NEC iepuke kasoro hizi, kufanikisha uandikishajiÂ
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatarajia kuanza kazi ya uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ambalo linatumia mfumo mpya wa ‘Biometric Voter Registration Kit’ , kazi ambayo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
NEC irekebishe kasoro hizi BVR
JANA, wananchi wa Dar es Salaam walianza kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu na mingine inayokuja miaka ijayo.
Hata hivyo, tumesikitishwa na baadhi ya matukio yaliyotokea katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam jana kutokana na kasoro kadhaa zilizojitokeza na kusababisha usumbufu na madhara yasiyo na sababu.
Kwanza, kumekuwapo na matatizo ya vifaa vyenyewe vya kuandikishia ambapo kuna watu walifika vituoni mapema na...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
NEC yakiri kasoro daftari la wapigakura
9 years ago
StarTV22 Aug
UVCCM Taifa waitaka NEC kurekebisha kasoro
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa UVCCM umeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuhakikisha inarekebisha kasoro zote zilizojitokeza wakati wa kazi ya uandikishwaji kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura ili zisijitokeze tena kwenye uchaguzi Mkuu.
Aidha umelitaka jeshi la polisi kuhakikisha linaimarisha usalama wakati wote wa kuanza harakati za kampeni na uchaguzi unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Akizungumza Jijini Dar es salaam, Shaka amesema uhakika na ufanisi ni mambo...
9 years ago
Mwananchi12 Nov
NEC itumie uchaguzi mdogo kurekebisha kasoro
9 years ago
StarTV22 Aug
Hizi hapa sababu za Mtikila kuenguliwa NEC.
Wakati Lowassa atagombea urais kwa tiketi ya Chadema, akiungwa mkono na vyama vinne vinavyounda Ukawa, Dk Magufuli anawania nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM, huku mwanasiasa maarufu nchini, Mchungaji Christopher Mtikila akikataliwa...
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Kinondoni iepuke yaliyotokea Temeke ugawaji wa viwanja
JUNI 2012 Manispaa ya Temeke iliwatangazia wananchi mpango wa kuuza viwanja 1,800 eneo la Gezaulole, Dar es Salaam kwa ajili ya kujenga maeneo yaliyo rasmi na kuepuka ujenzi holela. Matamanio...
9 years ago
Vijimambo29 Oct
HIZI NDIZO SABABU YA KWANINI MATOKEO YA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO KURA ZILIZOPIGWA ZANZIBAR HAYAKUATHIRI KURA ZA NEC
![](https://zanzibarislamicnews.files.wordpress.com/2010/08/tume.jpg?w=570)
Katika uchaguzi wa Zanzibar, utaratibu ni kwamba Watanzania Zanzibar wanapiga kura 5, yaani Rais wa Zanz, Mwakilishi na diwani. Pia wanapiga kura ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge.
Kwenye kituo cha kupigia kura kuna meza 2. Moja ni ya tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) na nyingine ni ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Meza ya NEC ina watumishi wake na Meza ya ZEC ina watumishi wake.
Watumishi wa NEC wanaripoti moja kwa moja kwa NEC na watumishi wa ZEC wanaripoti moja kwa moja...
10 years ago
Vijimambo20 Sep
HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/1907844_296860830516152_1936768200218849652_n.jpg?oh=3a3c6ce546a7a1c5416e1f3681005be1&oe=54CEAEDE&__gda__=1422949262_1d62cb09b57fa35cca6b5f8edd31248b)
Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Siri ya kufanikisha biashara yako