Nyumba ya kwanza ya ukombozi wa SA
Licha ya kuwa Mandela ameondoka duniani, bado raia wa Afrika Kusini wanakumbuka alikoanzia harakati za ukombozi. Nyumbani Soweto.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RQR4n6nY3AI/VWG49OIdmWI/AAAAAAAHZgo/Vo_bf5lq2eg/s72-c/images.jpg)
WIKI YA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA KUANZA RASMI KESHO MAKUMBUSHO YA TAIFA NA NYUMBA YA UTAMADUNI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-RQR4n6nY3AI/VWG49OIdmWI/AAAAAAAHZgo/Vo_bf5lq2eg/s640/images.jpg)
Wiki hii itaanza tarehe 25 Mei ya kila mwaka husherehekewa kwa njia mbalimbali ndania na nje ya Bara la Afrika kukumbuka siku ambayo viongozi wa nchi za kiafrika ambazo tayari zilikuwa huru walikutana waka 1963 na kuanzisha Umoja wa...
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Wasomaji wachangamkia droo ya kwanza Shinda Nyumba kesho!
Muuza magazeti wa Kampuni ya Global Publishers (mwenye fulana nyeupe), akimuelekeza msomaji jinsi ya kujaza kuponi na kushiriki bahati nasibu hiyo ambayo kesho itafanyika droo ya kwanza.
Zoezi la kujaza kuponi ili kushiriki droo ya kwanza ya bahati nasibu kesho likipamba moto.
Ofisa Masoko wa Global, Yohana Mkanda (kushoto) akishudia msomaji wa Gazeti la Championi akijaza kuponi ili kushiriki droo ya kwanza inayotarajia kuchezeshwa kesho.
Mkazi wa Vingunguti akiweka kuponi yake tayari...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1eKuunD_9bo/Uyc3FAvTHdI/AAAAAAAFUPI/ut98Xqa0l0E/s72-c/Nadhir+akimkabidhi+hundi+mshindi.jpg)
Home Shopping Centre yamzawadia mshindi wake wa kwanza wa shindano la 'pendezesha nyumba na HSC'
![](http://2.bp.blogspot.com/-1eKuunD_9bo/Uyc3FAvTHdI/AAAAAAAFUPI/ut98Xqa0l0E/s1600/Nadhir+akimkabidhi+hundi+mshindi.jpg)
Na Andrew Chale
KAMPUNI ya uuzaji wa bidhaa za majumbani na ofisini ya Home Shopping Centre (HSC) imemzawadia mshindi wake wa kwanza wa ‘pendezesha nyumba na HSC’, Rehane Jaffer zawadi ya sh 500,000. Shindano hilo linaendeshwa kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook kwa jina la ‘Give a Way’. Mshindi alikabidhiwa hundi ya kiasi hicho cha pesa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Meneja Mauzo na Masoko wa HSC, Nadhir Mubarak Bahayan ambaye aliwataka watanzania kushiriki shindano hilo...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Roma: ‘Ukombozi’ moto
MKALI wa kibao cha ‘KKK’, Ibrahimu Mussa ‘Roma Mkatoliki’, kesho anatarajia kuanza kusambaza kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Ukombozi’. Akizungumza Dar es Salaam jana, Roma alisema kukamilika kwa kazi hiyo, ni matokeo ya ushirikiano...
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Kalenga watachagua ukoo au ukombozi?
PAMOJA na kuwa na ustaarabu wa miaka mingi, Bara Hindi linasifika kwa mifumo ya kibaguzi chini ya mfumo wa ‘caste’, unyanyasaji wa kina mama na ubaguzi wa watu wengine hasa wasio...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Kiswahili katika harakati za ukombozi
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HvW0Yg2yvKI/XsZzf8V2iWI/AAAAAAALrHU/_0oVnWC_Y-8iVF6XSWEgIq-OdUBc9rC0wCLcBGAsYHQ/s72-c/Akionesha%2Bmashinine%2Binavyofanya%2Bkazi%2B%25281%2529.jpg)
MKAA MBADALA NI UKOMBOZI WA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HvW0Yg2yvKI/XsZzf8V2iWI/AAAAAAALrHU/_0oVnWC_Y-8iVF6XSWEgIq-OdUBc9rC0wCLcBGAsYHQ/s400/Akionesha%2Bmashinine%2Binavyofanya%2Bkazi%2B%25281%2529.jpg)
Na, COSTECHTAARIFA ya Wizara ya Kilimo ya mwaka 2019 inaonesha kuwa, kwa miaka mitano iliyopita kuanzia msimu wa mwaka 2013/2014 hadi 2017/18, Tanzania imezalisha chakula kingi kuliko mahitaji yake.
Tathmini ililenga hali ya chakula, uzalishaji wa mazao ya chakula na usalama wa chakula hususani mazao muhimu yanayozingatiwa kama...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Uni4qsLLr3U/VW3WBu07y-I/AAAAAAAHbd4/ZFIYEW1Vh00/s72-c/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
Waliopigania ukombozi China wasaidia Kiluvya ‘B’
![](http://1.bp.blogspot.com/-Uni4qsLLr3U/VW3WBu07y-I/AAAAAAAHbd4/ZFIYEW1Vh00/s640/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rx95TY3vmUQ/VW3WUr3zWtI/AAAAAAAHbeA/Y6HdVIjq-u0/s640/unnamed%2B%252856%2529.jpg)
11 years ago
GPL15 May
MKURUGENZI TANZANIA AWAELEZA WAMAREKANI UKOMBOZI WA WAKULIMA