Nuksi za wapambe nuksi
Katika karne ya kumi na tisa, kulikuwa na mwandishi mmoja wa Urusi aitwaye Tolstoy. Aliandika riwaya bora sana, pia alikuwa mwanafalsafa aliyependa sana usawa, ingawa yeye mwenyewe tajiri na aliyechukia sana matumizi yoyote ya nguvu na ukatili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-04d8*sZFvEAAvks6q5E28gAnLrqBPUWEmezoirhHH04rPOIeq80YgtNXqrrg*GVd-VcT4c8KiOVUrlKJsvWlBd/2013.jpg?width=650)
2013 NUKSI KWA MASTAA BONGO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lihD20i2jrzgocy0kzecVFfWxGMpgCRu-b7euqAENQ*SYMcbDdtVwLrUXtc4uOGd*81QymheTwi5v*xPg6OVgIbniv2MvDVM/mahaba667.jpg)
MICHEPUKO MINGINE BWANA, NUKSI TUPU!
9 years ago
Mwananchi13 Sep
LIGI KUU BARA : Simba yafuta nuksi Tanga
9 years ago
Bongo511 Dec
Siasa na uchaguzi vimeleta nuksi kwenye muziki, asema rapper huyu
![Cliff Mitindo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/Cliff-Mitindo-300x194.jpg)
Msanii wa muziki wa Hip hop, Cliff Mitindo amesema kampeni za uchaguzi za mwaka huu zimesababisha wasanii wengi kushindwa kufikia malengo waliojiwekea.
Akizungumza na Bongo5 leo, Cliff amesema hali hiyo imesabisha biashara ya muziki kuyumba kutokana na wateja wao wengi ambao ni mashabiki kuwa busy na siasa.
“Mwaka huu kiukweli kutokana na masuala ya kampeni biashara imeyumba. Kwa sababu kitu ambacho kilikuwa kinasikika ni siasa tu, watu walikuwa wana ratiba za kufanya mambo yao lakini...
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Shikamoo wapambe
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Wanaume wapambe.Je wewe ni mmoja wao?
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Wapambe wanogesha kampeni Lowassa, Magufuli
10 years ago
Habarileo11 Jun
Kinana akemea wapambe kufitinisha wanasiasa
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amekemea wapambe katika siasa na kusema ndiyo chanzo cha kufarakanisha viongozi wakisaka riziki zao.