Lembeli: Nitasimamia ninachoamini bila hofu ya kushughulikiwa
>Uamuzi wa kupiga kura umepita kwa makubaliano ya kupiga kura mseto utakaoruhusu mjumbe kupiga kura kwa aina anayoitaka; kupiga kura ya wazi au ya siri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania11 Sep
‘Atakayeruhusu CCM kushinda bila kupingwa kushughulikiwa’

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kiongozi yeyote ndani ya chama hicho ambaye ataruhusu mgombea kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushinda uchaguzi bila kupingwa atashughulikiwa.
Mbowe alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua uchaguzi wa Baraza la Vijana la Chadema (BAVICHA) uliofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Alisema katika uchaguzi wa Serikali za...
10 years ago
Habarileo05 Oct
Nitasimamia ukweli daima — Magufuli
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema atasimamia ukweli, hata kama unauma kwa kusisitiza kwamba hayuko tayari kudanganya umma kwa ajili ya kutaka kupata kura.
10 years ago
GPL
MAGUFULI: NITASIMAMIA UKWELI DAIMA
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Bosi mpya NMG: Nitasimamia weledi na uhuru wa habari
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Watendaji Buhigwe kushughulikiwa
SERIKALI imeliagiza Baraza la Madiwani la Wilaya ya Buhigwe, kuwachukulia hatua watendaji wa halmashauri hiyo walioshindwa kutekekeleza agizo la kupanda miti. Agizo hilo lilitolewa bungeni jana na Waziri Ofisi ya...
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Mawakili wa Ponda kushughulikiwa
10 years ago
Habarileo17 Sep
JK: Deni PSPF kushughulikiwa
RAIS Jakaya Kikwete amezindua ghorofa pacha la Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Serikali (PSPF) na kuahidi kushughulikia tatizo la deni la serikali. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa jengo hilo la ghorofa 35 jijini Dar es Salaam jana, Kikwete alisema anafahamu changamoto za mifuko ya jamii, ikiwamo PSPF.
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Wachungaji wakaidi sasa kushughulikiwa