Vikongwe wanaswa na magobole
JESHI la Polisi mkoani Katavi linawashikilia watu tisa wakiwemo vikongwe wa miaka 80 na 70 baada ya kukamatwa wakiwa na bunduki tatu za kienyeji aina magobole, risasi zake 15, mtambo wa kutengenezea silaha, baruti na sare za Jeshi la Wananchi la Ulinzi na Usalama (JWTZ).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo13 Mar
Mwanakijiji atuhumiwa kukutwa na magobole 5
MKAZI wa Kijiji cha Nga'mbi kitongoji cha Mgaye Wilaya ya Mpwapwa mkoani hapa, Bahati Mwandache (65) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma ya kukutwa akiwa na magobole matano na zana za kutengenezea silaha za aina hiyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL-1t3czhDzsBUqICqnJMEUxUqXlhDUEAv5oxnwf3WghA0*A0Y7EoYtu8s5peei4r7X8AMzH26KCzD1xC4a0cCI3/Vikongwe...jpg)
VIKONGWE WAMWAGIANA MABUSU KWAUPEE!
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Mauaji ya vikongwe yatakoma Tanzania?
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Mauaji ya vikongwe yamuumiza Liana
MAUAJI ya vikongwe wilayani Magu, Mwanza yametajwa kuwa chanzo cha jamii kuishi kwa hofu ya usalama wa maisha yao jambo linalosononesha. Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jacqueline Liana, aliyasema hayo...
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Masanduku ya kura, kiboko ya vyama vikongwe
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Polisi wajipanga kukomesha mauaji ya vikongwe
JESHI la Polisi nchini lipo katika hatua za mwisho kukamilisha mikakati ya kuanzisha mradi wa Vikongwe na Makazi salama ili kuwanusuru wazee wanaouawa kutokana na imani potofu za kishirikina. Akizungumza...
11 years ago
Mwananchi05 May
Mauaji ya vikongwe yazidi kutikisha Bukombe
11 years ago
Habarileo14 Jun
Vikongwe wauawa, miili yao yachomwa moto
WATU wanne wamekufa mkoani Singida katika matukio mawili tofauti, likiwemo la wanandoa, vikongwe kuuawa kisha nyumba yao kuchomwa moto na mtu asiyefahamika.
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Mamaja wataka mauaji ya vikongwe yatokomezwe Geita
KIKUNDI cha mahusiano na mawasiliano ya jamii (Mamaja Group), cha mjini hapa kimeitaka jamii kutoa ushirikiano wa kutokomeza kabisa mauaji ya vikongwe yanayosababishwa na imani za kishirikina, urithi na migogoro...