Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama kuiondoa Cuba kwenye orodha ya ugaidi.

Rais Barack Obama amesema ataiondoa Cuba kutoka orodha ya Marekani ya nchi zinazofadhili ugaidi duniani.

Taarifa kutoka Ikulu ya Marekani imesema hatua hiyo inakuja huku kukiwa na jitihada za kujenga uhusiano kati ya Marekani na Cuba.

Uwepo wa Cuba katika orodha hiyo pamoja na nchi za Syria, Iran na Sudan kilikuwa kigezo cha Cuba katika mazungumzo yake na Marekani ya kufungua ofisi za balozi kati ya nchi hizo.

Seneta wa chama cha Republican Marco Rubio ameishutumu Ikulu ya Marekani kwa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Obama kuiondoa Cuba orodha ya ugaidi

Rais Barack Obama amepanga kuiondoa Cuba kutoka orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi duniani

 

10 years ago

Vijimambo

Obama to take Cuba off US terror list




Cuban President Raul Castro and Mr Obama met during the Summit of the Americas last week
President Barack Obama will remove Cuba from the US list of state sponsors of terrorism, the White House says.
The move comes amid a normalisation of relations between the US and Cuba.
The Caribbean country's presence on the list alongside Syria, Iran and Sudan was a sticking point for Cuba during talks to reopen embassies.
Republican Senator Marco Rubio condemned the White House decision, saying Cuba...

 

9 years ago

Bongo5

Multichoice yatangaza kuiondoa channel ya ‘One Gospel’ kwenye DStv

MultiChoice Africa imetangaza kuiondoa channel ya gospel, ‘One Gospel’ kwenye DStv channel 331 kuanzia Jumatano ya Septemba 30, 2015. Uamuzi wa kuiondoa channel hiyo umefanyika kama sehemu ya utaratibu wa Multichoice wa kutathmini utendaji wa channel zilizoko katika platform yao. Multichoice imewaomba radhi watazamaji wao pamoja na kuwahakikishia kuwa bado wataendelea kupata vipindi vya dini […]

 

10 years ago

Mwananchi

Hizi ndizo ndoto za waowania urais za kuiondoa nchi kwenye umaskini

Oktoba mwaka huu Watanzania wanatarajia kumpokea rais mpya wa awamu ya tano kwa imani kuwa atakata kiu kubwa ya watu wanaopenda kuona wanawekewa mazingira mazuri ya kuondokana na umaskini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais Obama azungumzia ugaidi

Rais Barack Obama wa Marekani amekubali kutoweka bayana mipango ya serikali yake katika mapambano dhidi ya ugaidi duniani .

 

10 years ago

Bongo5

Mtuhumiwa wa Ugaidi nchini Marekani akiri asingekamatwa angemuua Obama

Mtu mmoja anayetuhumiwa kutaka kushambulia mji mkuu wa Marekani Washington DC, aliomba kituo cha televisheni kimoja kumtembelea mahabusu na alipohojiwa na mwandishi wa habari kama asingekamatwa alisema alisema angehakikisha risasi inaingia kichwani kwa Obama. Mwandishi wa kituo cha televisheni (WXIX-TV) alidai kuwa mtuhumiwa huyo, Christopher Lee Cornell alipiga simu kutoka jela ya  Kentucky ambako anashikiliwa na […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania-waamuzi 11 kwenye orodha ya FIFA

Shirikisho la soka ulimwenguni FIFA limetoa orodha mpya ya waamuzi linaowatambua ,Kwenye orodha hiyo kuna jumla ya waamuzi 18 kutoka Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani