MWIGIZAJI WA GHANA, JOSELYN ANASWA NA PENZI LA WIZKID
![](http://api.ning.com:80/files/*67Uoec4vv3alct0FUcE87CiW9Dd4lLiHchQ6gNP36e-82BYBlobzRmoNjtYCVM4khkUTQEYB-ES4PsakS7Z*qR1P-N2WfuK/DEM.jpg?width=650)
Mwigizaji wa sinema wa Ghana, Joselyn Dumas. JOSELYN DUMAS mwigizaji wa sinema wa Ghana (Ghollywood), amejikuta amenasa katika penzi la mwanamuziki maarufu wa Nigeria, Wizkid, ambapo waliitumia wikiendi iliyopita wakila bata katika hoteli ya Transcorp Hilton Abuja wakati wa tamasha la Usiku wa Wasanii (Acoustic Night). Joselyn Dumas akiwa na WizKid. Katika tamasha hilo, Joselyn alikutana pia na mwanamuziki Darey Art Alade ambaye...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOhJYHT-8EVWhibn646JC8BTH281JNnCIfH6tlBDbmSSXLgQMKV-sU6I5t9JxT3o8rORqwwYHTNsOSiJtmZuLxcG/image555555555555555555.jpg)
IYANYA AZAMA KATIKA PENZI NA MWIGIZAJI CHIPUKIZI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N5MmInSi-jD2H*ELb3ovjEEoKGBj2IXT*i42qY*vIUGik37eFXC*LASP0HZyJk7hZ0OgODtt7xzkzqyLXrddYbq/mnenguaji.jpg?width=650)
MNENGUAJI TWANGA ANASWA AKILILIA PENZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NDILiAzzLEUMmL-aWHOUWiipQ3uTB6kI-dx2wnEPnoiYRHIUnp10he5rfpmro0YkEJqGDgTkHsWQU0DiD57D3wCVpunrZ9hf/rose.jpg)
ROSE NDAUKA ANASWA AKIHAHA PENZI LA T.I
10 years ago
Vijimambo06 Feb
GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255F825900000578-2941812-Ghana_players_celebrate_in_front_of_coach_Avram_Grant_en_route_t-a-58_1423173831453.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255FE1F400000578-2941812-PLayers_wait_on_the_pitch_as_a_helicopter_tries_to_control_an_ag-a-59_1423173831469.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255FDBF800000578-2941812-Ghana_players_are_shielded_by_riot_police_after_being_pelted_by_-a-60_1423173831479.jpg)
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Mwigizaji wa filamu ya Godzilla afariki
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHPXjb9JjjWbGdisDBWHgIYifsVgnM25*Qu5aKbbgfSOBSQKMkComghXTp0K3F-GaPuJO83UEyP4X1WCjVJzSFh/1.jpg)
MWIGIZAJI BOB HOSKINS AFARIKI DUNIA
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Mwigizaji wa Bongo ashinda tuzo Marekani
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MWIGIZAJI wa filamu nchini, omary Clayton, ameibuka kidedea katika kipengele cha msanii bora wa kiume kwenye tuzo za Califonia Online Viewers Choice Awards (COVCA) zilizotolewa usiku wa kuamkia jana huko Marekani.
Nyota huyo ni moja ya waigizaji wakuu waliofanya vizuri kwenye filamu inayoitwa Dogo Masai iliyomfanya Omary Clayton kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.
“Daah mpaka nimetokwa na machozi, sijui niseme nini ila kikubwa namshukuru Mungu na Watanzania wote kwa...
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
Je, hiki kitu ni kweli kumhusu mwigizaji JB?
Kutoka kwenye mtandao maarufu wa habari nchini - BongoClanTz tumekutana na ujumbe huu unaomlenga msanii nguli nchini Jacob Steve ama JB kama wengi wanavyopenda kumuita.
Ujumbe huu ni kuhusu kazi zake mbalimbali za filamu anazozifanya mwigizaji huyu. Na unasomeka kama ifuatavyo’-
“Mimi sio mpenzi sana wa kuangalia filamu, ila mara chache tu huwa naangalia hasa kwenye mabasi ninaposafiri.
Kitu kinachonikera kwenye hizi Bongo movie hasa za JB ni kutumia wahusika wale wale na theme ile ile...
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Mwigizaji Lulu atamani nafasi ya Dk Tulia Bungeni
NA MWANDISHI WETU
BAADA ya Dk Tulia kushinda nafasi ya Naibu Spika, mwigizaji mwenye makeke mengi, Elizabeth Michael (Lulu) ameandika katika ukurasa wake wa Instagram akimpongeza kutokana na elimu yake ambayo anaamini ndiyo iliyompeleka katika nafasi hiyo ya Unaibu Spika.
“Kusoma kuzuri jamani, wakati wakina nanii wanaendelea kunyooshana Insta, watu na elimu zao wananyoosha kwenye vyenye maana, dada Tulia hapo kanyoosha kwenye Unaibu Spika bila hata ya wigi wala ‘make up’, sema nami siko...