Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWENDO WA BARAKOA







CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

UKOMO WA BEI YA BARAKOA HADHARANI, VIWANDA VYA NGUO NCHINI KUTENGENEZA BARAKOA ZAIDI

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa amesema atachukua hatua kwa Taasisi zisizo za kiserikali (NGOs) zinazouza barakoa kwa gharama kubwa.

Bashungwa alitoa taadhari hiyo mkoani Arusha alipotembelea Viwanda vya kuzalisha nguo vya Sunflug na A to Z kuangalia hali ya uzalishaji wa barakoa katika Viwanda hivyo.
Bashungwa alitoa onyo kwa NGOs zilizoomba kibali cha kuzalisha barakoa kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania lakini badala yake wanauza barakoa kwa shillingi 2,500 hadi...

 

5 years ago

Michuzi

KIKUNDI CHA BARAKOA TZ CHAGAWA BARAKOA BURE ZAIDI YA 1000 MAENEO MBALIMBALI IKIWEMO VITUO VYA WATOTO YATIMA

Janga la ugonjwa wa virusi vya COVID-19 umeleta uhaba ya bidhaa nyingi humu nchini zikiwemo Barakoa. Rania Nasser ambaye ni mwanafunzi wa sekondari aliunda kikundi kinachojulikana kama Barakoa Tz cha kutengeneza na kugawa barakoa bure kwa wale wenye uhitaji. Nia yake kubwa ilikuwa ni kutengeneza barakoa nyingi na kuzigawa bure kwenye vituo vya polisi vilivyo karibu na nyumbani kwao bure kabisa.
Baada ya wiki moja, uhitaji wa barakoa uliongezeka maradufu na hivyo akaona umuhimu wake...

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Mtanzania

Mwendo wa maagizo

MTZ IJUMAA new1.inddNa Waandishi Wetu

NI mwendo wa maagizo. Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na kila waziri anayefanya ziara  katika idara au taasisi zilizoko chini yake kutoa maagizo kudhihirisha uwepo wao.

Mawaziri hao ambao waliapishwa Desemba 12, mwaka huu, wameanza kazi kwa kasi kama ilivyokuwa kwa Rais Dk. John Magufuli na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ambao walianza kazi kwa kuwasimamisha  maofisa wa umma na wajumbe wa bodi zaidi ya 83 katika muda mfupi, kutokana na makosa mbalimbali.

Baada ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Barakoa inayoendeshwa na rimoti

Israel imezindua barakoa ya kutumia rimoti

 

10 years ago

Mtanzania

Azam ni mwendo wa visasi tu

azamNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

BAADA ya kulipa kisasi dhidi ya timu ya JKT Ruvu kwenye mchezo uliopita, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC wameapa kuendeleza wembe huo watakapoivaa Ndanda FC kesho.

Jumamosi iliyopita Azam iliifunga JKT bao 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, uliofanyika Uwanja wa Azam Complex na kulipa kisasi cha kufungwa kama hivyo mzunguko wa kwanza.

Azam itaingia uwanjani kesho ikiwa na kumbukumbu ya kufungwa na Ndanda bao 1-0, kwenye mchezo wa...

 

5 years ago

Michuzi

UBUNIFU KATIKA UTENGENEZAJI WA BARAKOA

Aina mbalilmbali za barakoa zimeonakana katikamitandao ya kijami huku kukiwa na maelezo mbalimbali huku baadhi zikionekana si salama kwa afya lakini watu wameonekana wakizitumia.Hii sasa..

Kwa upande wa hii sijui kama ni kwaajili ya kujikinga na virusi vya Covid -19. 


Vidumu vya maji navyo vimeonekana kutukika kama Barakoa.  Majani ya Moga aina Kabichi nayo imetumika kama Barakoa
 Cha Msingi ni kujikinga na kuonekana kuwa umevaa Barakoa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani