Nitasimamia ukweli daima — Magufuli
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema atasimamia ukweli, hata kama unauma kwa kusisitiza kwamba hayuko tayari kudanganya umma kwa ajili ya kutaka kupata kura.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omJ8a*S3N*z0JQ7VY3bb-wg5PHWt0YGO*n1S9JhtSiwSU1l9bWksw0fa*5A5G*Jt3EAz6aevuycsWu1eRiRQimfxPs8wddGl/11.jpg)
MAGUFULI: NITASIMAMIA UKWELI DAIMA
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli. MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema atasimamia ukweli, hata kama unauma kwa kusisitiza kwamba hayuko tayari kudanganya umma kwa ajili ya kutaka kupata kura. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni wilayani Chemba katika Mkoa wa Dodoma jana, Magufuli alisema ingawa kura anazitaka, lazima aseme ukweli hata kama unauma. Msimamo huo aliutoa wakati akizungumzia...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HlNu1m9ZpxU/Ve3Tr_LFnzI/AAAAAAAC-wc/qHUBG8wlf0w/s72-c/_MG_2991.jpg)
NITASIMAMIA SHERIA KWA KUWAWAJIBISHA WATAKAO PINDISHA SHERIA KWA MANUFAA YAO-DKT MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-HlNu1m9ZpxU/Ve3Tr_LFnzI/AAAAAAAC-wc/qHUBG8wlf0w/s640/_MG_2991.jpg)
Wakati kampeni za kuwania Urais,Ubunge na Udiwani zikidizi kushika kasi nchini,Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli,amesema atasimamia utawala wa sheria kwa kuwawajibisha wale...
9 years ago
Vijimambo16 Sep
Ahadi ya zahanati za Magufuli ukweli huu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/John-16Sept2015.png)
Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, katika mikutano yake ya kampeni, ameahidi kujenga zahanati katika kila kijiji nchini, kituo cha afya katika kila kata, hospitali kila wilaya na hospitali ya rufaa kila mkoa, endapo atapata ridhaa ya kuwa rais wa awamu ya tano,...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
UKWELI UTAKUWEKA HURU : Dawa ya Zanzibar ni Rais Magufuli kukubali kufanya kazi na Maalim Seif
Kwa kawaida katika maisha ya kila siku kiburi na jeuri havimsaidii mwanadamu. Nimesoma kwenye magazeti habari inayogusa maisha ya Watanzania wengi.
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Lembeli: Nitasimamia ninachoamini bila hofu ya kushughulikiwa
>Uamuzi wa kupiga kura umepita kwa makubaliano ya kupiga kura mseto utakaoruhusu mjumbe kupiga kura kwa aina anayoitaka; kupiga kura ya wazi au ya siri.
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Bosi mpya NMG: Nitasimamia weledi na uhuru wa habari
Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu mpya wa kampuni ya habari ya Nation Media Group (NMG), Joe Muganda ameahidi kusimamia kikamilifu weledi na uhuru wa vyombo vya habari vya kampuni hiyo, ambavyo ni pamoja na magazeti ya The Citizen, Mwananchi na Mwanaspoti yanayozalishwa na Mwananchi Communication Limited.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y_FLVjOQgRA/Xq7TYeWtnsI/AAAAAAALo8s/Nng-RVHxvroyul3q54o5rWdvE89E5CHAwCLcBGAsYHQ/s72-c/JPM.jpg)
TUSIMAME NA RAIS MAGUFULI, TUSIMAME NA UKWELI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y_FLVjOQgRA/Xq7TYeWtnsI/AAAAAAALo8s/Nng-RVHxvroyul3q54o5rWdvE89E5CHAwCLcBGAsYHQ/s400/JPM.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli amuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Mei 03, 2020. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba anachukua nafasi ya Balozi Dkt. Augustine Philip Mahiga aliyefariki dunia tarehe 01 Mei, 2020.
Kwenye hotuba yake Rais Magufuli ameongea mengi yenye tija ila baadhi ya Watu wanaleta siasa.
Baadhi ya Watu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NuCSr6_VHwU/XvIRsclFctI/AAAAAAALvFI/ysgX1sU3-XUwNxwZSZv6PGpdqlXTZRbbQCLcBGAsYHQ/s72-c/9fb3e778-14a6-4884-9b37-79d0d2831735.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Tanzania Daima yapongezwa Geita
WASOMAJI wa gazeti la Tanzania Daima mkoani hapa wameupongeza uongozi wa Free Media Ltd kwa kuliwezesha gazeti hili kufika kwa wakati tofauti na awali. Akizungumza na gazeti hili, mkazi wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania