Mwenyekiti wa Ukawa afariki dunia
JONAS MUSHI, DAR NA FLORENCE SANAWA, MTWARA
MWENYEKITI mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk. Emmanuel Makaidi, amefariki dunia.
Dk. Makaidi ambaye alikuwa akigombea ubunge katika Jimbo la Masasi mkoani Mtwara kupitia Chama cha NLD alichokuwa mwenyekiti wake, alifariki dunia jana saa 7:15 mchana katika Hospitali ya Nyangao, mkoani Lindi alikokuwa akitibiwa.
Akizungumza na MTANZANIA kwa njia ya simu jana, Meneja wa kampeni za Makaidi, Faraji Mangochi, alisema kabla hajapelekwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi15 Oct
ALIYEKUWA MWENYEKITI WA UKAWA NA NLD. EMMANUEL MAKAIDI AFARIKI DUNIA
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/P1iterCve3P81J3Zef--nJSyYac9aXLRICojNDu6Sier_pa79P9lYmwMszGqtXVhqzHNaNFP_wookvMc8GrDDaTtdaZ_G4JgDE4kQs2UzhITfNbCn1JsItJBCJjOOtvpBvSfAboQjW1-w5Jfkf0zsN4GRtQ6wVo=s0-d-e1-ft#http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2731006/highRes/1021109/-/maxw/600/-/i9vq6k/-/Makaidi.jpg)
WASIFU WA MAREHEMU KWA UFUPI:Dk Emmanuel Makaidi alikuwa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha NLD na ni mhandisi aliyebobea. Alizaliwa Aprili 10, 1941 huko wilayani Masasi mkoani Mtwara. Baba yake mzazi alikuwa ni katekista wa Kanisa la Anglikana.
Alianza elimu katika Shule ya Msingi Namalenga wilayani Masasi kati ya mwaka 1948 – 1952, mwaka 1953 – 1954 alisoma katika Shule ya Kati (Middle school)...
11 years ago
Habarileo13 Mar
Mwenyekiti wa Chadema Wilaya afariki dunia
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Kigoma, Bakari Menge amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/BREAKING-NEWS.gif)
MWENYEKITI WA NLD, EMMANUEL MAKAIDI AFARIKI DUNIA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dsVyWYlG9R8/XoGicFkqWBI/AAAAAAAC2DE/sj5eipa5_nYUfRVWOAuQp2OhBVBK5oLUwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ALIYEKUWA MWENYEKITI WA TAASISI YA SEKTA BINAFSI TANZANIA (TPSF) AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dsVyWYlG9R8/XoGicFkqWBI/AAAAAAAC2DE/sj5eipa5_nYUfRVWOAuQp2OhBVBK5oLUwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Oktoba 31, 2019, Salum Shamte pamoja na wenzake akiwemo Juma Shamte ambaye ndiye Mkurugenzi wa sasa wa Katani Limited na mjumbe wa bodi, Fatma Diwani walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Tanga wakikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3lUmVfdL0WI/VLYIdbL0uuI/AAAAAAAG9Ow/ICVrjepDnT8/s72-c/MMG22220.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Kata ya Miono,Saleh Mpwimbwi afariki Dunia leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-3lUmVfdL0WI/VLYIdbL0uuI/AAAAAAAG9Ow/ICVrjepDnT8/s1600/MMG22220.jpg)
Chanzo cha ajali hiyo,kinaelezwa kuwa ni kupasuka kwa tairi ya nyuma wakati akiwa kwenye mwendo na kushindwa kuliongoza gari hilo na kupelekea kupinduka.
Mwili wa Marehemu umepelewa kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo.
Taratibu zote za msiba huo,zinafanyika Nyumbani kwake...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-se3eUCrjsbU/VNMTzBJa9KI/AAAAAAAB2-4/c5YGyvtxFpY/s72-c/img_9322.jpg)
Msiba: Mjumbe wa NEC Ludewa ambae ni mwenyekiti wa UVCCM wilaya hiyo afariki dunia
Katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Ludewa Felix Haule alisema ...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-5igCj9nOA_Q/XqxCvPS1WwI/AAAAAAAC4Us/hkQiXvK5dqkMFgb6rKEijlHVp3qoHlDvwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MWENYEKITI WA SOKA LA WANAWAKE MKOA WA DAR ES SALAAM DKT. MANENO TAMBA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5igCj9nOA_Q/XqxCvPS1WwI/AAAAAAAC4Us/hkQiXvK5dqkMFgb6rKEijlHVp3qoHlDvwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0YLhL3N4cpU/XqxC2zSicmI/AAAAAAAC4Uw/_-zApnjuGNgwABeVpUqE9qE_atLDPqmVQCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
9 years ago
StarTV05 Oct
Mhamasishaji wa UKAWA Nyanda za juu Kusini afariki dunia
Mhamasishaji wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia Ukawa Kanda ya Nyanda za Juu kusini Erasmo Nyindi amefariki dunia kwenye ajali katika Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma akiwa katika ziara ya kazi .
Mtendaji Mkuu wa Kampeni za Ukawa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Rajabu Kaluwa amesema ajali hiyo ilisababishwa na watu walioshika tochi nyakati za usiku wakiwa na silaha kutaka kuteka nyara msafara wa Mgombea Ubunge katika Jimbo la Nyasa Cathbet Saule almaarufu kwa jina la Ngwata...
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia