Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngassa gumzo Etoile

ngassaNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

KOCHA wa timu ya Etoile Du Sahel, Benzarti Faouzi amempigia saluti mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa kuwa ni mchezaji mwenye kasi na uwezo mkubwa.

Ngassa alionyesha kiwango kikubwa wakati timu yake ikivaana na Watunisia hao kwenye mchezo wa raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika ulioisha kwa sare ya bao 1-1.

Akizungumza jijini Dar es Salaam mara baada ya mchezo huo kocha huyo alisema, Ngassa ameweza kuendana na kasi waliyokuwa nayo wachezaji wake na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

YANGA, ETOILE ZAINGIZA MIL 22

Mchezo no.91 wa Kombe la Shirkisho barani Afrika (CC) hatua ya 16 bora uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam, kati ya wenyeji timu ya Young Africans dhidi ya Etoile du Sahel kutoka Tunisia umeingiza jumla ya sh. 223,135,000.
Jumla ya watazamaji 36,105 walikata tiketi kuhudhuria mchezo huo, huku VIP A zikikatwa tiketi 68, VIP B tiketi  869, VIP C tiketi 582, Orange tiketi 1,955 na viti vya rangi ya Bluu na Kijani tiketi 32,631 ziliuzwa.
Mgawanyo wa mapato ni VAT 18% sh....

 

11 years ago

BBC

Ahly and Etoile to renew rivalry

Egyptian giants Al Ahly are drawn alongside Tunisians Etoile du Sahel in the group stage of the Confederation Cup.

 

10 years ago

Mwananchi

Etoile wabashiri bakora tatu

Dar es Salaam. Mchezo wa soka si kamari. Kwa maana hiyo, ubashiri wa wapinzani wa Yanga, Etoile du Sahel walipotua nchini kwa ndege maalum jana alfajiri wakipunga mikono kwa vidole vitatu, unaifanya mechi ya leo iwe kivutio.

 

10 years ago

Mtanzania

Kocha Etoile aingia mitini

faouzibenzartiNA ONESMO KAPINGA

KOCHA Mkuu wa Etoile du Sahel ya Tunisia, Faouzi Benzarti, ameingia mitini baada ya kushindwa kutokea katika mkutano wa makocha na waandishi wa habari ulioandaliwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaochezwa leo katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Benzarti alishindwa kuhudhuria mkutano huo kwa madai walichoka baada ya kuwa angani kwa saa tisa wakitokea Tunisia ambapo waliwasili Dar es Salaam jana alfajiri.

Kwa...

 

11 years ago

BBC

Lemerre appointed coach of Etoile

Former France coach Roger Lemerre signs a six-month deal to become coach of Tunisian side Etoile du Sahel.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Etoile gusa unase

Dar es Salaam. Kocha wa Yanga, Hans Pluijn ana siku mbili za kutafuta mbinu sahihi za kuzuia mashambulizi hatari ya kipindi cha kwanza ya Etoile du Sahel ya Tunisia, Jumamosi kwa ajili ya kujihakikisha matokeo mazuri kwenye mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Etoile ni vita pevu

Sousse, Tunisia. Yanga imefanyiwa vurugu za kila namna baada ya kutua jijini Tunis na wapinzani wao, Etoile du Sahel juzi, lakini kocha Hans Pluijm amesema hakuna kipya katika vitimbi hivyo.

 

9 years ago

Habarileo

Etoile mabingwa Shirikisho Afrika

TIMU ya Tunisia ya Etoile Du Sahel juzi iliifunga Orlando Pirates 1-0 ya Afrika Kusini katika mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho na kutwaa taji hilo kwa ushindi wa jumla ya mabao 2-1.

 

10 years ago

BBCSwahili

Etoile na Yanga kupimana ubavu

Klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia inategemewa kuwasili Dar es Salaam wiki hii kwa ajili ya mechi dhidi ya Yanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani