Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vikongwe wanaswa na magobole

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariJESHI la Polisi mkoani Katavi linawashikilia watu tisa wakiwemo vikongwe wa miaka 80 na 70 baada ya kukamatwa wakiwa na bunduki tatu za kienyeji aina magobole, risasi zake 15, mtambo wa kutengenezea silaha, baruti na sare za Jeshi la Wananchi la Ulinzi na Usalama (JWTZ).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mwanakijiji atuhumiwa kukutwa na magobole 5

MKAZI wa Kijiji cha Nga'mbi kitongoji cha Mgaye Wilaya ya Mpwapwa mkoani hapa, Bahati Mwandache (65) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma ya kukutwa akiwa na magobole matano na zana za kutengenezea silaha za aina hiyo.

 

10 years ago

GPL

VIKONGWE WAMWAGIANA MABUSU KWAUPEE!

Na Dustan Shekidele, MOROGORO/Amani
MAPENZI bwana! Mohamed Khalfan ambaye ni kikongwe wa miaka 78 mwenye ulemavu wa ukoma na mkewe, Habiba Shomari (68) hivi karibuni waliwashangaza watu baada ya kuamua kumwagiana mabusu hadharani. Bw. Mohamed Khalfan(78) akimchumu mkewe, Bi. Habiba Shomari(68). Tukio hilo lilijiri kwenye Kambi ya Walemavu wa Ukoma ya Chazi iliyopo Kata ya Chazi wilayani Mvomero mkoani hapa ambapo kulikuwa na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya vikongwe yatakoma Tanzania?

Makala za uchaguzi Tanzania inaangazia mauaji ya vikongwe kaskazini magharibi mwa Tanzania,Shinyanga

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya vikongwe yamuumiza Liana

MAUAJI ya vikongwe wilayani Magu, Mwanza yametajwa kuwa chanzo cha jamii kuishi kwa hofu ya usalama wa maisha yao jambo linalosononesha. Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jacqueline Liana, aliyasema hayo...

 

10 years ago

Mwananchi

Masanduku ya kura, kiboko ya vyama vikongwe

Makala haya yanaakisi nini mtizamo wangu kuhusu masuala ya vijana na amani. Binafsi naamini kuwa wanasiasa hawapaswi kuwatumia vijana vibaya kwa sababu vijana wetu wengi hawana elimu, hawajui lolote na wanaburuzika kirahisi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wajipanga kukomesha mauaji ya vikongwe

JESHI la Polisi nchini lipo katika hatua za mwisho kukamilisha mikakati ya kuanzisha mradi wa Vikongwe na Makazi salama ili kuwanusuru wazee wanaouawa kutokana na imani potofu za kishirikina. Akizungumza...

 

11 years ago

Mwananchi

Mauaji ya vikongwe yazidi kutikisha Bukombe

Wakazi wawili wa Kijiji cha Iyogelo, Kata ya Lulembela, wilayani Mbogwe, mkoani Geita, Mariamu Mulahi (70) na Helena Mulekwa (42) wameuawa kwa kukatwa mapanga.

 

11 years ago

Habarileo

Vikongwe wauawa, miili yao yachomwa moto

 Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Geofrey KamwelaWATU wanne wamekufa mkoani Singida katika matukio mawili tofauti, likiwemo la wanandoa, vikongwe kuuawa kisha nyumba yao kuchomwa moto na mtu asiyefahamika.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mamaja wataka mauaji ya vikongwe yatokomezwe Geita

KIKUNDI cha mahusiano na mawasiliano ya jamii (Mamaja Group), cha mjini hapa kimeitaka jamii kutoa ushirikiano wa kutokomeza kabisa mauaji ya vikongwe yanayosababishwa na imani za kishirikina, urithi na migogoro...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani