Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nilivyoivunja Ndoa Yangu na Shetani -01

Nayainua macho juu, nautazama ulimwengu ambapo namuona kila mtu anatembea akiwa na yake mazito moyoni. Wengi aibu imetutawala kutoa yaliyo mioyoni kwa kuhofia aibu tutakayoipata, kwa watu kujua mambo ya aibu yaliyomo mioyoni mwetu.

Wengi tumeanzisha mahusiano na shetani bila kujua na mwisho wake kufunga naye ndoa kabisa na kuamini yote atuelekezayo ndiyo sahihi na kusahau kuna Mungu mwenye nguvu na wivu ambaye anatupenda na alituleta duniani kwa kusudi maalumu la kumuabudu yeye.

Hivyo,...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Nilivyoivunja Ndoa Yangu na Shetani – 3

ILIPOISHIA:

Maisha yaliendelea, nakumbuka siku moja tukiwa tumelala majira ya saa saba usiku nyumba yetu ilivamiwa na maaskari. Emma Mo pamoja na mimi tulichukuliwa juujuu na kupelekwa polisi usiku huo huo. Kwa upande wangu sikujua tumechukuliwa kwa sababu gani.Kabla ya kutuchukua walifanya upekuzi mzito kitu kilichonishangaza na kujiuliza kuna nini.

SASA ENDELEA…

Tulipofika polisi tulitenganishwa kila mmoja aliwekwa sehemu yake, tulilala pale hadi asubuhi. Kesho yake majira ya saa tano...

 

9 years ago

Global Publishers

Ndoa na Shetani-2

ILIPOISHIA:
“Mavazi gani hayo, yaani umbile kama lako ningekuwa nalo mimi kila mtu angenisoma namba. Mungu amekupendelea ili uutangaze uwezo wake wa uumbaji ukilificha, usije shangaa siku moja ukasikia umekuwa mlemavu kwa kushindwa kuvitangaza..kwanza unajijua wewe mzuri?” niliuliza huku akinitazama.

“Nitajijuaje mwenyewe?”
“Ina maana kote ulikosoma hukuwahi kusifiwa?”
SASA ENDELEA…

“Hiyo hali nimeshaizoea.”
“Basi Konso wewe ni mzuri chuo kizima, yaani ningekuwa kama wewe mbona...

 

11 years ago

GPL

SANDRA: NAIPENDA SANA NDOA YANGU

TAHADHARI Mimi nakukubali sana Sandra, kwanza nakupa hongera kwa kazi zako nzuri, ila nakupa tahadhari, jitahidi hivyohivyo kuwa na msimamo wa kutopata skendo, vinginevyo utajiharibia katika sanaa pia jamaa atakumwaga kwani utapoteza sifa. Selemani Alifa, Dar, 0718803204
SANDRA: Asante, nitajitahidi. Staa wa filamu Bongo, Salma Salmini 'Sandra'. UCHUMBA
Sandra nakuzimia sana jinsi ulivyo na umbo zuri, naomba uwe mchumba...

 

5 years ago

Bongo5

Ndoa yangu haivunjiki Ng’o!- Chameleone

Chameleone amekanusha tetesi kwamba mkewe Daniella Atim amekwenda mahakamani kudai talaka.

Taarifa zilisambaa mitandaoni kwamba Daniella alidai kwa kutokuwa na furaha na ndoa yake kutokana na manyanyaso na vipigo anayoyapata kutoka kwa muimbaji huyo mkongwe wa Uganda.

Chameleone ameamua kuvunja ukimya kupitia mtandao wa Facebook kwa kurusha video ya dakika 53 akiongelea mengi kuhusu familia yake, ambayo inaonekana kuwa na furaha tofauti na yanayozungumzwa.

“Kuna habari nyingi zimesambaa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Gadna: Sikubali Ndoa Yangu na Jack Ivunjike!

Mume wa mwigizaji Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’, Gadna Dibibi amefunguka kuwa kamwe hawezi kukubali ndoa yake ivunjike kirahisi, atapambana hadi dakika ya mwisho.Kauli hiyo ya Gadna ameitoa ikiwa ni siku chache tangu vyombo vya habari viripoti kuwa wawili hao waliooana mwaka 2013, wamemwagana na kila mtu anaishi kivyake.

“Sijampa talaka Jack hivyo bado ataendelea kuwa mke wangu halali, nitahakikisha hilo linabaki kuwa hivyo. Kama kupishana kauli, tulipishana na ni vitu vya kawaida lakini...

 

10 years ago

GPL

MUME:SIKUBALI NDOA YANGU NA JACK IVUNJIKE!

Mwandishi Wetu/ijumaawikienda
MUME wa mwigizaji Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’, Gadna Dibibi amefunguka kuwa kamwe hawezi kukubali ndoa yake ivunjike kirahisi, atapambana hadi dakika ya mwisho.Kauli hiyo ya Gadna ameitoa ikiwa ni siku chache tangu vyombo vya habari viripoti kuwa wawili hao waliooana mwaka 2013, wamemwagana na kila mtu anaishi kivyake. Mwigizaji Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’, akiwa...

 

10 years ago

GPL

SAUDA: NANI KASEMA NDOA YANGU MAGUMASHI?

Gladness Mallya
MTANGAZAJI mkongwe wa televisheni, Sauda Mwilima ambaye mumewe, Kauli Juma aliondoka mara tu baada ya kufunga naye ndoa kuelekea Afrika Kusini kikazi, amesema wa ubani wake huyo amesharejea na hivyo kuwakejeli waliokuwa wakisema kuwa ndoa yao ilikuwa ni magumashi. Mtangazaji mkongwe wa televisheni, Sauda Mwilima. Akipiga stori na paparazi wetu, Sauda alisema kwa sasa anaifurahia ndoa yake vilivyo baada ya...

 

10 years ago

GPL

ESMA: SIBANDUKI KWENYE NDOA YANGU NG’O!

Dada wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Esma akiwa na mumewe. DADA wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Esma amefunguka kuwa kamwe hawezi kuondoka kwenye ndoa yake kisa Mtangazaji wa Clouds FM, Loveness Malinzi ‘Diva’ kwa kuwa yeye amefundwa na kufundishwa jinsi ya kuishi kwa mume. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Jegyh3 ...

 

9 years ago

GPL

HAMISA MOBETO: NDOA YANGU ITAZINDULIWA MITANDAONI

Imelda Mtema Mwanamitindo Hamisa Hassan ‘Mobeto’ amefunguka kuwa siku atakayofunga ndoa atafanya siri na watu wataiona kwa mara ya kwanza kupitia mitandao ya kijamii. Mwanamitindo Hamisa Hassan ‘Mobeto. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Hamisa alisema kuwa ndoa yake itakuwa ya siri kwa maana atafunga na mumewe Kiislamu bila kuita watu na picha za ndoa hiyo zitazinduliwa mtandaoni. “Watu wakishaziona picha hizo kupitia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani