Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwingiliano vipaumbele waathiri maendeleo

MWINGILIANO wa vipaumbele kwenye miradi ya maendeleo wilayani Lindi mkoani hapa, umetajwa kusababisha kusuasua au kutomalizika miradi ya maendeleo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Shein ahimiza vipaumbele mipango ya maendeleo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amesisitiza umuhimu kwa wizara kutambua vipaumbele katika kupanga bajeti ili kupata matokeo mazuri.

 

9 years ago

Michuzi

AFRIKA KUZINGATIA VIPAUMBELE VYAKE WAKATI WA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO

 Katibu Mkuu wa  Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, akizungumza siku ya Jumanne, wakati  Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilipopitisha Azimio linalowasilisha kwa Viongozi Wakuu wa Nchi na Serikali  Malengo na Ajenda mpya za Maendeleo Endelevu ( Ajenda 2030)   Anaonekana pia Rais wa Baraza Kuu la 69, Bw. Sam Kutessa .Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa,  akiwa na Afisa Mkuu Siongelael Shilla wakati wa upitishaji wa Azimio  namba A/69/L.85   kuhusu Ajenda...

 

10 years ago

Habarileo

Utoaji mimba holela waathiri Kagera

IMEELEZWA kuwa kati ya wajawazito kumi ambao hulazwa katika hospitali ya mkoa wa Kagera kwa mwezi mmoja hufa kwa sababu ya kutoa mimba kwa njia za kienyeji.

 

11 years ago

Habarileo

Mfumo mbovu waathiri elimu - Kitila

Mhadhiri wa Chuo Kikuu, Dk Kitila MkumboMFUMO mbovu wa elimu hapa nchini, umetajwa kusababisha wanafunzi katika shule za umma kusoma kwa mtindo wa kupenya, hali inayosababisha kuwepo kwa idadi kubwa ya watu walioenda shule, lakini idadi ya wanaoelimika kushuka.

 

10 years ago

Habarileo

Ucheleweshaji wa fedha waathiri halmashauri Rukwa

KILIO cha ucheleweshaji au utoaji pungufu wa fedha za bajeti kutoka serikali kuu kimeendelea kutawala halmashauri zote katika Mkoa wa Rukwa, ambazo watendaji wake wameomba juhudi zifanyike kunusuru miradi ya maendeleo kukwama.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utalii waathiri paka na mbwa Kenya

Je Utalii unaathiri vipi paka na mbwa nchini Kenya ?

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Uchaguzi waathiri mbio za Mwenge

Vuguvugu la Uchaguzi Mkuu unaoendelea nchini linaelezwa kuwa chanzo cha kudorora kwa mbio za Mwenge kulinganishwa na miaka iliyopita.

 

11 years ago

Mwananchi

Uhaba wa fedha waathiri wagonjwa Zanzibar

Wagonjwa wa akili katika Hospitali ya Kidongochekundu, wamekuwa wakipewa mlo mmoja kwa siku katika kipindi cha mwaka mmoja na wakati mwingine kulala giza kutokana na Wizara ya Afya Zanzibar kushindwa kutoa fedha za matumizi kwa muda mwafaka, imefahamika visiwani humu jana.

 

10 years ago

Habarileo

Ukosefu wa dawa waathiri uzazi wa mpango

UKOSEFU wa dawa na uchache wa watoa huduma katika suala la uzazi wa mpango inaelezwa kuwa ni sababu kubwa ya Watanzania wengi hasa wa vijijini kushindwa kutumia njia za uzazi wa mpango.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani