani wa Ashanti.…
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA MBEYA AONGOZA CHAKULA CHA HISANI KUCHANGIA UJENZI WA NJIA ZA KUPITISHIA WAGONJWA HOSPITALI YA MKOA WA MBEYA.
MKUU wa wilaya ya Mbeya Dk. Norman Sigallah King, juzi usiku aliwaongoza wakazi wa Jiji la Mbeya kwenye chakula cha hisani ya kuchangia ujenzi wa njia za kupitishia wagonjwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya.
Mwenyekiti wa Kamati ya Marafiki wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya, Oleais Senga, Akimkaribisha mgeni rasmi
Baadhi ya wananchi waliohudhuria hafla hiyo
Subilaga Mwambeta Mkurugenzi AJ Technology moja ya wachangiaji wakubwa wa marafiki wa hospitali ya mkoa Mbeya
Lyimo M.L Meneja Beaco Resort
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Hospitali ya Mbeya kupima ebola
Hospitali ya Rufaa ya Mbeya (MRH) itakuwa na maabara maalumu ya kupima watu watakaohisiwa kuwa na virusi vya ugonjwa wa ebola.
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Hospitali ya Mbeya yateuliwa kupima ebola
Hospitali ya Rufaa Mbeya (MRH), imeteuliwa rasmi kuwa na maabara maalumu ya kuwapima watu watakaohisiwa kuwa na virusi vya ugonjwa wa ebola.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10