Nyotambofu atoboa kilichomkimbiza Vituko Show
MWIGIZAJI na Mchekeshaji Bongo, Griady Kahena ‘Masai Nyotambofu’ amefunguka sababu zilizomfanya apumzike kuigiza katika Kundi la Vituko Show kuwa ni bosi wake kutowajali wasanii hasa wakiwa na shida.
“Ukiangalia Vituko Show sisi magwiji tulioanza na kundi hilo, wengi tumekimbia baada ya kuona bosi haoni umuhimu wetu pamoja na kufanya kazi lakini unaambulia maarufu tu huna pesa, una shida unaazima hata simu,” anasema Nyotambofu.
Nyotambofu ambaye kwa sasa ni mtangazaji katika kipindi...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Masai Nyotambofu kuachia mbili kali
MSANII wa vichekesho, Gilliady Severine ‘Masai Nyotambofu’ anayeyekuja kwa kasi katika muziki wa kizazi kipya, hivi karibuni ataachia ngoma zake mbili. Masai Nyotambofu alisema jana kuwa nyimbo hizo tayari zimekamilika, hivyo...
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Hernandez aweka wazi kilichomkimbiza Man United, VLG alimpa asilimia moja pekee ya kucheza
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Javier Hernandez “Chicharito” (pichani) ameweka wazi sababu iliyomfanya aondoke Manchester United kuwa ni baada ya kocha wa timu hiyo Louis Van Gaal kumwambia kuwa hana nafasi katika kikosi chake na kama akimpa nafasi basi ana asilimia moja pekee kucheza katika nafasi ya ushambuliaji ambayo ndiyo anacheza mchezaji huyo.
Akinukiliwa na gazeti la Hispania la Marca, Hernandez alisema kuwa kocha LVG alimuita kuzungumza nae...
11 years ago
Habarileo13 Dec
Vituko msiba wa Mandela
MKALIMANI aliyekuwa akitafsiri kwa alama kwa ajili ya walemavu wasiosikia yaliyokuwa yakisemwa na viongozi na watu mbalimbali katika mazishi ya kitaifa ya kiongozi wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika uwanja wa FNB, Johannesburg, Jumanne alipatwa na uchizi jukwaani.
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Bongo529 Sep
Navy Kenzo watumia 80% ya malipo ya show kufanya maandalizi ya show hiyo
11 years ago
Michuzi27 Feb
10 years ago
Habarileo02 Aug
Vituko vyaibuka kura za maoni
KURA za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimefanyika kwa utulivu katika maeneo mengi nchini, huku baadhi ya maeneo kukiibuka hitilafu zilizosababisha baadhi ya wanachama kulala mahabusu.
10 years ago
GPL
VIONGOZI WENYE VITUKO DUNIANI
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Bunge la Katiba vituko tupu
MWENYEKITI wa CHADEMA, Freeman Mbowe ambaye pia ni mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, jana alinusuru mchakato wa uchaguzi wa mwenyekiti wa muda baada ya kuibuka vituko. Mbowe katika ushauri...