Nakumatt yafungua tawi la kwanza nchini Tanzania leo, yapanga kufungua mengine mawili siku zijazo
KAMPUNI ya Nakumatt Holdings, imezindua rasmi tawi la kwanza kati ya matawi yake matatu makubwa nchini Tanzania ambayo awali yalimilikiwa na Kampuni ya Shoprite ya Afrika ya Kusini. Ikiwa ni mpango wake mpya wa kuboresha zaidi huduma zake, Nakumatt holdings, imezindua tawi hilo kubwa ambalo litakuwa utambulisho muhimu wa huduma zake katika eneo la biashara la Mlimani City litakaloitwa Nakumatt Mlimani. Tawi hilo la 48 la Nakumatt limepambwa kwa rangi na mwonekano wa alama za Nakumatt na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziBENKI YA EXIM TANZANIA YAFUNGUA TAWI JIPYA ZANZIBAR
10 years ago
MichuziDiamond Trust Bank Tanzania yafungua tawi la 21 - Mkoani Mtwara
======== ======= =======Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Diamond Trust Bank Tanzania Limited (DTBT), Abdul Samji,...
9 years ago
MichuziTIMU ZA FC BONGO NA FC KILIMANJARO ZILITOKA SARE YA MABAO MAWILI MAWILI KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA KTK JIJI LA HELSINKI NCHINI FINLAND
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Exim yafungua tawi Lumumba
BENKI ya Exim Tanzania imeendelea kutanua wigo kwa wateja wake nchini kwa kufungua tawi jipya mtaa wa Lumumba, jijini Dar es Salaam. Tawi hilo la Ushirika linaongeza idadi ya mtandao...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
TPB yafungua tawi Kigoma
BENKI ya Posta Tanzania (TPB) imezindua tawi jipya mjini Kigoma katika jengo la Mamlaka ya Mapato (TRA). Akizindua tawi hilo mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Sabasaba Moshingi...
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Al_Qaeda yafungua tawi India
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
NMB yafungua tawi Tabata
BENKI ya NMB imefungua tawi jipya maeneo ya Tabata, Barabara ya Mandela, Dar es Salaam. Ufunguzi wa tawi hilo la 20 jijini hapa umekuja ili kuongeza wigo wa matawi ya...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Benki ya Exim yafungua tawi
10 years ago
GPLYANGA SC YAFUNGUA TAWI LA WANACHAMA KAHAMA