Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC itumie uchaguzi mdogo kurekebisha kasoro

Jumapili hii wananchi kwenye  majimbo manane na kata 56 ambao hawakufanya uchaguzi wa wawakilishi wao katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, wataanza mchakato huo kwa kuanzia na uchaguzi wa ubunge katika Jimbo la Lulindi mkoani Mtwara.NEC itumie uchaguzi  mdogo kurekebisha kasoro

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

UVCCM Taifa waitaka NEC kurekebisha kasoro

Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa UVCCM umeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuhakikisha inarekebisha kasoro zote zilizojitokeza wakati wa kazi ya uandikishwaji kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura ili zisijitokeze tena kwenye uchaguzi Mkuu.

Aidha umelitaka jeshi la polisi kuhakikisha linaimarisha usalama wakati wote wa kuanza harakati za kampeni na uchaguzi unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.

Akizungumza Jijini Dar es salaam, Shaka amesema uhakika na ufanisi ni  mambo...

 

11 years ago

Mwananchi

NEC yakiri kasoro daftari la wapigakura

>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema daftari la kudumu la wapiga kura lililopo limegubikwa na kasoro nyingi zinazowafanya watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa kuinyooshea kidole tume hiyo.

 

10 years ago

Raia Tanzania

NEC irekebishe kasoro hizi BVR

JANA, wananchi wa Dar es Salaam walianza kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu na mingine inayokuja miaka ijayo.

Hata hivyo, tumesikitishwa na baadhi ya matukio yaliyotokea katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam jana kutokana na kasoro kadhaa zilizojitokeza na kusababisha usumbufu na madhara yasiyo na sababu.

Kwanza, kumekuwapo na matatizo ya vifaa vyenyewe vya kuandikishia ambapo kuna watu walifika vituoni mapema na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

NEC iepuke kasoro hizi, kufanikisha uandikishaji 

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatarajia kuanza kazi ya uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ambalo linatumia mfumo mpya wa ‘Biometric Voter Registration Kit’ , kazi ambayo...

 

9 years ago

Habarileo

Ulingo wataja kasoro uchaguzi mkuu

ASASI ya Umoja wa Wanasiasa Wanawake (ULINGO) imesema uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 katika baadhi ya maeneo haukuwa huru na haki.

 

10 years ago

Mwananchi

Ni lini tutakuwa na uchaguzi usio na kasoro tele?

Kwa mujibu wa Ibara ya 145 ya Katiba, serikali za mitaa ni vyombo vya wananchi ambavyo huundwa, huendeshwa na huwajibika kwa wananchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Kasoro uchaguzi mwaka huu zitafutiwe dawa

Ni dhahiri kwamba Watanzania wameonyesha ukomavu mwingi ambao unazidi kuwaweka kwenye rekodi za kujivunia kwa miaka mingi ijayo.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM, wapinzani walalamikia kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchaguzi

Katika hali isiyotarajiwa na wengi karibu viongozi wote wa vyama vya siasa wakiwamo wa Chama tawala CCM waliohojiwa kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wamelalamikia uchaguzi huo na kuainisha kasoro mbalimbali zilizochangia kuvuruga kazi hiyo yote. Baadhi ya kasoro hizo ni pamoja na kukosekana kwa majina ya wapiga kura, majina ya wagombea kujichanganya na nembo za vyama kuwekwa tofauti. Kasoro zingine ni kuchelewa kuanza kwa uchaguzi huo, majina ya watu kutumika kupigiwa kura na...

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo

TUME ya Taifa ya uchaguzi imevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuhakikisha kuwa wanawatumia mawakala wanaotoka katika maeneo au vituo husika vya kupigia kura,ambao watawafahamua na kuwatambua wapiga kura wa eneo husika. 
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani