Owen: Hatuna imani na timu yetu ya taifa
Mshambuliaji wa zamani wa England, Michael Owen anaamini kuwa mashabiki wa soka wa nchi yake wamechoshwa na kupoteza imani na timu yao ya taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.



11 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA CHESS YAKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA KWENDA KUSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA NCHINI NORWAY
11 years ago
Mtanzania09 Oct
Taifa letu, fahari yetu
Na Waandishi wetu
RAIS Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein jana wamepokea Katiba inayopendekezwa mjini Dodoma.
Akizungumza katika sherehe zilizofanyika Uwanja wa Jamhuri,Rais Kikwete aliwataka watu ambao hawakuridhika na mchakato wavute subira.
Sherehe hizo zimefanyika huku wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakiwa wamesusia vikao vya Bunge hilo tangu Aprili 16, mwaka huu.
Rais Kikwete aliyeanza kuhutubia saa moja jioni, alisema licha ya uzuri wa...
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Mwananchi25 Aug
Rasimu ya Katiba inataja Tunu za Taifa: Ni nani kati yetu anayezijua!
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Modewjiblog: Tunawatakia upigaji kura mwema Watanzania wote, Amani yetu, Taifa letu !
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[HARARE-ZIMBABWE]
Jumapili ya leo Oktoba 25, 2015, Taifa la Tanzania linafanya Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hatua ambayo wananchi watapiga kura ya NDIO kwa mgombea wanayemtaka wao. Kwa kuzingatia amani na utulivu wetu, Mtandao wa Modewjiblog inaungana na Watanzania wote popote walipo kutakia kila lakheri katika siku hii muhimu na ya kihistoria ambayo utokea mara moja kila...
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
18 wateuliwa timu ya taifa kikapu
SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu (TBF) limeteua makocha wa timu ya taifa itakayoshiriki michuano ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, mapema mwakani. Makocha walioteuliwa ni Evarist Mapunda...
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Kikapu wataja timu ya Taifa