Mwanaume auawa na minyoo yenye Saratani
Mwanaume mmoja ameaga dunia baada ya kuambukizwa saratani na minyoo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uow3g9c8x0o/VCkLgiXHn6I/AAAAAAAGmac/qzDYZxLhZvM/s72-c/Salma-Kikwete.jpg)
MAMA KIKWETE APEWA MASHINE YA KUPIMA SARATANI YA MATITI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA DOLA 200000
![](http://3.bp.blogspot.com/-uow3g9c8x0o/VCkLgiXHn6I/AAAAAAAGmac/qzDYZxLhZvM/s1600/Salma-Kikwete.jpg)
Na Anna Nkinda – Maelezo, Washington.
29/9/2014 Chama cha Wanawake wa Afrika na Uelewa wa Saratani (African Women Cancer Awareness Assossiation - AWCAA) imemkabidhi Mke wa Rais Mama Salma kikwete mashine moja ya Mammogram ambayo inatumika kupima ugonjwa wa saratani ya matiti yenye thamani yazaidi dola za kimarekani laki mbili.
Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Ubalozi wa Tanzania uliopo mjini Washington D.C nchini Marekani.
Akiongea mara baada ya kukabidhiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QXIIoSI6nbc/U5SbiZp5oWI/AAAAAAAFpAY/h9YIonXjV80/s72-c/tbr7.jpg)
Rais Kikwete azindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-QXIIoSI6nbc/U5SbiZp5oWI/AAAAAAAFpAY/h9YIonXjV80/s1600/tbr7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CiBi1_fdBOQ/U5SbxpbgT_I/AAAAAAAFpAk/1cQtJRg3LiU/s1600/tbr8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYYrbJWmS3w/U5SbxuiQx2I/AAAAAAAFpAg/F-uVi2Fi9p8/s1600/tbr6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vr2pW1Irbog/U5ScG76Ga6I/AAAAAAAFpAw/CFLGEbAxZCI/s1600/tbr1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d1HDHIIyWTE/U5ScuHNl9aI/AAAAAAAFpBI/E1RtH2vHR1o/s1600/tbr5.jpg)
10 years ago
Michuzi06 Feb
Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Saratani Duniani na Watoto wenye Saratani Hospitali ya Taifa Muhimbili
![exim1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/exim1.jpg)
10 years ago
Habarileo12 Jun
Mil.1.5 hatarini kuambukizwa minyoo
WATU milioni 1.5 ambao ni sawa na asilimia 24 ya Watanzania wote wakiwemo watoto milioni sita wenye umri wa kwenda shule, wanaishi katika mazingira hatarishi ya kupata maambukizi ya ugonjwa wa minyoo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDARYCeEiUGVeEvqR*vfY2NrpR7YlHos403mYB5LgBNFSJg*srkJ*r2jBlfOMfsp4UImnHo1QKeznU5q-1lnqJ27/ascarismalefemale.jpg?width=650)
ASCARIS; MINYOO INAYOSUMBUA WENGI
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Minyoo yaondolewa kwenye ubongo wa mtu
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Chanjo ya Minyoo, Matende na Mabusha Yazinduliwa Dar
Wauguzi mbalimbali wa Wilaya ya Kinondoni wakitoa dawa za chanjo kwa wakazi wa Manzese Dar.
Mmoja wa akina mama akiwa kwenye mstari kuchukua vidonge vya kuzuia minyoo, matende na mabusha kwenye Zahanati ya Manzese.
Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Dkt. Azizi Msuya (kushoto) akimnywesha dawa mtoto aliyefika kwenye Zahanati ya Manzese kwa ajili ya chanjo hiyo.
Dkt. Azizi Msuya akihojiwa na wanahabari kwenye uzinduzi wa chanjo hiyo.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Manzese, Nestory Kobero...
10 years ago
Habarileo27 May
Watoto miaka mitano kupewa vitamin A, dawa za minyoo
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii kupitia Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania ikishirikiana na Manispaa zote za Mkoa wa Dar es Salaam wamepanga kutoa matone ya vitamin A na dawa ya minyoo kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G1sB-3-TnPY/XkpkYMw6X7I/AAAAAAAAQNM/U6ZokifxnSgpX5WcsidWXR1J-0MlDxtLgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200217-WA0061.jpg)
MINYOO BAPA YATAJWA KUWA TISHIO LA AFYA MIFUGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-G1sB-3-TnPY/XkpkYMw6X7I/AAAAAAAAQNM/U6ZokifxnSgpX5WcsidWXR1J-0MlDxtLgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200217-WA0061.jpg)
Na.Vero Ignatus,Arusha
Serikali kupitia wizara ya mfugo imepokea utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha kilimo Sokoine kwa kushirikiana na chuo cha Livepol cha Uingereza na kile Bristone uingereza kuhusu athari na njia za kudhibiti magonjwa ya minyoo
Utafiti huo pia uliangazia kuwepo kwa sugu wa vimelea vya magonjwa hayo kwa dawa...