MWANA FA: MUZIKI UMENIKUTANISHA NA NUSU YA WATU MUHIMU NCHINI
![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhOBfoosBnNAnO*9iIBq5ZCx*V4InrX5Op8mOLnfV4M8IGrlHIx4O0GameUvstAORHYsukwo1BU6*ACchXLnPKUz/MWANA.jpg?width=650)
Stori: Ojuku Abraham MMOJA wa wasanii wakongwe katika muziki wa kizazi kipya Tanzania ni Hamis Mwinjuma anayefahamika zaidi kwa mashabiki kama MwanaFA. Mwana FA akiangusha pozi. Tokea aliposikika kwa mara ya kwanza mwaka 2002, alipotoa kibao chake cha Ingekuwa vipi, amebakia kuwa juu, licha ya ushindani mkubwa katika Bongo Fleva. Kwa kutambua mchango wake katika sanaa, gazeti hili lilifanya naye mahojiano na kuzungumzia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z0GXViiKLKo/VbPgN2oLLKI/AAAAAAAHr3U/zI-l7iLHUu8/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
MATUKIO MAKUBWA YA MUZIKI WA DANSI NCHINI KWA NUSU YA KWANZA YA MWAKA 2015
UTANGULIZI (PREAMBLE)•Mwanzoni mwa mwezi wa 7 ndio nusu ya mwaka. Zinakuwa zimepita siku 182 (au 183 kwa mwaka mrefu) na kubaki siku 182.•Yafuatayo ni matukio makubwa ya muziki wa dansi kwa nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z0GXViiKLKo/VbPgN2oLLKI/AAAAAAAHr3U/zI-l7iLHUu8/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
BENDI MPYA•Tarehe 31-Jan-2015, BMM Classic Band, ilizinduliwa katika ukumbi wa BMM Mwenge, opposite TRA.•Tarehe 21-Feb-2015, JJ Band yazinduliwa katika ukumbi wa. JJ Band ni bendi dada ya Skylight Band itakayokuwa inatumbuiza mjini Mwanza katika hotel...
10 years ago
GPL03 Aug
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9AYd56IeiR8/VcSJQt6x0KI/AAAAAAABTPc/P3TkA3QIw48/s72-c/11351952_951361521590111_1244190867_n.jpg)
WASANII WA MUZIKI WA BONGO FLAVOUR WAIKACHA SEMINA MUHIMU YA TCRA
![](http://2.bp.blogspot.com/-9AYd56IeiR8/VcSJQt6x0KI/AAAAAAABTPc/P3TkA3QIw48/s640/11351952_951361521590111_1244190867_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BV7loHXG008/VcSJQ8-_viI/AAAAAAABTPY/k1UKkc-zrhU/s640/11380286_1654921664791994_1455174282_n.jpg)
Nick amesema kati ya wasanii 70 waliokuwa wamealikwa kwenye semina hiyo, ni chini ya wasanii watano waliohudhuria.
“Tupo katika seminar ya wasanii wa bongo fleva iliyoandaliwa na TCRA….imeuzuriwa na viongozi wa juu na...
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Banza Stone: Alianza muziki kwa kuwa mwana Hip Hop 1989
10 years ago
Bongo501 Dec
Mwana FA: Makampuni tusaidieni kuufanya muziki wetu uwe mkubwa, ni baada ya ushindi wa Diamond
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ijjA2qLKNfY/U0q0WmQnqwI/AAAAAAAFafI/LfNZMZHyhP0/s72-c/unnamed+(15).jpg)
NGOMA AFRICA BAND YA UJERUMANI YAOMBOLEZA KIFO CHA MWANA MUZIKI MKONGWE MUHIDIN GURUMO (RIP)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ijjA2qLKNfY/U0q0WmQnqwI/AAAAAAAFafI/LfNZMZHyhP0/s1600/unnamed+(15).jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Nusu ya watu wazima nchi wanatumia simu kwa huduma za kifedha
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Coronavirus: Kuna uwezekano mkubwa wa watu nusu bilioni kuwa maskini
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-WMnjdfGR8bg/TzPHieqNQgI/AAAAAAAA9RI/G_EIZk8NELk/s72-c/2.jpg)
Nusu ya Watanzania wameshuhudia ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira
heshima watu wenye ulemavu
![](http://4.bp.blogspot.com/-WMnjdfGR8bg/TzPHieqNQgI/AAAAAAAA9RI/G_EIZk8NELk/s1600/2.jpg)
4 Novemba 2014, Dar es Salaam: Karibu nusu ya wananchi (46%) wameripoti kuwahi kushuhudia ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira. Wakati huo huo, ni wananchi wawili tu kati ya kumi (17%) waliokiri kufahamu asasi/mashirika yanayotoa upendeleo kwenye suala la kuwaajiri watu wenye ulemavu. Wananchi waliripoti kuwa miongoni mwa mashirika haya asilimia 38 ni taasisi za kiserikali. Vile vile wananchi waliripoti...