Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni Sheeda ya Madee baada ya mfungo

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ahmed Ally ‘Madee’ amesema baada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, anatarajiwa kukiweka sokoni kibao chake kipya cha ‘Ni Sheeda’. Akizungumza jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo5

Madee amdiss Afande Sele, ni baada ya kuwaponda wanaoshoot video South

afande 2

Kauli ya Afande Sele kuwa wasanii wanaoenda kushoot video zao Afrika Kusini wanafanya biashara za siri, haijamuingia vyema hasimu wake wa muda mrefu, Madee.

afande 2

Bongo5 iliongea na msanii huyo mkongwe wiki hii na kudai kuwa haoni sababu ya maana wasanii wa Tanzania kwenda kufanya video zao nje ya nchi.

“Kwenye kushoot video nje ni ulimbukeni,” alisema.

“Tanzania tuna kila kitu kuliko hata huko wanakoenda. Mimi hii naitafsiri ni usaliti wa nchi, sisi tunakosa nini hapa nyumbani? Tuna milima,...

 

9 years ago

Bongo5

Madee aeleza sababu za Mb Dogg kushindwa kufanya vizuri baada ya kuondoka Tip Top

MB-DOGG

MB Dogg ni miongoni mwa majina yaliyoshiriki kwenye kuichora ramani iliyotumika kwenye ujenzi wa kiwanda ya muziki wa Bongo fleva miaka kadhaa iliyopita. Hits zake kama Latifah, Si uliniambia, Inamaana na zingine zilimuweka kwenye nafasi za juu kipindi hicho akiwa chini ya Tip Top Connection.

MB-DOGG

Hivi sasa jina la MB Dogg liko kwenye orodha ya wasanii wa zamani walioshindwa kurudi na kukaa kwenye nafasi zao, na msanii mwenzake Madee wa Tip Top anaifahamu sababu iliyomkwamisha MB Dogg ashindwe...

 

10 years ago

GPL

NI SHEEDA! MUIGIZAJI WA FILAMU SLIM ADAIWA KUGOMA KUREJESHA GARI

Stori: Imelda Mtema
NI sheeda! Muigizaji wa filamu za Kibongo, Salim Omary ‘Slim’ amejikuta akiwekwa nguvuni katika Kituo cha Polisi cha Makangarawe, Yombo-Buza, jijini Dar akidaiwa kugoma kurejesha gari aina ya Land Lover Discovery walilopewa zawadi siku ya ndoa. Muigizaji wa filamu za Kibongo, Salim Omary ‘Slim’. Gari hilo walipewa na wakwe zake alipofunga ndoa na binti yao aitwaye Asia Morgan,...

 

11 years ago

GPL

MFUNGO WAMBADILI JOHARI MAVAZI

Stori: Jamila Said MWIGIZAJI wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema amewaunga mkono Waislamu kwa kuvaa mavazi ya kujistiri na kuziba sehemu kubwa ya mwili kuheshimu mwezi wa Ramadhani. Mwigizaji wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Akipiga stori mbili tatu na paparazi wetu, Johari alisema ameamua kufanya hivyo kwa sababu dini zote ni za Mungu na kwa kuwa ni kipindi cha Ramadhani,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mfungo Wamuepusha Amanda na Skendo

Staa wa bongo movies,  Tamrina Posh ‘Amanda’ amesema kuwa  mfungo wa mwezi wa ramadhani umemuweka mbali na skendo ambazo amekuwa akiibuka nazo mara kwa mara  na ikiwezekana huo ndiyo utakuwa mwisho wake kwani kwa sasa yupo katika kipindui cha kuomba toba kwa muumba wake kwa mabaya yote  aliyowahi kufanya siku za nyuma.

Akizungumza na gazeti la Filamu, Amanda  alisema kwa mwezi  huu hatoonekana akikatiza mitaani na nguo zilizobana kiasi cha kuonyesha  maungo yake  ya sehemu za siri bali...

 

10 years ago

Bongo Movies

‘Imani Haba’ Ndani ya Mfungo

Haya ndugu zangu, tupo kwenye mfungo mwezi mtukufu. Na ndugu yetu, mdogo wetu, kaka yetu Mangi kutoka Ndorobo Entertainment Vocha katuandalia, film yenye maudhui ya kuulenga mwezi, iliyo jaa mafunzo mazuri. Film hii inatoka tarehe 5/July. Pata nakala yako ili upata kujifunza yale ambayo huyafahau kutokana na dini. Haijalishi kuwa ni muislam tu, La hasha. Dini zote, tunaomba support zenu July, 5 .

Didas Entertainment on Instagram
 

 

11 years ago

GPL

MFUNGO WAMZUIA MLELA KWA MPENZIWE

Stori: Gladness Mallya NYOTA wa filamu Bongo, Yusuph Mlela hataweza kuonana na mpenzi wake ambaye pia ni mzazi mwenzake kutokana na mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Nyota  wa filamu Bongo, Yusuph Mlela. Akipiga stori na gazeti hili, Mlela alisema alikuwa na desturi ya kwenda kwa mzazi mwenzake kila siku kwa ajili ya kwenda kumuona mwanaye, Mwantumu lakini kwa mwezi huu itakuwa ngumu kutokana na misingi ya dini yake....

 

9 years ago

Dewji Blog

Maulidi ya Mfungo Sitta Muembetanga yafana

Angalia taswira za Maulid ya Mtume Muhammad Salallahu Alayhi Wasalam, yalioandaliwa na wazee pamoja na vijana wa Muembetanga Siku ya Jumatatu Jan 4 ,2016 (Kwa Karagosi) Zanzibar.

  

Wasomaji wa Maulidi  ya Mtume Muhammad Salallahu Alayhi Wasalam, yaliosomwa Muembetanga Siku ya Jumatatu Jan 4 ,2016 (Kwa Karagosi) Zanzibar.

Wageni waalikwa mbali mbali wakiwa katika Maulid ya Mtume Muhammad Salallahu Alayhi Wasalam, yalioandaliwa na wazee pamoja na vijana wa Muembetanga Siku ya Jumatatu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani