Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama kuiondoa Cuba orodha ya ugaidi

Rais Barack Obama amepanga kuiondoa Cuba kutoka orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi duniani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Obama kuiondoa Cuba kwenye orodha ya ugaidi.

Rais Barack Obama amesema ataiondoa Cuba kutoka orodha ya Marekani ya nchi zinazofadhili ugaidi duniani.

Taarifa kutoka Ikulu ya Marekani imesema hatua hiyo inakuja huku kukiwa na jitihada za kujenga uhusiano kati ya Marekani na Cuba.

Uwepo wa Cuba katika orodha hiyo pamoja na nchi za Syria, Iran na Sudan kilikuwa kigezo cha Cuba katika mazungumzo yake na Marekani ya kufungua ofisi za balozi kati ya nchi hizo.

Seneta wa chama cha Republican Marco Rubio ameishutumu Ikulu ya Marekani kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Obama to take Cuba off US terror list




Cuban President Raul Castro and Mr Obama met during the Summit of the Americas last week
President Barack Obama will remove Cuba from the US list of state sponsors of terrorism, the White House says.
The move comes amid a normalisation of relations between the US and Cuba.
The Caribbean country's presence on the list alongside Syria, Iran and Sudan was a sticking point for Cuba during talks to reopen embassies.
Republican Senator Marco Rubio condemned the White House decision, saying Cuba...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais Obama azungumzia ugaidi

Rais Barack Obama wa Marekani amekubali kutoweka bayana mipango ya serikali yake katika mapambano dhidi ya ugaidi duniani .

 

10 years ago

Bongo5

Mtuhumiwa wa Ugaidi nchini Marekani akiri asingekamatwa angemuua Obama

Mtu mmoja anayetuhumiwa kutaka kushambulia mji mkuu wa Marekani Washington DC, aliomba kituo cha televisheni kimoja kumtembelea mahabusu na alipohojiwa na mwandishi wa habari kama asingekamatwa alisema alisema angehakikisha risasi inaingia kichwani kwa Obama. Mwandishi wa kituo cha televisheni (WXIX-TV) alidai kuwa mtuhumiwa huyo, Christopher Lee Cornell alipiga simu kutoka jela ya  Kentucky ambako anashikiliwa na […]

 

10 years ago

GPL

MAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI

Makongoro Oging’ na Issa Mnally
HUKU watu wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka kwa vifijo, shangwe na nderemo, kwa familia za polisi waliouawa Vikindu wilayani Mkuranga, Pwani,  Sajenti Michael Aaron Tuheri (49) na Koplo Francis Mkinga (53) ilikuwa ni huzuni kutokana na vifo vya wapendwa wao hao. Mauaji ya polisi hayo yamewaacha ndugu na jeshi la polisi nchini katika hali ya huzuni huku yakifananishwa na yale yaliyotokea...

 

9 years ago

Mwananchi

Maxime atishia kuiondoa Mtibwa

Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime ametoa vitisho kwa waandaaji wa Kombe la Mapinduzi kuwa endapo kikosi chake kitaendelea kupokonywa ushindi kwa makosa ya waamuzi anaweza asikubali kuja na kikosi chake katika msimu ujao wa mashindano hayo.

 

9 years ago

Mwananchi

Stars inao uwezo wa kuiondoa Malawi

Timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’ keshokutwa itakuwa na kibarua kigumu cha kwanza cha itakapoikabili Malawi ‘The Flames’ katika mechi ya kwanza kati ya mbili za kusaka tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani