Netanyahu na Abbas katika malumbano tena
Waziri mkuu wa Israel amelaumu kiongozi wa mamlaka ya Palestina kwa kuchochea machafuko mapya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Mahmoud Abbas,Netanyahu waandamana
11 years ago
Habarileo12 Mar
‘Viongozi wa vyama acheni malumbano’
VIONGOZI wa vyama vya siasa nchini, wametakiwa kuacha malumbano ndani ya vyama vyao hali inayoathiri jamii hususani taasisi za dini. Hayo yalisemwa jana na Kiongozi wa baraza la mashehe wilaya ya Arumeru, Haruna Husein wakati akizungumza katika kongamano la kuchangia fedha kwa ajili ya Radio Umoja FM lililofanyika mjini hapa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXoZvjWZMNHExEDssj7cqrMSdx40j6fRDm7MEQrDYmjKC3XFMdfpS*95DtCY1Yt14YraSsoWy*Zm9tlkfbs8aPjX/DAYNA.jpg?width=650)
DAYNA: SITAKI MALUMBANO NA DIAMOND
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Malumbano ya EALA hayana mashiko
WIKI iliyopita ulijitokeza mvutano mkubwa ndani ya Bunge la Afrika Mashariki (EALA) na kukwamisha shughuli za Bunge hilo baada ya baadhi ya wabunge kugoma, wakitaka kwanza Mbunge kutoka Tanzania, Shyrose...
10 years ago
Habarileo25 Feb
Warioba: Malumbano kura ya maoni hayafai
WAZIRI Mkuu mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Warioba amevitaka vyama vya siasa kuzingatia matakwa ya wananchi katika suala zima la Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa na badala ya kuwagawa.
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Malumbano haya Mchakato wa Katiba hayatusaidii
9 years ago
Habarileo05 Dec
Malumbano ya kisheria yatawala kesi ya Mwale
MALUMBANO ya kisheria yameibuka jana baina ya mawakili upande wa Serikali na utetezi katika kesi ya utakatishaji fedha inayowakabili washtakiwa wanne akiwemo wakili maarufu wa jijini Arusha, Median Mwale hali iliyosababisha Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha kuendesha kesi ndani ya kesi.
11 years ago
Habarileo05 Mar
Wajumbe wanawake watikisa Bunge malumbano ya jinsi
UKUMBI wa Bunge Maalumu la Katiba umegeuka ukumbi wa malumbano ya kijinsi baada ya wajumbe wanawake, kusimama na kuimba, wakitaka haki zao kwenye kanuni za bunge hilo, kiongezwe kipengele kinachotaka kuzingatiwa jinsi kwenye nafasi za mwenyekiti na makamu wake wa bunge hilo.
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Mahmoud Abbas kuishtaki Israel