Mwanakijiji atuhumiwa kukutwa na magobole 5
MKAZI wa Kijiji cha Nga'mbi kitongoji cha Mgaye Wilaya ya Mpwapwa mkoani hapa, Bahati Mwandache (65) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma ya kukutwa akiwa na magobole matano na zana za kutengenezea silaha za aina hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo29 Jul
Atuhumiwa kukutwa na mitambo ya kufyatua dola
RAIA wa Kongo, Ambanipo Siva (33) aliyekiri kuishi nchini bila kuwa na kibali amedaiwa kukutwa na mitambo ya kutengezea dola bandia za Marekani.
11 years ago
Habarileo03 Jan
Mnigeria atuhumiwa kukutwa na dawa za kulevya za milioni 54/-
RAIA wa Nigeria, Okwubili Agu (40), amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA) akiwa na pipi 71 za dawa za kulevya aina ya heroin, zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 54, alizokuwa amezimeza tumboni.
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Kiongozi Red Briged atuhumiwa kukutwa na sare za JWTZ, panga
10 years ago
Habarileo04 May
Vikongwe wanaswa na magobole
JESHI la Polisi mkoani Katavi linawashikilia watu tisa wakiwemo vikongwe wa miaka 80 na 70 baada ya kukamatwa wakiwa na bunduki tatu za kienyeji aina magobole, risasi zake 15, mtambo wa kutengenezea silaha, baruti na sare za Jeshi la Wananchi la Ulinzi na Usalama (JWTZ).
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Kampeni ya Mwanakijiji inapotosha umma
WATANZANIA ni watu ajabu sana. Mara nyingi wanaweza kutumia nguvu nyingi na muda mwingi kupigania jambo ambalo hata hawana faida nalo. Wanaweza kutoka jasho jingi na kutumia pumzi nyingi kutetea...
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Heri ya Kuzaliwa mwanakijiji Josephat Lukaza
![](http://4.bp.blogspot.com/-jHotBHjMWWg/VWvPKMen3AI/AAAAAAAAgoI/dB4owz5gNvc/s640/JLK.jpg)
Mwanakijiji Josephat Lukaza.
Tunapenda Kuchukua nafasi hii kukupongeza kwa kufikisha Miaka kadhaa ya kuzaliwa kwako na ukiwa sehemu ya wanakijiji wa digitali hapa duniani.
Tunachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda na kukubariki kwa kukuongezea maisha marefu na yenye heri hapa duniani ili vizazi vingine viweze kufaidi baraka na neema za mwenyezi Mungu kupitia Wewe.
Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Kwako iwe chachu na siku ya kufikiria ulipotoka, Ulipo na uendapo...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/sFCaJI6X9Nw/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-jHotBHjMWWg/VWvPKMen3AI/AAAAAAAAgoI/dB4owz5gNvc/s72-c/JLK.jpg)
HERI YA KUZALIWA MWANAKIJIJI JOSEPHAT LUKAZA..FELIZ CUMPLEAÑOS JOSEPHAT LUKAZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jHotBHjMWWg/VWvPKMen3AI/AAAAAAAAgoI/dB4owz5gNvc/s640/JLK.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VjQtj38RxreyhKPCW5ikRUofdBCm8LGSkzIJ5wZkKSbJNY37IM6l7iFh35s5uq-tcdMnLy1qtPMrtP2nVcZrVDq3OQpf4hOa/Auntizzz.jpg)
AUNT ATUHUMIWA USHIRIKINA