Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NAFASI ZA KAZI - MANAGEMENT TRAINEES (A1 OUTDOORS ADVERTISING)

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo5

Z Anto kufanya kazi na management mbili kwa pamoja

Z Anto

Z Anto amesema huenda akafanya kazi na management mbili katika huu ujio wake mpya.

Z Anto

Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa sasa hivi yupo kwenye mazungumzo na management hizo ambazo zinataka kufanya naye kazi pamoja.

“Mimi kazi zangu zitaanda kutoka December, video na audio,” asema. “Pia nipo kwenye mazungumzo na management mpya sio ya Babu Tale, lakini kwa sababu tupo kwenye mazungumzo na zote zinaonesha nia ya kufanya kazi na mimi, sioni tatizo la kuwa na management mbili kwa wakati mmoja....

 

11 years ago

CloudsFM

ALLY KIBA AILAUMU ‘MANAGEMENT’ YAKE YA ZAMANI KWA KUM-HARIBIA KAZI

STAA wa Bongo Fleva,Ally Kiba real baada ya kukaa kimya kwa zaidi ya mwaka mmoja na nusu, wiki iliyopita aliachia ngoma yake mpya iitwayo ‘Pita Mbele’ aliyofanya na ndugu yake Abdu Kiba(Kiba Square, alipoulizwa sababu za ukimya wake ally kiba alifunguka kuwa moja wapo ni kumpa nafasi mdogo wake afanye muziki zaidi, lakini sababu nyingine ya Ally Kiba kupotea ni kuwa management aliyokuwa nayo mwanzo ilimuharibia kazi zake.

 

10 years ago

Michuzi

NAFASI ZA KAZI

Wanahitajika wasichana wa kuuza duka kubwa liliopo posta jijini dar es salaam, wenye uwezo wa kufanya Marketing, na Online Sales. 
wawe na uwezo wa kuzungumza kiingereza na kiswahili fasaha. elimu kuanzia diploma.
Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0756608383 na 0713608383

 

11 years ago

TZToday

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi...

 

10 years ago

Vijimambo

NAFASI YA KAZI UBALOZI WA MAREKANI


EMPLOYMENT OPPORTUNITY

PROCUREMENT AGENT (RE-ADVERTISED)ALL ORDINARILY RESIDENT (OR) APPLICANTS MUST HAVE THE REQUIRED WORK AND/OR RESIDENCY PERMITS TO BE ELIGIBLE FOR CONSIDERATION.The US Embassy is seeking for an individual for the position of Procurement Agent in the General Services Section.BASIC FUNCTION OF POSITIONAs part of the Procurement Team, incumbent will be responsible for all acquisition requirements for Department of State – Dar es Salaam and other related government agencies....

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

BBCSwahili

Nafasi ya kazi BBC Swahili

BBC Swahili ofisi ya Nairobi inamtafuta mwandishi habari mwenye uwezo wa kuripoti kwa lugha ya kiingereza na kiswahili

 

11 years ago

GPL

NAFASI ZA KAZI KUTOKA TANAPA

1.0 MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 100) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.

1.1 MAJUKUMU YA KAZI Kufanya doria ndani na nje ya maeneo ya hifadhi Kudhibiti vitendo vya ujangili nje na ndani ya hifadhi Kusimamia shughuli za uwindaji wa kitalii na utalii wa picha Kulinda binadamu na mali zake dhidi ya Wanyamapori Kukusanya na kulinda Nyara za Serikali Kufanya usafi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani