Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nuksi za wapambe nuksi

Katika karne ya kumi na tisa, kulikuwa na mwandishi mmoja wa Urusi aitwaye Tolstoy. Aliandika riwaya bora sana, pia alikuwa mwanafalsafa aliyependa sana usawa, ingawa yeye mwenyewe tajiri na aliyechukia sana matumizi yoyote ya nguvu na ukatili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

2013 NUKSI KWA MASTAA BONGO

Stori: Mwandishi Wetu
ZIKIWA zimesalia siku 15 kukatika kwa mwaka 2013 na kuukaribisha 2014, Ijumaa Wikienda linakuletea matukio kibao yaliyotafsiriwa kuwa ni nuksi katika ulimwengu wa mastaa Bongo. Marehemu Sajuki. BONGO MOVIES
Katika kipindi chote hicho, tasnia ya filamu (Bongo Movies) ilipata pigo zaidi ya mara kumi baada ya kuondokewa na mastaa wake tangu mwaka huo ulipoanza alipofariki dunia Juma Kilowoko...

 

10 years ago

GPL

MICHEPUKO MINGINE BWANA, NUKSI TUPU!

Mpenzi msomaji wangu ni Jumatatu nyingine tulivu kabisa tunakutana tena kwenye safu hii ya XXLove kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu. Mlio kwenye Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani hongereni kwani ni moja ya nguzo kuu ya Uislamu. Sehemu kubwa ya jamii yetu kuna mambo yamekuwa yakifanyika na kuonekana kana kwamba ni mambo ya kawaida lakini ukweli si huo. Wapenzi kuchepuka imekuwa kama sehemu ya maisha yao ya kila siku hasa kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA : Simba yafuta nuksi Tanga

Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara ilianza vyema kwa klabu za Simba, Azam, Mtibwa, Kagera Sugar na Toto Africans ya Mwanza kushinda dhidi ya wapinzani wao.

 

9 years ago

Bongo5

Siasa na uchaguzi vimeleta nuksi kwenye muziki, asema rapper huyu

Cliff Mitindo

Msanii wa muziki wa Hip hop, Cliff Mitindo amesema kampeni za uchaguzi za mwaka huu zimesababisha wasanii wengi kushindwa kufikia malengo waliojiwekea.

Cliff Mitindo

Akizungumza na Bongo5 leo, Cliff amesema hali hiyo imesabisha biashara ya muziki kuyumba kutokana na wateja wao wengi ambao ni mashabiki kuwa busy na siasa.

“Mwaka huu kiukweli kutokana na masuala ya kampeni biashara imeyumba. Kwa sababu kitu ambacho kilikuwa kinasikika ni siasa tu, watu walikuwa wana ratiba za kufanya mambo yao lakini...

 

10 years ago

Mwananchi

Shikamoo wapambe

Napenda sana vipindi vya redio wakati wa Krismasi au sherehe zingine kubwa. Eti watangazaji wanazunguka na kuwauliza watu wamejiandaa vipi kwa ajili ya sikukuu yenyewe. Kila mahali wahojiwa wanatamba kwamba wamejiandaa vilivyo hivyo pilao na kuku, au mbuzi au nini sijui haiwezi kukosekana.

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ameeleza tofauti yake na mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, akisema imesababishwa na watu aliowaita wapambe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume wapambe.Je wewe ni mmoja wao?

Kumekuwa na hii kasumba ya wanaume kujipamba kuhu sekta ya urembo ikiendelea kukuwa sio duniani kote tu bali mabadiliko mengi yanashuhudiwa Afrika

 

9 years ago

Mwananchi

Wapambe wanogesha kampeni Lowassa, Magufuli

Wakati wagombea urais wa vyama vya CCM na Chadema wakijikita kwenye ahadi za mambo watakayofanya iwapo watachaguliwa, wapambe wao wameendelea kufanya kazi ya kujibu kutuma mashambulizi kwenye kampeni kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu zinazoendelea kote nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana akemea wapambe kufitinisha wanasiasa

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amekemea wapambe katika siasa na kusema ndiyo chanzo cha kufarakanisha viongozi wakisaka riziki zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani