Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto atambulishwa ACT 

KATIBU Mkuu wa Chama cha Alliance for Change and Transparance (ACT-Tanzania), Samson Mwigamba, ameweka hadharani dhamira ya chama hicho kuongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe. Ingawa Mwigamba hakutaja...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nomination ya Kora Awards yataka kumtoa machozi Wakazi aliyetajwa kuwania ‘Best Hip Hop Act’

wakazi2

Rapa Webiro Wassira maarufu kama Wakazi ni miongoni mwa wasanii watano wa Tanzania waliochaguliwa kuwania tuzo za Kora 2016 zitakazotolewa mwakani nchini Namibia.

wakazi2

Wakazi anawania kipengele cha ‘Best Hip Hop Act’ akichuana na wakali wengine wa Afrika akiwemo K.O wa Afrika Kusini na Sarkodie wa Ghana.

Baada ya nomination za Kora kutangazwa jana Dec 3, Wakazi alieleza furaha yake na mshituko alioupata baada ya kupokea taarifa ya kuchaguliwa kuwania tuzo hizo za kimataifa.

Katika ujumbe...

 

10 years ago

BBCSwahili

Master Mkwasa atambulishwa rasmi

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania Mwesigwa Selestine amemtambulisha kocha Charles Boniface Mkwasa

 

10 years ago

Michuzi

MWAKILISHI MPYA WA WHO ZANZIBAR ATAMBULISHWA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwakilishi  wa Mpya wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hapa Zanzibar Dr. Andemichael Ghirmay Redae alipofika kutambulishwa na Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Nchini Tanzania Rofaro Chatora (katikati) halfa hiyo ilifanyika leo  Ikulu Mjini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu.] Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza  Mwakilishi  wa Shirika la Afya...

 

10 years ago

Vijimambo

magufuli atambulishwa kwa wakazi wa DODOMA

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Mhe.John Pombe Magufulu pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia wananchi waliojitokeza kwenye uwanja wa Jamhuri mjini DodomaMhe. Magufuli akiwapa mikono wananchi waliojitokeza kwa wingi kuja kumsalimia na kumuona mgombea huyo wa CCM.Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimu wananchi wa Dodoma kwenye uwanja wa Jamhuri mjini DodomaMgombea wa Urais wa CCM Mhe. John Magufuli akizungumza wakazi wa Dodoma ikiwa sehemu yake...

 

10 years ago

GPL

OKWI ATAMBULISHWA KLABU YA SONDERJYSKE YA DENMARK

Aliyekuwa mshambuliaji wa timu ya Simba SC, Emmanuel Okwi ametambulishwa katika klabu ya Sonderjyske inayoshiriki katika ligi kuu ya Denmark.

 

9 years ago

Michuzi

MGOMBEA URAIS WA UKAWA ATAMBULISHWA JIJINI MBEYA LEO

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Edward Lowassa akiwapumbia maelfu ya wafuasi na wapenzi wa vyama vinavyounda UKAWA waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Rwanda Nzovwe, Jijini  Mbeya leo Agosti 14, 2014. Mh. Lowassa na Mgombea mwenza wake Dkt. Juma Haji Duni, walikuwa jijini humo kwa ajili ya zoezi la kutafuta wadhamini wa Tume na kutambulishwa kwa wananchi. Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu"...

 

10 years ago

Vijimambo

MKURUGENZI WA MISS TANZANIA USA MA WINNY CASEY ATAMBULISHWA KWA BALOZI WA CAMEROON NCHINI MAREKANI

Mkurugenzi wa Miss Africa USA na Miss Cameroon Lady Kate akipata picha ya pamoja na mkurugenzi wa Miss Tanzania USA Ma Winny Casey (kulia) siku Lady Kate alipomtambulisha Ma Winny Casey kwa Balozi wa Cameroon nchini Marekami kwenye hafla ndogo iliyofanyika nyumbani kwa Mhe.Jpseph B. C. Foe AtanganaMkurugenzi wa Miss Africa USA na Miss Cameroon Lady Kate akiongea machache kwenye hafla hiyo.Walimbende wa Miss USA Pageant wakimsikiliza mmoja wa waratibu wa mashindano hayo.
H.E. Joseph B. C. Foe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani