NEC itumie uchaguzi mdogo kurekebisha kasoro
Jumapili hii wananchi kwenye majimbo manane na kata 56 ambao hawakufanya uchaguzi wa wawakilishi wao katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, wataanza mchakato huo kwa kuanzia na uchaguzi wa ubunge katika Jimbo la Lulindi mkoani Mtwara.NEC itumie uchaguzi mdogo kurekebisha kasoro
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV22 Aug
UVCCM Taifa waitaka NEC kurekebisha kasoro
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa UVCCM umeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuhakikisha inarekebisha kasoro zote zilizojitokeza wakati wa kazi ya uandikishwaji kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura ili zisijitokeze tena kwenye uchaguzi Mkuu.
Aidha umelitaka jeshi la polisi kuhakikisha linaimarisha usalama wakati wote wa kuanza harakati za kampeni na uchaguzi unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Akizungumza Jijini Dar es salaam, Shaka amesema uhakika na ufanisi ni mambo...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
NEC yakiri kasoro daftari la wapigakura
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
NEC irekebishe kasoro hizi BVR
JANA, wananchi wa Dar es Salaam walianza kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu na mingine inayokuja miaka ijayo.
Hata hivyo, tumesikitishwa na baadhi ya matukio yaliyotokea katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam jana kutokana na kasoro kadhaa zilizojitokeza na kusababisha usumbufu na madhara yasiyo na sababu.
Kwanza, kumekuwapo na matatizo ya vifaa vyenyewe vya kuandikishia ambapo kuna watu walifika vituoni mapema na...
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
NEC iepuke kasoro hizi, kufanikisha uandikishajiÂ
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatarajia kuanza kazi ya uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ambalo linatumia mfumo mpya wa ‘Biometric Voter Registration Kit’ , kazi ambayo...
9 years ago
Habarileo04 Nov
Ulingo wataja kasoro uchaguzi mkuu
ASASI ya Umoja wa Wanasiasa Wanawake (ULINGO) imesema uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 katika baadhi ya maeneo haukuwa huru na haki.
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Ni lini tutakuwa na uchaguzi usio na kasoro tele?
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Kasoro uchaguzi mwaka huu zitafutiwe dawa
10 years ago
Mwananchi24 Dec
CCM, wapinzani walalamikia kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchaguzi
11 years ago
MichuziTume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...