Nilivyoivunja Ndoa Yangu na Shetani -01
Nayainua macho juu, nautazama ulimwengu ambapo namuona kila mtu anatembea akiwa na yake mazito moyoni. Wengi aibu imetutawala kutoa yaliyo mioyoni kwa kuhofia aibu tutakayoipata, kwa watu kujua mambo ya aibu yaliyomo mioyoni mwetu.
Wengi tumeanzisha mahusiano na shetani bila kujua na mwisho wake kufunga naye ndoa kabisa na kuamini yote atuelekezayo ndiyo sahihi na kusahau kuna Mungu mwenye nguvu na wivu ambaye anatupenda na alituleta duniani kwa kusudi maalumu la kumuabudu yeye.
Hivyo,...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Nilivyoivunja Ndoa Yangu na Shetani – 3
ILIPOISHIA:
Maisha yaliendelea, nakumbuka siku moja tukiwa tumelala majira ya saa saba usiku nyumba yetu ilivamiwa na maaskari. Emma Mo pamoja na mimi tulichukuliwa juujuu na kupelekwa polisi usiku huo huo. Kwa upande wangu sikujua tumechukuliwa kwa sababu gani.Kabla ya kutuchukua walifanya upekuzi mzito kitu kilichonishangaza na kujiuliza kuna nini.
SASA ENDELEA…
Tulipofika polisi tulitenganishwa kila mmoja aliwekwa sehemu yake, tulilala pale hadi asubuhi. Kesho yake majira ya saa tano...
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Ndoa na Shetani-2
ILIPOISHIA:
“Mavazi gani hayo, yaani umbile kama lako ningekuwa nalo mimi kila mtu angenisoma namba. Mungu amekupendelea ili uutangaze uwezo wake wa uumbaji ukilificha, usije shangaa siku moja ukasikia umekuwa mlemavu kwa kushindwa kuvitangaza..kwanza unajijua wewe mzuri?” niliuliza huku akinitazama.
“Nitajijuaje mwenyewe?”
“Ina maana kote ulikosoma hukuwahi kusifiwa?”
SASA ENDELEA…
“Hiyo hali nimeshaizoea.”
“Basi Konso wewe ni mzuri chuo kizima, yaani ningekuwa kama wewe mbona...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAYqcgour16qmCXNvBgY4N9rEgdDfnFamc*lQL*MkSltD23sTtKksi4Ua-ehPerTUV9jvF3GPtWeSRqsIz4GUg6z/sandra.jpg)
SANDRA: NAIPENDA SANA NDOA YANGU
5 years ago
Bongo514 Feb
Ndoa yangu haivunjiki Ng’o!- Chameleone
Chameleone amekanusha tetesi kwamba mkewe Daniella Atim amekwenda mahakamani kudai talaka.
Taarifa zilisambaa mitandaoni kwamba Daniella alidai kwa kutokuwa na furaha na ndoa yake kutokana na manyanyaso na vipigo anayoyapata kutoka kwa muimbaji huyo mkongwe wa Uganda.
Chameleone ameamua kuvunja ukimya kupitia mtandao wa Facebook kwa kurusha video ya dakika 53 akiongelea mengi kuhusu familia yake, ambayo inaonekana kuwa na furaha tofauti na yanayozungumzwa.
“Kuna habari nyingi zimesambaa...
10 years ago
Bongo Movies02 Mar
Gadna: Sikubali Ndoa Yangu na Jack Ivunjike!
Mume wa mwigizaji Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’, Gadna Dibibi amefunguka kuwa kamwe hawezi kukubali ndoa yake ivunjike kirahisi, atapambana hadi dakika ya mwisho.Kauli hiyo ya Gadna ameitoa ikiwa ni siku chache tangu vyombo vya habari viripoti kuwa wawili hao waliooana mwaka 2013, wamemwagana na kila mtu anaishi kivyake.
“Sijampa talaka Jack hivyo bado ataendelea kuwa mke wangu halali, nitahakikisha hilo linabaki kuwa hivyo. Kama kupishana kauli, tulipishana na ni vitu vya kawaida lakini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWl-INXjBR6bFyKpM1svH-dOxTObpu4U*lqz2vPDiJZz1YO*NiELsK5biZjpv9SlJEyJ02xTr3RaLULWc2HvQ-wh/jack.jpg)
MUME:SIKUBALI NDOA YANGU NA JACK IVUNJIKE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1YVfccvHsfGhDZIOMrrYKk3U5FDvGfgW4pBALG-AmBQFblAnkxBqt2PCoDdU5JYsGCaJtbrNkYudHmIor0gur-V/ZC.jpg?width=650)
SAUDA: NANI KASEMA NDOA YANGU MAGUMASHI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NQs0dYxvfMUcgdLR55HNGTmAoDUve*TcMxMCLpfRRFbxCKgqyCk4piMY35Eg8xk-Ld0NvsGuG1jUigkuwzRYRBh4x79SCX5B/IMG20140920WA00081.jpg?width=650)
ESMA: SIBANDUKI KWENYE NDOA YANGU NG’O!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JgWHSTt60eud3pwRwJFIV8lYSy*9Jnf1x4IU2zJCTuciByPuAN2G4TfqHdzPjOUOtp7KLmE5c8Dw8iqHtPKDJNf6CS3RKEMD/hamisa.gif)
HAMISA MOBETO: NDOA YANGU ITAZINDULIWA MITANDAONI