NHC yakarabati majengo ya shule
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limetumia sh. milioni 31.5 kukarabati majengo ya utawala na madarasa katika Shule ya Msingi Hassanga, iliyopo Uyole jijini Mbeya.
Hatua hiyo inatokana na ombi la Kamati ya Uongozi wa shule hiyo iliyowasilishwa na Ofisa Elimu wa wilaya kwa uongozi wa NHC mkoa wa Mbeya, mapema mwaka huu.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi majengo hayo ambayo ni madarasa manne na jengo moja la utawala,...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-beXam-apnMw/VRlPwyp2iRI/AAAAAAAHOZ8/_k6FfTjQKaQ/s72-c/1B.jpg)
AIRTEL YAKARABATI DARASA SHULE YA MSINGI USHINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-beXam-apnMw/VRlPwyp2iRI/AAAAAAAHOZ8/_k6FfTjQKaQ/s1600/1B.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XRmBvNJ58Pw/VRlPyKTWfwI/AAAAAAAHOaM/HBGWVSMcqBU/s1600/2.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Apr
‘NHC iondolewe kodi ya majengo’
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Mchechu aongoza wafanyakazi wake kufanya usafi katika majengo ya NHC
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiongoza kwa vitendo zoezi la kufanya usafi katika majengo ya NHC na maeneo yanayozunguka barabara za Ali Hassan Mwinyi, Alikhan, Barak Obama na Magore UPANGA jijini Dar es Salaam leo. Menejimenti ya NHC imeamua kuwa kufanya usafi kwenye majengo ya Shirika ili kuonyesha kwa vitendo utekelezaji wa agizo la Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli wa kuitumia Sikukuu ya Uhuru na Jamhuri...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iODbUo3ZGQM/VSYiVbXqkpI/AAAAAAAHPsI/ssUKv2df7l0/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
WAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO, AAHIDI MAJENGO YA KAMBI YA MKANDARASI KUWA MALI YA SHULE YA MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iODbUo3ZGQM/VSYiVbXqkpI/AAAAAAAHPsI/ssUKv2df7l0/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2eGh_mz7mUQ/VSYiVwtNODI/AAAAAAAHPsM/h9Z_zaW6zho/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pg-3rZmzaiU/VSYiWmmKT5I/AAAAAAAHPsU/95XBUg5ES2M/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-J5AiAntFhUo/VV7jkMf5CzI/AAAAAAAHY9k/cMjETf0uLWM/s72-c/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
UCHAKAVU WA MAJENGO YA SHULE TISHIO KWA WANAFUNZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-J5AiAntFhUo/VV7jkMf5CzI/AAAAAAAHY9k/cMjETf0uLWM/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
Jengo la shule ya msingi Donyonaado.
Na Woinde Shizza,MonduliWakati shule nyingi nchini zinafunguliwa baada kumalizika kwa likizo
Wanakijiji wa kijiji cha Donyonaado kilichopo wilaya ya Monduli mkoani
Arusha wameeleza wasi wasi juu ya uchakavu wa jengo la shule ya Msingi
Idonyonaado huenda linaweza kuanguka na kusababisha maafa kwa
wanafunzi.
Shule hiyo iliyoko umbali wa kilomita 64 kutoka Monduli mjini
iliyojengwa kwa udongo na mawe na wanakijiji waliojitoa haina milango
na madirisha hivyo...
10 years ago
MichuziWAMA YAKABIDHI MAJENGO YA MADARASA SHULE YA SEKONDARI NYAMISATI MKOA WA PWANI WILAYA YA RUFIJI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dco6xnIJEJE/U9QojWLyMYI/AAAAAAAF6w8/vX7l5BRyFWA/s72-c/unnamed+(1).jpg)
shule ya chekechea na msingi Blue Tanzanite mkoani manyara yazindua eneo na majengo yake
![](http://4.bp.blogspot.com/-dco6xnIJEJE/U9QojWLyMYI/AAAAAAAF6w8/vX7l5BRyFWA/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GrfS2d_DezQ/U9QojYzgUhI/AAAAAAAF6w4/QZlmP-M4JdU/s1600/unnamed+(2).jpg)
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA NYUMBA TANZANIA (NHC) LAKARABATI SHULE YA HASSANGA JIJINI MBEYA
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
TLTC yakarabati gari la zimamoto Moro
KAMPUNI ya Tumbaku Tanzania (TLTC) imekarabati moja ya magari manne ya zimamoto mkoani Morogoro kwa gharama ya sh milioni 7.8 ili kusaidia idara hiyo kuboresha huduma zake. Akikabidhi gari hilo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10