Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamada yaahirisha maandamano

SIKU chache baada ya kuungua moto kwa soko la Mchikichini, Dar es Salaam, wafanyabiashara  ndogondogo Mkoa wa Dar es Salaam (Tamada), wameahirisha maandamano yaliyopangwa kufanyika kesho. Taarifa iliyotolewa jana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tamada kuandamana

WAFANYABIASHARA Ndogondogo Dar es Salaam wanatarajia kufanya maandamano ya amani mwezi ujao kupinga hatua ya serikali kuwafukuza kwenye maeneo yao ya kufanyia biashara. Mwenyekiti wa Taasisi ya Jumuiya za Wafanyabiashara...

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo  maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).


Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mvua yaahirisha mchezo

Mchezo wa kuwania kufuzu kwa kombe la dunia kati ya Brazil na Argentina umehairishwa kutokana na mvua nyingi kunyesha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi yaahirisha uchaguzi wa wabunge

Serikali ya Burundi yaahirisha uchaguzi wa wabunge uliotarajiwa kufanyika Ijumaa wiki hii

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudia yaahirisha viboko vya mwanablogu

Mamlaka nchini Saudi Arabia kwa mara nyengine tena imeahirisha adhabu nyengine ya viboko dhidi ya mwanablogu Raif Badawi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghana yaahirisha jaribio la chanjo ya Ebola

Serikali ya Ghana imeahirisha jaribio la chanjo ya ebola inayotarajiwa kujaribiwa ka jimbo la Volta kufuatia hofu kutoka kwa wakaazi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege yaahirisha safari kuokoa mbwa

Safari ya Ndege iliyokuwa ikielekea Toronto Canada siku ya jumapili ilielekezwa Frankfurt nchini Germany kwa ghafla, baada ya rubani kugundua kuwa kifaa kinachoweka joto katika chumba cha kubeba mizigo kilikuwa hakifanyi kazi huku maisha ya mbwa aliyekua

 

10 years ago

Mwananchi

NEC yaahirisha uandikishaji wapigakura Dar

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeahirisha kwa muda uandikishaji wa wapigakura katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani hadi hapo itakapotangazwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Rushwa yaahirisha kura ya maoni Chadema

>Uchaguzi wa kura za maoni ndani ya Chadema katika Jimbo la Bariadi umeahirishwa baada ya kubainika kwa matukio yanayoashiria vitendo vya rushwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani