Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwendo wa maagizo

MTZ IJUMAA new1.inddNa Waandishi Wetu

NI mwendo wa maagizo. Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na kila waziri anayefanya ziara  katika idara au taasisi zilizoko chini yake kutoa maagizo kudhihirisha uwepo wao.

Mawaziri hao ambao waliapishwa Desemba 12, mwaka huu, wameanza kazi kwa kasi kama ilivyokuwa kwa Rais Dk. John Magufuli na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ambao walianza kazi kwa kuwasimamisha  maofisa wa umma na wajumbe wa bodi zaidi ya 83 katika muda mfupi, kutokana na makosa mbalimbali.

Baada ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Brandts awapa maagizo fowadi

Kocha Mkuu wa Yanga, Ernest Brandts amewataka washambuliaji wake kuhakikisha wanavunja rekodi ya msimu uliopita ya kuzifumania nyavu huku akiahidi kuwapa nafasi ya kucheza kila mmoja katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU: ATOA MAAGIZO

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepiga marufuku shughuli zisizohusiana na taaluma kama ujenzi wa viwanda katika maeneo ya shule ili kutoa fursa kwa wanafunzi kuwa kwenye mazingira mazuri ya kujifunzia.
“Sheria inakataza kuweka matumizi yoyote yasiyokuwa ya kitaaluma katika maeneo ya shule kwani yanasababisha kelele hivyo wanafunzi kushindwa kusoma vizuri.”
Waziri Mkuu aliyasema hayo jana jioni(Jumanne, Machi 3, 2020) baada ya kupokea malalamiko ya wazazi kuhusu eneo la shule ya msingi...

 

9 years ago

Mwananchi

Siku 16, maagizo 40 ya mawaziri wa JPM

Huu ndiyo ukweli. Leo zimetimia siku 16 tangu kuapishwa kwa mawaziri 30 wa Serikali ya Awamu ya Tano, lakini tayari wameshatoa matamko 40 kwa watendaji wa Serikali, taasisi na mashirika yaliyopo chini ya wizara zao.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Nyalandu atekeleza maagizo ya Kinana


NA MWANDISHI WETU, MBARALI
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amemaliza mgogoro wa ardhi uliokuwa ukifukuta kwa zaidi ya miaka saba kati ya wananchi wa vijijii 21 na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA).
Nyalandu, ambaye yuko ziarani mjini hapa, jana aliwaeleza wananchi kuwa serikali haiwezi kuwaacha wananchi wake wakanyanyasika hivyo ni lazima ichukue hatua.
Uamuzi huo wa serikali wa kumaliza mgogoro huo, ni utekelezaji wa maagizo ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, kuitaka...

 

10 years ago

Vijimambo

TFF yatekeleza maagizo ya Yanga

Yamfungia refa aliyeachia Tambwe akabwe kooWachezaji wa Ruvu Shooting na Yanga wakigombana wakati wa mchezo uliozikutanisha timu hizo mwishoni mwa wiki.
Katika kile kinachoonekana kama kuendeshwa na Yanga, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemfungia refa Mohamed Teofile kuchezesha mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu huu.

Jana mchana NIPASHE ilipata taarifa kutoka ndani ya TFF zikieleza kuwa refa huyo ameondolewa katika ratiba ya waamuzi wa msimu huu, taarifa ambazo baadaye...

 

11 years ago

Mwananchi

Zambi: Serikali mbili ni maagizo ya JK

>Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya, Godfrey Zambi amefichua sababu za chama hicho kushikilia msimamo wa muundo wa serikali mbili katika mjadala wa Katiba Mpya, akisema ni “maagizo ya mwenyekiti wa CCM”.

 

5 years ago

CCM Blog

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Mtanzania

Profesa Mbarawa atoa maagizo Dawasco

mbarawaNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa amelitaka Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (Dawasco), kufikisha maji kwa wateja milioni moja hadi kufikia Juni mwaka ujao.

Mbarawa alimtaka Mkurugenzi wa Dawasco, Cyprian Luhemeja kuongeza makadirio waliyokuwa wamejiwekea kwa kuongeza wateja kutoka  148,000 waliopo kwenye bili hadi kufikia milioni moja.

Profesa Mbarawa aliyasema hayo jana katika ziara yake ya kwanza tangu alipoteuliwa kushika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani