Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Pacha wa Mbeya’ watoka hospitali

>Watoto pacha waliozaliwa wakiwa wameungana, Eliud Erick na Elikana Erick, ambao walikuwa wakifanyiwa operesheni katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya (MRH), wameruhusiwa kurudi nyumbani Kasumulu wilayani Kyela.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAUGUZI HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA WATOA ZAWADI YA CHEREHANI KWA HOSPITALI

 Baadhi ya picha za wauguzi katika maadhimisho ya Siku ya wauguzi Duniani .
Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya wametoa zawadi  ya Cherehani ikiwa ni kuadhimisha siku ya  wauguzi Duniani.

Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya,  leo wamekabidhi zawadi ya mashine ya cherehani  yenye thamani ya shilingi 1,500,000/= MZRH ikiwa ni mchango wao wa alama ya upendo katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wauguzi duniani.

Akizungumza katika makabidhiano hayo Mwenyekiti wa  Chama cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Daktari wa watoto pacha kwenda Mbeya

Daktari aliyewapokea watoto pacha waliokuwa wameungana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kuwapeleka India kufanyiwa upasuaji, Zaituni Bokhary anatarajia kuwasili nchini leo akitokea masomoni Misri na kwenda Mbeya kuwajulia hali watoto hao.

 

11 years ago

Mwananchi

Mama ajifungua pacha wanne Mbeya

Mwanamke Aida Nakawana (25) wa Kijiji cha Chiwanda wilayani Mbozi, Mbeya amejifungua watoto wanne wa kiume kwa njia ya kawaida katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi.

 

11 years ago

Mwananchi

Daktari awataka pacha wa Mbeya, nauli kikwazo

Mkuu wa Kitengo cha Upasuaji wa Watoto cha Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dk Zaituni Bokhary amerejea nchini na kuwataka wazazi wa watoto pacha Elikana na Eliudi kuwaleta jijini Dar es Salaam kwa ajili ya uchunguzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Watoto pacha waruhusiwa kurejea Mbeya leo

Watoto pacha waliotenganishwa, Eliud na Elikana wameruhusiwa jana kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na leo wanarejea Kyela, Mbeya.

 

11 years ago

GPL

MBEYA CITY, ASHANTI WATOKA BILA BILA

Wachezaji wa Mbeya City (kulia) na Ashanti wakiwania mpira huku mvua kali ikiendelea kunyesha kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Mbande nje kidogo ya Jiji la Dar. Steven Mazanda (8) na Deogratius Julius (mwenye mpira) wachezaji wa Mbeya City wakiwania mpira na mchezani wa Ashanti.…

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA YA MBEYA AONGOZA CHAKULA CHA HISANI KUCHANGIA UJENZI WA NJIA ZA KUPITISHIA WAGONJWA HOSPITALI YA MKOA WA MBEYA.


MKUU wa wilaya ya Mbeya Dk. Norman Sigallah King, juzi usiku aliwaongoza wakazi wa Jiji la Mbeya kwenye chakula cha hisani ya kuchangia ujenzi wa njia za kupitishia wagonjwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya.

Mwenyekiti wa Kamati ya Marafiki wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya, Oleais Senga, Akimkaribisha mgeni rasmi

Baadhi ya wananchi waliohudhuria hafla hiyo





Subilaga Mwambeta Mkurugenzi AJ Technology moja ya wachangiaji wakubwa wa marafiki wa hospitali ya mkoa Mbeya

Lyimo M.L Meneja Beaco Resort

 

10 years ago

Mwananchi

Hospitali ya Mbeya kupima ebola

Hospitali ya Rufaa ya Mbeya (MRH) itakuwa na maabara maalumu ya kupima watu watakaohisiwa kuwa na virusi vya ugonjwa wa ebola.

 

10 years ago

Mwananchi

Hospitali ya Mbeya yateuliwa kupima ebola

Hospitali ya Rufaa Mbeya (MRH),  imeteuliwa rasmi kuwa na maabara maalumu ya kuwapima watu watakaohisiwa kuwa na virusi vya ugonjwa wa ebola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani