NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. MOLLEL ATEMBELEA BOHARI KUU YA DAWA (MSD) JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-dw_PauBelXI/XvdEAZMR7kI/AAAAAAAC8jA/JYe4WGrVv3IlZ9ZKG4plEIK7H5avORfpACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Na WAMJW- DSM.Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Dkt Godwin Mollel ametembelea Bohari ya Dawa (MSD) Makao Makuu na kuzungumza na watumishi wa taasisi hiyo ili kufahamu namna taasisi hiyo inavotekeleza majukumu yake.
Akizungumza na viongozi wa Bohari ya Dawa Jijini Dar es Salaam Dkt Mollel amesema lengo la kutembelea taasisi hiyo ni kuangalia maboresho katika uagizaji, utunzaji na usambazaji wa dawa vifaa tiba na vitendanishi vya maabara ili kuboresha huduma ya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBOHARI YA DAWA (MSD) YASHIRIKI MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, SAID SADIKI AIPONGEZA BOHARI YA DAWA (MSD) KWA KUTOA HUDUMA BORA
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA BOHARI YA DAWA MSD
10 years ago
GPLMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, SAID MECKY SADICK AIPONGEZA BOHARI YA DAWA (MSD) KWA KUTOA HUDUMA BORA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-UYJcLH-Hixg/Xtx6IL2q6sI/AAAAAAAC69k/P3w3lXKl3lM23GUVxHdeqCjax_c4RkrWwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. MOLLEL AFAGIA UONGOZO HOSPITALI YA MAUNT MERU
![](https://1.bp.blogspot.com/-UYJcLH-Hixg/Xtx6IL2q6sI/AAAAAAAC69k/P3w3lXKl3lM23GUVxHdeqCjax_c4RkrWwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Dkt. Mollel ametoa agizo hilo wakati alipofanya ziara katika Hospitali hiyo na kuzungumza na timu ya uendeshaji wa huduma za Afya ya Mkoa ukiongozwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A9ANvk03BiI/XuCPh6n8QNI/AAAAAAAAVXA/rJhFNTT11nAmROz4NqOp4jLRvf6o5Ki6QCLcBGAsYHQ/s72-c/0f346207-5dc6-4a08-a2d0-840555665cdb.jpg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. GODWIN MOLLEL ATETA NA MADEREVA WA MALORI NAMANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-A9ANvk03BiI/XuCPh6n8QNI/AAAAAAAAVXA/rJhFNTT11nAmROz4NqOp4jLRvf6o5Ki6QCLcBGAsYHQ/s400/0f346207-5dc6-4a08-a2d0-840555665cdb.jpg)
Dkt. Mollel amefanya ziara hiyo leo, ikiwa ni sehemu ya kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazowakumba madereva hao, katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona.
Dkt....
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-okOqTNvSGZw/UuvcvtoZFpI/AAAAAAAFJ90/6vC_4DlasWE/s72-c/unnamed+(21).jpg)
Naibu waziri wa mambo ja nje wa Japan atembelea shirika la reli jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-okOqTNvSGZw/UuvcvtoZFpI/AAAAAAAFJ90/6vC_4DlasWE/s1600/unnamed+(21).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QTNvzHJYPdU/UuvcvpXGkiI/AAAAAAAFJ-M/o9u0p0nsp_I/s1600/unnamed+(22).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-T56Ho0rXFCo/UwYiy9pDnLI/AAAAAAAFOXQ/-1v0oRADaOc/s72-c/DSC_9936.jpg)
MSD yatoa utaratibu wa manunuzi ya dawa ndani ya bohari ya dawa
![](http://2.bp.blogspot.com/-T56Ho0rXFCo/UwYiy9pDnLI/AAAAAAAFOXQ/-1v0oRADaOc/s1600/DSC_9936.jpg)
11 years ago
MichuziWaziri wa Afya atembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya jijini Dar