Palestina yalaumiwa kwa utekaji nyara
Waziri mkuu nchini Israel Benjamin Netanyahu amelishtumu kundi la wapiganaji wa Hamas kwa kuwateka nyara vijana watatu wa Israel.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 May
Majeshi ya Hamas yalaumiwa kwa ukatili
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
UN wakishirikiana na Ubalozi wa Palestina wafanya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mshikamano na watu wa Palestina
Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Abdallah Kilima (katikati), Kaimu Balozi wa Palestine Derar Ghannam (kulia) pamoja na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali wakikata utepe kwa ajili ya maonesho ya picha za matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Palestina hiyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na watu wa Palestina yaliyofanyika katika Chuo cha Diplomasia, Kurasini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwKj6jWRIrCNuspO4xOIj-Pyi4sLM*S6Xhlqi266LIVcBlTLeXI4TpZkpj3K49iL67r603eDxsP4TAEGCmtZ-ueh/s.jpg?width=650)
ASAKWA NA POLISI KWA UTEKAJI
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Ahukumiwa kwa utekaji na mauaji
10 years ago
StarTV18 Feb
Utekaji Albino, Hofu yaendelea kutanda kwa jamii.
Na Rogers Willium,
Mwanza.
Wakati jeshi la polisi nchini likihangaika kumtafuta mtoto Pendo Emanuel mwenye ulemavu wa Ngozi baada ya kutekwa na watu wasiofahamika desemba 27 mwaka jana, mtoto mwingine wa mwaka mmoja Yohana Bahati ametekwa mkoani Geita.
Mtoto huyo ametekwa usiku wa kuamkia siku ya jumatatu nyumbani kwao katika kijiji cha Ilelema Wilaya ya Chato na watu wasiofahamika.
Matukio yote haya yanafanyika ndani ya siku 50 na hivyo kuleta hofu katika jamii hususan kwa watu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-31P3tVn6PYE/XrlX50EQpfI/AAAAAAALpzU/SF_bKWEI5_scp7L9qwpYquSzoZpEQ1Z-ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-11%2Bat%2B4.43.50%2BPM.jpeg)
MWANAMKE MBARONI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI NA UTAKATISHAJI FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-31P3tVn6PYE/XrlX50EQpfI/AAAAAAALpzU/SF_bKWEI5_scp7L9qwpYquSzoZpEQ1Z-ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-11%2Bat%2B4.43.50%2BPM.jpeg)
Washtakiwa hao ambao wamesomewa mashtaka yao leo Mei 11, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Rashid Chaungu wanadaiwa kuwa, kati ya Machi 1 na 31, 2020 katika maeneo tofauti Jiji la Dar es Salaam, kwa makusudi waliongoza genge la uhalifu kwa lengo la kujipatia...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Ashikiliwa kwa nyara za Serikali
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Wawili mbaroni kwa nyara za Serikali
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kwRBb2OprEk/VItOQzKa4PI/AAAAAAAG23s/QS4Prxq0XAk/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Mabalozi mbalimbali wakisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein
![](http://2.bp.blogspot.com/-kwRBb2OprEk/VItOQzKa4PI/AAAAAAAG23s/QS4Prxq0XAk/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q8cmQgYykoU/VItORO4d98I/AAAAAAAG23o/zJ2v5sikeOw/s1600/unnamed%2B(37).jpg)