Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwenendo wa upitishaji bajeti unalea udhaifu

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaendelea na vikao vyake vya bajeti za wizara mbalimbali ambazo nyingi zimekuwa zikipita kutokana na uwingi wa wabunge kutoka chama tawala.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Utata huu wa upitishaji Katiba unahitaji ufafanuzi

Pamoja na Bunge la Katiba kupitisha ‘Katiba Inayopendekezwa’, utata mkubwa umezidi kugubika kura mbili zilizowezesha kupitisha Katiba hiyo. Utata huo unatokana na kura za wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) upande wa Zanzibar, wajumbe waliokuwa Hijja nchini Saudi Arabia na zile za baadhi ya wajumbe wanaodaiwa kuhamishwa kinyemela ili wapige kura kama wajumbe wa kundi linalotoka Bara au Zanzibar.

 

9 years ago

StarTV

Upitishaji Bidhaa Njia Za Panya Changamoto ya ukaguzi wa chakula na dawa

 

Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini TFDA imekiri kuwapo na changamoto ya ukaguzi wa bidhaa bandia na zilizokwisha muda wa matumizi kutokana na wafanyabishara wa aina hiyo kushusha bidhaa kwa kutumia njia za panya katika mipaka ya nchi na bandari zisizo rasmi.

Ni kauli ya mkurugenzi Mkuu wa TFDA mkoani Mtwara Hiiti Sillo katika mahojiano maalum na Star Tv.

Kwa kiasi kikubwa Baadhi ya wafanyabiashara za magendo wanatumia njia za Panya zilizopo mipakani mwa nchi kuingiza bidhaa feki na...

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda

>Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum imewagawa wabunge ambao baadhi wameipongeza, huku wengine wakiiponda.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014

>Baadhi ya wakazi wa mikoa mbalimbali nchini, wamedai kuwa bajeti ya mwaka 2014/2015 iliyosomwa bungeni juzi mjini Dodoma na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, haiwezi kumkomboa mwananchi kutoka katika umaskini.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI WA BAJETI: Bajeti ya Ujenzi imekidhi vigezo

>Miundombinu ya usafirishaji ni muhimu kwa maendeleo ya uchumi wa nchi yoyote. Miundombinu hii ni pamoja na barabara, madaraja, viwanja vya ndege, reli, bandari na nyinginezo. Kiuchumi, hii ni miundombinu migumu (hard infrastructure) ukilinganisha na miundombinu kama ya mawasiliano ikiwamo simu na intaneti ambayo ni miundombinu laini (soft infrastructure) ya kiuchumi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manara anapofichua udhaifu wa wachezaji

JINA Kitwana Manara sio geni masikioni mwa wadau wa soka hapa nchini, hasa kutokana na umahiri aliokuwa nao langoni sambamba na kusakata kabumbu awapo dimbani. Manara ni miongoni mwa nyota...

 

9 years ago

Raia Mwema

Udhaifu wa CCM si ubora wa Ukawa

HATIMAYE ‘wapinzani wakuu’ katika Uchaguzi Mkuu ujao, yaani chama tawala CCM na Ukawa wamefanikiw

Evarist Chahali

 

11 years ago

Tanzania Daima

Udhaifu wa Al Ahly, usiwahadae Yanga 

TANZANIA imesaliwa na timu moja tu ya Yanga katika medani ya kimataifa, baada ya Azam iliyokuwa ikishiriki Kombe la Shirikisho kuishia raundi ya awali kama ilivyo kwa KMKM na Chuoni...

 

10 years ago

Habarileo

JK akemea udhaifu, woga wa viongozi

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete, amewataka viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kuacha udhaifu na woga kwa kushindwa kusimamia kikamilifu sheria za utunzaji wa mazingira katika milima ya Uluguru.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani