Mzindakaya: Wanaoshutumu Bunge wana ajenda ya siri
MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya amesema watu wasioitakia mema wameumbuka baada ya wajumbe wa Bunge Maalumu kuamua kubakia wamoja na kupata Katiba Inayopendekezwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
BUNGE MAALUMU LA KATIBA: CCM ina ajenda ya siri
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kama chama tawala kwa muda mrefu Tanzania, kimejizatiti kimkakati kudhibiti mchakato wa uandikaji wa Katiba mpya! Dhamira ya CCM juu ya uandikaji wa Katiba mpya umejikita...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Wana-CCM wanahofia nini kura za siri?
9 years ago
Bongo523 Dec
Wanaoenda kushoot South wana biashara za siri – Afande Sele
![Afande-Sele-nzuri_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/Afande-Sele-nzuri_full-300x194.jpg)
Afande Sele amedai kuwa anawashangaa wasanii wanaoenda kushoot video zao nje ya nchi wakati Tanzania ina kila kitu.
Rapa huyo mkongwe aliyekuwa kimya kutokana na shughuli za kampeni, ameiambia Bongo5 kuwa anaamini wasanii wanaosafiri kwaajili ya kushoot video nje, wana bishara zao za siri.
“Kwenye kushoot video nje ni ulimbukeni,” amesema.
“Tanzania tuna kila kitu kuliko hata huko wanakoenda. Mimi hii naitafsiri ni usaliti wa nchi, sisi tunakosa nini hapa nyumbani? Tuna milima, mbuga,...
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Kura ya siri yapasua Bunge
KURA ya siri sasa imegeuka mwiba mchungu kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo sasa kimeapa kufa na kada yeyote atakayeunga mkono upigaji wa kura hiyo katika kupitisha vifungu vya Rasimu...
11 years ago
Habarileo28 Feb
Kura ya siri yaweka Bunge njiapanda
KIFUNGU cha kura ya siri katika Rasimu ya Kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, kimeliweka Bunge njia panda baada ya wajumbe bila kujali vyama na makundi, kugawanyika.
10 years ago
Mtanzania24 Sep
Siri ya AG Z’bar kujiuzulu Bunge la Katiba yabainika
![Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Othman-Masoud-Othman.jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman
NA WAANDISHI WETU, DAR NA DODOMA
SIRI ya Mwanasheria Mkuu (AG) wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman kujiuzulu ujumbe wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba, imebainika.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Kamati ya Uandishi ya Bunge hilo, kililiambia MTANZANIA kuwa wakati vikao vya kamati hiyo vikiendelea, Othman alipendekeza mambo 17 yenye maslahi kwa Zanzibar yaingizwe ndani ya...
11 years ago
Mwananchi16 Jun
Siri ya mvutano Serikali, Bunge kuanikwa leo
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Kura ya siri, wazi kaa la moto Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Kura ya siri yazua mjadala mkali #Bunge la #Katiba [VIDEO]