Obama kuiondoa Cuba kwenye orodha ya ugaidi.
Rais Barack Obama amesema ataiondoa Cuba kutoka orodha ya Marekani ya nchi zinazofadhili ugaidi duniani.
Taarifa kutoka Ikulu ya Marekani imesema hatua hiyo inakuja huku kukiwa na jitihada za kujenga uhusiano kati ya Marekani na Cuba.
Uwepo wa Cuba katika orodha hiyo pamoja na nchi za Syria, Iran na Sudan kilikuwa kigezo cha Cuba katika mazungumzo yake na Marekani ya kufungua ofisi za balozi kati ya nchi hizo.
Seneta wa chama cha Republican Marco Rubio ameishutumu Ikulu ya Marekani kwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Obama kuiondoa Cuba orodha ya ugaidi
10 years ago
Vijimambo15 Apr
Obama to take Cuba off US terror list
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/660/media/images/82320000/jpg/_82320494_82320488.jpg)
Cuban President Raul Castro and Mr Obama met during the Summit of the Americas last week
President Barack Obama will remove Cuba from the US list of state sponsors of terrorism, the White House says.
The move comes amid a normalisation of relations between the US and Cuba.
The Caribbean country's presence on the list alongside Syria, Iran and Sudan was a sticking point for Cuba during talks to reopen embassies.
Republican Senator Marco Rubio condemned the White House decision, saying Cuba...
9 years ago
Bongo529 Sep
Multichoice yatangaza kuiondoa channel ya ‘One Gospel’ kwenye DStv
10 years ago
Michuzi17 Dec
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Hizi ndizo ndoto za waowania urais za kuiondoa nchi kwenye umaskini
9 years ago
BBCSwahili22 Dec
Rais Obama azungumzia ugaidi
10 years ago
Bongo507 Mar
Mtuhumiwa wa Ugaidi nchini Marekani akiri asingekamatwa angemuua Obama
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Tanzania-waamuzi 11 kwenye orodha ya FIFA