Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvua yaahirisha mchezo

Mchezo wa kuwania kufuzu kwa kombe la dunia kati ya Brazil na Argentina umehairishwa kutokana na mvua nyingi kunyesha.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mvua yasababisha kuahirishwa mchezo wa Brazil na Argentina

Argentina Brazil WCup Soccer

Mechi ya kuwania kufuzu kombe la dunia kati ya Brazil na Argentina imeahirishwa sababu ya mvua nyingi kunyesha.

2E646E2F00000578-3316289-image-a-207_1447371403050

Mchezo huo iliokuwa uchezwe usiku wa Alhamisi katika uwanja wa Estadio Antonio Vespucio Libert, mjini Buenos Aires sasa utachezwa Ijumaa usiku.

Sehemu ya kuchezea ya uwanja huo ilijaa maji na mashabiki wa soka pamoja na maafisa wa timu ya Brazil walikwama njiani kwenye foleni sababu ya mvua kubwa iliyonyesha.

2E64683500000578-3316289-image-a-204_1447371387395

Kocha msaidizi wa Brazil Gilmar Rinaldi, alisema “tulikutana na maafisa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamada yaahirisha maandamano

SIKU chache baada ya kuungua moto kwa soko la Mchikichini, Dar es Salaam, wafanyabiashara  ndogondogo Mkoa wa Dar es Salaam (Tamada), wameahirisha maandamano yaliyopangwa kufanyika kesho. Taarifa iliyotolewa jana na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi yaahirisha uchaguzi wa wabunge

Serikali ya Burundi yaahirisha uchaguzi wa wabunge uliotarajiwa kufanyika Ijumaa wiki hii

 

9 years ago

Michuzi

Wakazi wa mkoa wa Iringa wagundua dawa ya kuzuia mvua za mawe pamoja na mvua za upepo mkali

Jeshi la polisi mkoani Tabora limetoa agizo kuwachukuliwa hatua polisi wanaojihusisha na uharifu na wanaotoa siri za jeshi hilo: https://youtu.be/ke0jqZIOm3o
Waumi ni wa pentekoste mkoani  Singida wamefanya ibada maalumu ya kumuombea Rais Magufuli ili aendelee kutumbua majipu: https://youtu.be/1dRmKUcqGHg
Waumini wa dini ya kiislamu wajitoa kusaidia wasiojiweza katika kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) https://youtu.be/-sI1j96PQ4E
Viongozi wa kamati ya Shehia visiwani Unguja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghana yaahirisha jaribio la chanjo ya Ebola

Serikali ya Ghana imeahirisha jaribio la chanjo ya ebola inayotarajiwa kujaribiwa ka jimbo la Volta kufuatia hofu kutoka kwa wakaazi.

 

10 years ago

Mwananchi

NEC yaahirisha uandikishaji wapigakura Dar

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeahirisha kwa muda uandikishaji wa wapigakura katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani hadi hapo itakapotangazwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ndege yaahirisha safari kuokoa mbwa

Safari ya Ndege iliyokuwa ikielekea Toronto Canada siku ya jumapili ilielekezwa Frankfurt nchini Germany kwa ghafla, baada ya rubani kugundua kuwa kifaa kinachoweka joto katika chumba cha kubeba mizigo kilikuwa hakifanyi kazi huku maisha ya mbwa aliyekua

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini yaahirisha uchaguzi mkuu

Sudan Kusini imeahirisha uchaguzi wake uliotarajiwa kufanyika mwaka ujao ili kutoa fursa kwa pande zinazozozana kufikia makubaliano ya amani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani