MWENYEKITI CCM KILOLO AWATAKA WANAOHUSIKA NA SAKATA LA ESCROW WAJIUZULU
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo Seth Moto akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Iringa, Seth Moto, amewataka wanaohusika na sakata la Escrow aidha kwa kutajwa au kuchota fedha za akatunti hiyo wajitathmini na kijivua nyadhifa zao mapema wasisubiri kuondolewa au kufukuzwa na sheria na warudishe fedha zilizoibiwa. Pia ametaka sheria ichukue...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-IvGplFBu2eM/VccjfnxwVRI/AAAAAAABTUo/sh_UTnWFjlM/s72-c/1439111816672.jpg)
BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA CCM MKOA ARUSHA NA KATIBU MWENEZI WA MKOA WAJIUZULU NA KUHAMIA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IvGplFBu2eM/VccjfnxwVRI/AAAAAAABTUo/sh_UTnWFjlM/s640/1439111816672.jpg)
ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAARIFA ZAIDI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XCoElX7q3j1*zkwOtmQIlUnyd709iQx-cgiaNemBZOv2JOyzNZX58C4I0YCy7zl4GHdp378PPGMEzoya-IuMeKSQBs5Tjft4/p.txt.jpg?width=650)
SAKATA LA ESCROW LAIMALIZA CCM MKOANI IRINGA
9 years ago
Habarileo15 Oct
Mwenyekiti UVCCM Kilolo akimbilia Chadema
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa, Sifuni Makongwa juzi ametangaza kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y_THANu9QmY/XuCzppVGHAI/AAAAAAALtUE/5gK-UzGSA-At22-447Wmuller_tdM9q5gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM ZANZIBAR DKT SHEIN JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y_THANu9QmY/XuCzppVGHAI/AAAAAAALtUE/5gK-UzGSA-At22-447Wmuller_tdM9q5gCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kmU9tkQpRXw/XuCzqEoKK1I/AAAAAAALtUI/jpodPym8lAQdGJ4heYptcFe5CIBKSceNQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
10 years ago
Habarileo24 Nov
Pinda afunguka sakata la Escrow
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema taarifa nyingi za mjadala wa akaunti ya Escrow iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme kati ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) ambao unaendelea bungeni, umeongezwa chumvi na wakati ukifika Watanzania watatolewa taarifa kamili.
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Sakata ya Escrow leo jioni
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Lissu amtaja JK sakata la escrow
10 years ago
Habarileo29 Nov
Wabunge waungana sakata la Escrow
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana lilikuwa moja dhidi ya utoaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), huku baadhi ya mawaziri wakitofautiana na taarifa ya Serikali ya utetezi wa suala hilo.