Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota Azam kujazwa noti

>Uongozi wa Azam FC, umeahidi kuwajaza fedha wachezaji wake baada ya kufanikiwa kunyakuwa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara wakiwa na mechi moja mkononi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Azam yawapiga kufuri nyota wake

Klabu ya Azam imewapiga ‘kufuri’ wachezaji wake, John Bocco na Mudathir Yahya kuzungumzia sakata lao dhidi ya mchezaji wa Mbeya City, Juma Nyoso.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam FC kuwakosa nyota wake sita

Timu ya Azam FC itawakosa nyota wake wanne tegemeo katika pambano la Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF) dhidi ya Ferroviario Da Beira ya Msumbiji litakalopigwa Jumapili hii kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

WANASOKA NYOTA WA ZAMANI WAMTEMBELEA MTANGAZAJI WA AZAM Media CHARLES HILARY KAZINI KWAKE

 Mtangazaji nguli wa Azam Media Charles Hilary (kulia) akiwa na wachezaji nyota wa zamani wa Taifa Stars Omari Zimbwe (kushoto) na Shaaban Katwila walipomtembelea kazini kwake Tabata Relini jijini Dar es salaam   Mtangazaji nguli wa Azam Media Charles Hilary (kulia) akiwa na wachezaji nyota wa zamani wa Taifa Stars Omari Zimbwe (kushoto) na Mphamed Hussein "Mmachinga" walipomtembelea kazini kwake Tabata Relini jijini Dar es salaam 
 Mtangazaji nguli wa Azam Media Charles Hilary (kati) akiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Vitenge vya nyota nyota vyatikisa

Licha ya kuwepo kwa matoleo ya aina mbalimbali za vitenge kwa mwaka huu vipo ambavyo vimeonekana kukubalika na kuvaliwa zaidi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabingwa ARS wajazwa noti

TIMU ya soka ya wasichana ya Tanzania Airtel Rising Stars, imekabidhiwa zawadi yake ya kitita cha sh milioni 16 baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya vijana chini ya miaka...

 

10 years ago

Mtanzania

Noti bandia zawafikisha askari kizimbani

Na Samwel Mwanga, Simiyu
ASKARI wawili wa Jeshi la Polisi na Magereza waliokamatwa na noti bandia na sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bariadi, mkoani Simiyu, wakikabiliwa na makosa mawili.
Washtakiwa hao ambao ni wenye namba H 2420 PC Seleman Juma (25) aliyekuwa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) na B. 6499 Wdr Edmund Masaga (28) wa Gereza la Wilaya ya Bariadi, walifikishwa mahakamani hapo juzi mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama...

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Ndulu atetea noti za Tanzania

Dodoma. Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Benno Ndulu amesema karatasi zilizotumika kutengeneza noti za Tanzania zina ubora kwa kuwa wataalamu wamezithibitisha.

 

11 years ago

Mwananchi

Biashara ya kununua noti chakavu yaimarika

Siku hizi ukipita mitaani katika mikoa mbalimbali si jambo la ajabu kusikia na kusoma matangazo yanayoelekeza mahali fedha chakavu zinaponunuliwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani