Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndalichako sasa ni Profesa

WIZARA ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, imefafanua kuwa sifa ya kitaaluma ya waziri wa wizara hiyo ni Profesa Joyce Ndalichako; na siyo Dk Joyce Ndalichako.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Profesa Ndalichako ana kibarua cha kuiokoa elimu nchini

Siku chache zilizopita, aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani (Necta) Profesa Joyce Ndalichako, alikula kiapo cha kuongoza Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, ikiwa ni mwaka mmoja tangu alipoondoka kwa utata katika sekta ya elimu.

 

5 years ago

Michuzi

LEO SITALALA HADI RATIBA ZA MITIHANI YOTE IKAMILIKE -PROFESA NDALICHAKO

Na Leandra Gabriel, Michuzi TVWAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa  Joyce Ndalichako amesema baada ya Rais Dk.John Magufuli kutangaza kufunguliwa kwa shule zote Juni 29,2020, yeye leo hii hatalala kuhakikisha anapanga ratiba yote ya mitihani ya darasa la nne, darasa la saba na kidato cha nne.
Ametumia pia nafasi hiyo kueleza kuwa kwa sasa hali ni shwari na uamuzi wa shule kufunguliwa Juni 2020 umemfurahisha hivyo wanafunzi wajiandae na mchakamchaka wa masomo utakaoanza...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ELIMU,SAYANSI,TEKNOLOGIA NA UFUNDI PROFESA. JOYCE NDALICHAKO ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA NACTE

 Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Profesa. Joyce Ndalichako, akitembezwa katika maeneo ya ofisi za Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) jijini Dar es salaam jana na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dk.Primus Nkwera. Waziri huyo alikuwa katika ziara ya kutembelea taasisi za elimu zilizochini ya wizara yake. Na Mpigapicha wetu. Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako (kushoto), akisisitiza jambo, alipokuwa akizungumza na wafanykazi wa Baraza...

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Bagadanshwa: Profesa aliyeshinda vikwazo vya kuwa mlemavu wa kutoona

Baadhi ya watu wenye ulemavu wanathibitisha kuwa ulemavu si kikwazo cha binadamu kutafuta haki ya msingi ya kupata elimu.

 

9 years ago

Habarileo

Ndalichako kuanza na sekondari za serikali

WAZIRI wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Dk Joyce Ndalichako, amesema atafuatilia shule za Serikali ili kujua sababu za kufanya vibaya katika mitihani yao. Dk Ndalichako ambaye aliwahi kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani (Necta), amesema hayo jana baada ya kuapishwa na Rais John Magufuli, kushika wadhifa huo.

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Ndalichako ajitosa Umeya jiji la Dar

DIWANI wa Kata ya Chang’ombe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Benjamini Lazaro Ndalichako amejitosa rasmi katika kinyan’ganyiro cha kuwania Umeya wa Jiji la Dar es Saalam.Anaandika Michael Sarungi … (endelea).Ndalichako ni diwani wa kwanza kurejesha fomu ya kuwania nafasi hiyo huku milango ya chama hicho kwa nafasi hiyo ikiwa wazi hadi kesho saa nne.Akizungumza na waandishi

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Tanzania: Ndalichako's Appointment Impresses Analysts


Tanzania: Ndalichako's Appointment Impresses Analysts
AllAfrica.com
Arusha — She looks a bit reserved and her eyes do not reflect a personality who has dealt with some of the most challenging situations in the education sector. Yet Dr Joyce Ndalichako, the newly-appointed minister for Education, Science, and ...

 

9 years ago

Mwananchi

MAKALA: Dk Ndalichako ni mtu sahihi Wizara ya Elimu

Mipango mingi imepangwa, ukiwamo ule wa Matokeo Makubwa sasa (BRN) lengo likiwa ni kuhakikisha nchi inapata mafanikio katika sekta mbalimbali.

 

9 years ago

Mwananchi

Ndalichako azibana Nacte, TET kuhusu ubora wa elimu

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako ametoa siku 30 kwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte), Dk Primus Nkwera kufanya ukaguzi wa vyuo vyote na kumkabidhi ripoti ili kujiridhisha na ubora wa elimu inayotolewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani