Music: Kalapina – Magufuli Balaa
Aliyekua Mgombea Ubunge jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha Act Wazalendo na Mwana muziki wa Hip Hop Kalapina ameamua kuingia studio na kuandika wimbo unaomhusu Rais Magufuli, Unaitwa “Magufuli balaa” Umetengenezwa na Dunga wa 41 Records.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/N2LXDBKLB-4/default.jpg)
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Kalapina afungukia kumsifia Rais Magufuli
CHANDE ABDALLAH
MKALI wa nyimbo za harakati na aliyekuwa mgombea wa Ubunge kupita tiketi ya Chama cha ACT, Kalama Masoud, ‘Kala Pina’ amefungukia sababu za kumsifia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli kupitia wimbo wake wa Magufuli Balaa.
Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, Kala Pina alisema kuwa japo kuwa yeye anatokea chama cha upinzani lakini hiyo haimaanishi kuwa lazima apinge kila kitu na kudai kuwa amependa kasi ya utendaji wa rais na yeye kama msanii...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/bvbApY9JZfo/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-M5JLAFxn1EwsLE*2kclFbQXRgocEJjCQGkxu-GLx6BuMFy26pCDQ1Xp04qKuDlSyVUZcw-kzcb68kfjhyfIs2hBiC2G4tjj/magufuli.jpg?width=650)
MAGUFULI, LOWASSA WAZUA BALAA!
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JRVgwFkgoLU/Vd3PepoDozI/AAAAAAAH0Po/_oI5rV9HT0k/s72-c/_MG_6912.jpg)
HILI NDILO BALAA LA MAGUFULI KATIKA KAMPENI ZAKE MKOANI MBEYA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-JRVgwFkgoLU/Vd3PepoDozI/AAAAAAAH0Po/_oI5rV9HT0k/s640/_MG_6912.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ui0yhk1ruU0/Vd3Pks-TiXI/AAAAAAAH0QI/AfKhDwI_LoI/s640/_MG_6946.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kOhCQuINx2A/Vd3Pj9Inb-I/AAAAAAAH0QA/VVg5_Jr9r24/s640/_MG_6952.jpg)
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Kalapina, Mwakalebela kukimbilia mahakamani
9 years ago
Habarileo04 Sep
Kalapina kuwania ubunge Kinondoni
MWANAMUZIKI wa Hip Hop, Kalama Masoud ‘Kalapina’ aliyekuwa amewekewa pingamizi ya kuwania ubunge katika Jimbo la Kinondoni, ameshinda rufani yake katika Tume ya Uchaguzi na kwa sasa ni mgombea rasmi wa jimbo hilo.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ECLs7OI8tXM/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/zmusQK0twSI/default.jpg)