MVUTANO WAISLAMU BUNGENI, MTAANI
![](http://api.ning.com:80/files/aDnEqQYbuL-cp0qOqAEdcaiGCBcg-70vCuo*soICNMH1RkxA-Xt4e-KVbYskAfTPwOKgCgLoY1e8D7SYXDVURd2Zk3brfl1z/BUNGE.jpg)
Stori: Mwandishi Wetu KATIKA hali inayoashiria kutokukubaliana, mvutano mkali unatarajiwa kuwepo baina ya baadhi ya waislamu walio wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na wale walio nje ya vikao vinavyofanya mchakato wa Katiba mpya. Sheikh Himid Jongo. Mwishoni mwa wiki iliyopita iliyopita, Shura ya Maimamu Tanzania ilitoa tamko la kupinga rasimu mpya ya Katiba inayopendekezwa baada ya kubaini kuwa haikuwa na kipengele cha...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mvutano wa madaraka wahofiwa kuondoa utulivu bungeni
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi la wafugaji, Makeresia Jibubu, amesema kitendo cha wajumbe wa bunge hilo kugombea madaraka kinaweza kuleta mvutano na kuondoa utulivu wa uendeshaji wa...
11 years ago
Habarileo30 Jul
Waislamu wataka Ukawa warudi bungeni
WAISLAMU nchini wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kurudi katika Bunge Maalumu la Katiba.
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Waislamu Singida waomba Ukawa warejee Bungeni
Sheikh wa mkoa wa Singida na Meya Mstahiki wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Sheikh Salum Mahami, akitoa mawaidha yake kwenye kilele cha Siku kuu ya Eid El-Fitr kilichofanyika kwenye uwanja wa Namfua leo. Pamoja na mambo mengine, Sheikh Mahami amekisihi kikundi cha Ukawa kurudi Bungeni, ili waweze kuwapatia Watanzania Katiba itakayokidhi mahitaji ya zaidi ya miaka 50 ijayo.
Na Nathaniel Limu
WAUMINI wa dini ya kiislamu mkoani Singida, wameungana na Watanzania wanaoipenda nchi yao...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-niM0Gpu_Rxw/U58URqVpIII/AAAAAAAABQE/VC21qXrf9us/s72-c/CHENGE2.jpg)
MVUTANO BAJETI
Kamati ya Bunge yasema serikali haitaki kusikiliza ushauri Yadaiwa haiumizi kichwa kusaka vyanzo vingine vya mapato Yabanwa na kutakiwa kurejesha mikopo ya mifuko ya hifadhi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
UCHAMBUZI wa bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/2015 uneonyesha kuwa mzigo wa matumizi ni mkubwa ikilinganishwa na vyanzo vya mapato.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya Bunge, Andrew Chenge, alipokua akiwasilisha taarifa ya kamati yake bungeni.
![](http://4.bp.blogspot.com/-niM0Gpu_Rxw/U58URqVpIII/AAAAAAAABQE/VC21qXrf9us/s1600/CHENGE2.jpg)
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Viongozi Afrika na mvutano wa Madaraka
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Soko la mitumba lazua mvutano
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Mvutano wa kikatiba wafukuta AFP
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Mvutano mkali Lwakatare, DPP
RUFAA iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), dhidi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demopkrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare na mwenzake Joseph Ludovick imeibua mvutano...
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Mvutano mkali Bunge, Mahakama