Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ole Naisha: Mjadala uanze na vifungu vyenye utata

>“Wafugaji ndiyo wanaoongoza kwa kuwa na changamoto nyingi nchini. Hawana makazi maalumu katika nchi yao na hata rasimu ya Warioba imewasahau.”Ni kauli ya Mjumbe wa Bunge la Katiba, William Ole Naisha (42), ambaye ameteuliwa kupitia kundi la wafugaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Utekelezaji maazimio ya Bunge uanze sasa

Pamoja na ukweli kwamba sakata la kashfa ya akaunti ya Tegeta Escrow kuhusu uchotwaji wa zaidi ya Sh306 bilioni zilizokuwa zimewekwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) halijafikia ukingoni,

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukiwa mjamzito uanze lini kliniki? 

KAMA kawaida tuanze na kishtua mada ambapo washikaji wawili wanajadili jambo fulani na kutuachia ujumbe fulani. Mshikaji 1: Naona huyu rafiki yangu amechanganyikiwa. Mke wake ana ujauzito karibu atajifungua. Nimemkuta...

 

10 years ago

Vijimambo

MHE. SAMWEL SITTA AKUTANA NA WANADMV AFAFANUA VIFUNGU VYA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA

Mhe. Samwel Sitta amewasili nchini Marekani siku ya Jumapili Februari 22, 2015 na baadae jioni kukutana na Watanzania wa DMV na kuwafafanulia vifungu vya katiba iliyopendekezwa hasa kwenye swala la Serikali tatu na kueleza ni kwanini CCM ilipendelea serikali 2 na pia kufafanua swala la uraia pacha ambalo ndio kilio cha Diaspora na kuelezea kwa kina kifungu hicho ndani ya katiba iliyopendekezwa Mtanzania yeyote mwenye uraia wa nchi nyingine atakua na haki kama Mtanzania mwingine ikiwemo...

 

10 years ago

GPL

MHE. SAMWEL SITTA AKUTANA NA WANADMV AFAFANUA VIFUNGU VYA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA‏

Mhe. Samwel Sitta akiongea na mwenyeji wake jambo Mhe. Liberata Mulamula. Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samwel Sitta (kati) akiambatana na mwenyeji wake Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. Liberata Mulamula kuingia kwenye ukumbi wa Tabeer uliopo Hyattsville, Maryland nchini Marekani. …

 

10 years ago

GPL

SIYO LAZIMA UANZE KUFANIKIWA WEWE, TIA MOYO WENGINE!

Ni wiki nyingine tunakutana kupitia safu hii ya Saikolojia, Maisha na Wewe. Natumaini kuwa umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida. Mimi namshukuru Mungu kwa kila jambo lakini kikubwa nimshukuru kwa kunifanya kuwa hivi nilivyo leo.
Ngugu zangu najua fika kwamba kila mtu anatamani mafanikio, kama wapo ambao wanaishi ili mradi siku zinakwenda ni wachache sana! Hii ni kwa sababu mafanikio ni kwa kila...

 

9 years ago

Michuzi

Taarifa rasmi ya Serikali ya Zanzibar kuhusu vifungu vya sheria juu ya uhalali wa Rais kuendelea kuwepo madarakani

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitoa taarifa rasmi ya Serikali kuhusu vifungu vya sheria   juu ya uhalali wa kuendelea kuwepo madarakani Rais wa Zanzibar.Na Othman Khamis Ame, OMPRSerikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imewahakikishia Wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla kwamba Rais aliyepo madarakani hivi sasa ataendelea kushika madaraka ya Urais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi mpaka pale utaratibu wa Kikatiba na Kisheria wa kumpata Rais...

 

10 years ago

Dewji Blog

Njoo uanze week — end yako kwa kusakata Rhumba na Skylight Band leo Thai Village-Masaki

DSC_0015

Divas wa Skylight Band kutoka kushoto Aneth Kushaba AK47, Mary Lucos na Digna Mbepera kwa pamoja wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiwanja chao cha nyumbani Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0016

Mary Lucos akifanya yake jukwaani.

DSC_0005

Hashim Donode a.k.a Mzee wa Kiduku akitoa burudani kwa wapenzi wa Skylight  Band (hawapo pichani) huku akipewa sapoti na Digna Mbepera pamoja na Sam Mapenzi.

DSC_0028

Sam Mapenzi (kulia) sambamba na Sony Masamba (katikati) pamoja na Joniko...

 

9 years ago

GPL

HANA WIVU NA WEWE...HAKUFUATILII...MESEJI MPAKA UANZE WEWE... HUYO ANA MALENGO YAKE!

JAMANI pole na siasa. Naona zimepamba moto karibu kila kona ya nchi yetu ya Tanzania. Basi, wenye siasa zao tuwaachie, sisi tuendelee na mambo yetu.Wiki hii nina mada nzuri sana kwa wawili wanaopendana. Ningependa kila mmoja asome kwa umakini na ajue nini cha kufanya baada ya hapo. Mada inasema...hana wivu na wewe...hakufuatilii...meseji mpaka uanze wewe...Huyo ana malengo yake! Mpenzi wa hivi anaweza hata akawa anakulamba miguu...

 

9 years ago

Michuzi

VIWANJA 53 VYENYE HATI NA NYUMBA VINAUZWA.

1.     Viko Mbweni  usalama  wa  taifa, vina  hati miliki, viko  karibu na  barabara  ya  lami na viko  karibu  na  beach,  vipo  Sqm  600 – 1500, bei  ni  kuanzia  milioni 35 mpaka  45.
2.     Nyumba 3 zinauzwa, zipo Mwananyamala “A”, moja vyumba 12, nyingine vyumba  6 na  nyingine vyumba 4. Zote  zina  leseni  ya  makazi, gari  mpaka mlangoni, umeme  upo. Kila  moja  bei  milioni 65.
3.     Nyumba yenye geti  la  gari, vyumba 4, kimoja master, umeme, sebule, dining, jiko, stoo, na  hati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani