Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lembeli: Nitasimamia ninachoamini bila hofu ya kushughulikiwa

>Uamuzi wa kupiga kura umepita kwa makubaliano ya kupiga kura mseto utakaoruhusu mjumbe kupiga kura kwa aina anayoitaka; kupiga kura ya wazi au ya siri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

‘Atakayeruhusu CCM kushinda bila kupingwa kushughulikiwa’

Freeman Mbowe

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe

NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kiongozi yeyote ndani ya chama hicho ambaye ataruhusu mgombea kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushinda uchaguzi bila kupingwa atashughulikiwa.

Mbowe alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua uchaguzi wa Baraza la Vijana la Chadema (BAVICHA) uliofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.

Alisema katika uchaguzi wa Serikali za...

 

10 years ago

Habarileo

Nitasimamia ukweli daima — Magufuli

MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema atasimamia ukweli, hata kama unauma kwa kusisitiza kwamba hayuko tayari kudanganya umma kwa ajili ya kutaka kupata kura.

 

10 years ago

GPL

MAGUFULI: NITASIMAMIA UKWELI DAIMA

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli. MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema atasimamia ukweli, hata kama unauma kwa kusisitiza kwamba hayuko tayari kudanganya umma kwa ajili ya kutaka kupata kura. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni wilayani Chemba katika Mkoa wa Dodoma jana, Magufuli alisema ingawa kura anazitaka, lazima aseme ukweli hata kama unauma. Msimamo huo aliutoa wakati akizungumzia...

 

10 years ago

Mwananchi

Bosi mpya NMG: Nitasimamia weledi na uhuru wa habari

Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu mpya wa kampuni ya habari ya Nation Media Group (NMG), Joe Muganda ameahidi kusimamia kikamilifu weledi na uhuru wa vyombo vya habari vya kampuni hiyo, ambavyo ni pamoja na magazeti ya The Citizen, Mwananchi na Mwanaspoti yanayozalishwa na Mwananchi Communication Limited.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watendaji Buhigwe kushughulikiwa

SERIKALI imeliagiza Baraza la Madiwani la Wilaya ya Buhigwe, kuwachukulia hatua watendaji wa halmashauri hiyo walioshindwa kutekekeleza agizo la kupanda miti. Agizo hilo lilitolewa bungeni jana na Waziri Ofisi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mawakili wa Ponda kushughulikiwa

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali maombi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ya kuomba kufutiwa shtaka la kukiuka uamuzi wa mahakama.

 

10 years ago

Habarileo

JK: Deni PSPF kushughulikiwa

RAIS Jakaya Kikwete amezindua ghorofa pacha la Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Serikali (PSPF) na kuahidi kushughulikia tatizo la deni la serikali. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa jengo hilo la ghorofa 35 jijini Dar es Salaam jana, Kikwete alisema anafahamu changamoto za mifuko ya jamii, ikiwamo PSPF.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa

Watumiaji wa bandari ya Mombasa nchini Kenya huenda wakawa na afueni, kufuatia mkataba wa kupunguza urasimu utakaosainiwa leo

 

11 years ago

Mwananchi

Wachungaji wakaidi sasa kushughulikiwa

Uongozi wa Kanisa la Moravian Tanzania, umetangaza kuwachukulia hatua kali ikiwa ni pamoja na kuwasimamisha wachungaji na wajumbe wote wa halmashauri kuu watakaondelea kukiuka uamuzi wa mkutano mkuu uliofanya mabadiliko ya uongozi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani