Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OKWI ATAMBULISHWA KLABU YA SONDERJYSKE YA DENMARK

Aliyekuwa mshambuliaji wa timu ya Simba SC, Emmanuel Okwi ametambulishwa katika klabu ya Sonderjyske inayoshiriki katika ligi kuu ya Denmark.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Okwi auzwa Denmark.

Klabu ya Simba imemuuza mshambuliaji wake kutoka Uganda, Emmanuel Okwi, katika klabu ya Sonderjyske ya Ligi Kuu ya Denmark, uongozi wa klabu hiyo ya Msimbazi umesema jana.

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hanspoppe, alisema jana kuwa Okwi ambaye kwa sasa Mauritius kwa ajili ya fungate baada ya kufunga ndoa, ameuzwa kwa ada ya uhamisho ambayo haitajwi.

"Ndiyo tumemuuza Okwi. Haendi kufanya majaribio, tumeshamuuza rasmi. Kuanzia sasa hivi si mchezaji wa Simba," alisema...

 

11 years ago

Michuzi

congratulatory message to H.M Queen Margrethe II of Denmark on the occasion to celebrate the Constitution Day of Denmark

H.E Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.M Queen Margrethe II of Denmark on the occasion to celebrate the Constitution Day of Denmark on 5th June 2014.


“Your Majesty Queen Margrethe II,

   The Queen of Denmark,

   Copenhagen,

   DENMARK. It is my pleasure on behalf of the people and the Government of the United Republic of Tanzania to extend to Your Majesty and through you to the people of Denmark my heartfelt...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto atambulishwa ACT 

KATIBU Mkuu wa Chama cha Alliance for Change and Transparance (ACT-Tanzania), Samson Mwigamba, ameweka hadharani dhamira ya chama hicho kuongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe. Ingawa Mwigamba hakutaja...

 

9 years ago

MillardAyo

Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta

Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]

The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...

 

10 years ago

Michuzi

MWAKILISHI MPYA WA WHO ZANZIBAR ATAMBULISHWA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwakilishi  wa Mpya wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hapa Zanzibar Dr. Andemichael Ghirmay Redae alipofika kutambulishwa na Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Nchini Tanzania Rofaro Chatora (katikati) halfa hiyo ilifanyika leo  Ikulu Mjini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu.] Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza  Mwakilishi  wa Shirika la Afya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Master Mkwasa atambulishwa rasmi

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania Mwesigwa Selestine amemtambulisha kocha Charles Boniface Mkwasa

 

10 years ago

Vijimambo

magufuli atambulishwa kwa wakazi wa DODOMA

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Mhe.John Pombe Magufulu pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia wananchi waliojitokeza kwenye uwanja wa Jamhuri mjini DodomaMhe. Magufuli akiwapa mikono wananchi waliojitokeza kwa wingi kuja kumsalimia na kumuona mgombea huyo wa CCM.Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimu wananchi wa Dodoma kwenye uwanja wa Jamhuri mjini DodomaMgombea wa Urais wa CCM Mhe. John Magufuli akizungumza wakazi wa Dodoma ikiwa sehemu yake...

 

9 years ago

Michuzi

MGOMBEA URAIS WA UKAWA ATAMBULISHWA JIJINI MBEYA LEO

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Edward Lowassa akiwapumbia maelfu ya wafuasi na wapenzi wa vyama vinavyounda UKAWA waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Rwanda Nzovwe, Jijini  Mbeya leo Agosti 14, 2014. Mh. Lowassa na Mgombea mwenza wake Dkt. Juma Haji Duni, walikuwa jijini humo kwa ajili ya zoezi la kutafuta wadhamini wa Tume na kutambulishwa kwa wananchi. Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu"...

 

10 years ago

Vijimambo

MKURUGENZI WA MISS TANZANIA USA MA WINNY CASEY ATAMBULISHWA KWA BALOZI WA CAMEROON NCHINI MAREKANI

Mkurugenzi wa Miss Africa USA na Miss Cameroon Lady Kate akipata picha ya pamoja na mkurugenzi wa Miss Tanzania USA Ma Winny Casey (kulia) siku Lady Kate alipomtambulisha Ma Winny Casey kwa Balozi wa Cameroon nchini Marekami kwenye hafla ndogo iliyofanyika nyumbani kwa Mhe.Jpseph B. C. Foe AtanganaMkurugenzi wa Miss Africa USA na Miss Cameroon Lady Kate akiongea machache kwenye hafla hiyo.Walimbende wa Miss USA Pageant wakimsikiliza mmoja wa waratibu wa mashindano hayo.
H.E. Joseph B. C. Foe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani