Tamada yaahirisha maandamano
SIKU chache baada ya kuungua moto kwa soko la Mchikichini, Dar es Salaam, wafanyabiashara ndogondogo Mkoa wa Dar es Salaam (Tamada), wameahirisha maandamano yaliyopangwa kufanyika kesho. Taarifa iliyotolewa jana na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Tamada kuandamana
WAFANYABIASHARA Ndogondogo Dar es Salaam wanatarajia kufanya maandamano ya amani mwezi ujao kupinga hatua ya serikali kuwafukuza kwenye maeneo yao ya kufanyia biashara. Mwenyekiti wa Taasisi ya Jumuiya za Wafanyabiashara...
10 years ago
Michuzi
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
Mvua yaahirisha mchezo
Mchezo wa kuwania kufuzu kwa kombe la dunia kati ya Brazil na Argentina umehairishwa kutokana na mvua nyingi kunyesha.
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Burundi yaahirisha uchaguzi wa wabunge
Serikali ya Burundi yaahirisha uchaguzi wa wabunge uliotarajiwa kufanyika Ijumaa wiki hii
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Saudia yaahirisha viboko vya mwanablogu
Mamlaka nchini Saudi Arabia kwa mara nyengine tena imeahirisha adhabu nyengine ya viboko dhidi ya mwanablogu Raif Badawi.
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Ghana yaahirisha jaribio la chanjo ya Ebola
Serikali ya Ghana imeahirisha jaribio la chanjo ya ebola inayotarajiwa kujaribiwa ka jimbo la Volta kufuatia hofu kutoka kwa wakaazi.
10 years ago
BBCSwahili17 Sep
Ndege yaahirisha safari kuokoa mbwa
Safari ya Ndege iliyokuwa ikielekea Toronto Canada siku ya jumapili ilielekezwa Frankfurt nchini Germany kwa ghafla, baada ya rubani kugundua kuwa kifaa kinachoweka joto katika chumba cha kubeba mizigo kilikuwa hakifanyi kazi huku maisha ya mbwa aliyekua
10 years ago
Mwananchi30 Jun
NEC yaahirisha uandikishaji wapigakura Dar
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeahirisha kwa muda uandikishaji wa wapigakura katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani hadi hapo itakapotangazwa.
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Rushwa yaahirisha kura ya maoni Chadema
>Uchaguzi wa kura za maoni ndani ya Chadema katika Jimbo la Bariadi umeahirishwa baada ya kubainika kwa matukio yanayoashiria vitendo vya rushwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania