Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeshi ya Hamas yalaumiwa kwa ukatili

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu la Amnesty International limelaumu majeshi ya Hamas huko Gaza kwa ukatili

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Palestina yalaumiwa kwa utekaji nyara

Waziri mkuu nchini Israel Benjamin Netanyahu amelishtumu kundi la wapiganaji wa Hamas kwa kuwateka nyara vijana watatu wa Israel.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yaapa kulipiza kisasi kwa Hamas

Israel imeapa kulipiza kisasi dhidi ya wapiganaji wa Hamas wanaotuhumiwa kuwaua vijana watatu wa Israel

 

11 years ago

BBCSwahili

Facebook yalaumiwa na watumiaji

Facebook imelaumiwa kwa kuwafanyia wateja wake utafiti wa kisaikolojia bila ya kuwajulisha.

 

10 years ago

BBCSwahili

UK yalaumiwa Operesheni dhidi ya IS

Uingereza imelaumiwa kutofanya jitihada za kutosha kupambana na Wanamgambo wa Islamic State

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali ya Tanzania, UNICEF waendesha warsha kwa vyombo vya habari kuzuia ukatili kwa watoto

 

Julieth Swai Mwakilishi kutoka UNICEF akizungumza jambo.

Baadhi ya washiriki wa Warsha wakifuatilia kwa makini.

Mmoja wa  washiriki wakiuliza maswali katika warsha hiyo.

Kimela Bila Mwandaaji wa Kipindi cha Walinde Watoto akizungumza katika Warsha hiyo.

Mathias Haule, Afisa Maendeleo ya Jamii maswala ya Ukatili dhidi ya Watoto kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto akielezea Sheria ya Mtoto.

Neema Kimaro, Mratibu wa kipindi cha Walinde Watoto kutoka True...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU ASISITIZA UMOJA KWA MAJESHI YA AFRIKA MASHARIKI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimina na wachezaji wa timu ya mpira wa Miguu ya Jeshi la Uganda katika kilele cha michuano ya majeshi ya Nchi za Afrika ya Mashariki kwenye uwanja wa Amaan Zanzibar August 29, 2014.. Katika mechi ya kufunga mashindahayo Uganda na Tanzania zilitoka sare ya 1-1. Wapili kulia ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Tanzania, Jenerali Davis Mwamunyange. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema majeshi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika...

 

10 years ago

Michuzi

POLISI WAJIFUA TAYARI KWA MICHUANO YA MAJESHI NCHINI SWAZILAND

Baadhi ya Wanamichezo wa Polisi walioshiriki Michezo ya Wakuu wa Majeshi ya Polisi kusini mwa Afrika mwaka 2013 nchini Namibia. 
Picha na Maktaba ya Polisi.

Na Frank Geofray wa Jeshi la Polisi.Timu za Jeshi la Polisi Tanzania zitakazoshiriki michezo ya Umoja wa Wakuu wa Majeshi ya Polisi kwa nchi za kusini mwa Afrika (SARPCCO),  mwishoni mwa mwezi julai nchini Swaziland zinaendelea kujifua vyema katika  kambi yao inayoendelea katika chuo cha Taaluma ya  Polisi Dar es Salaam (DPA). Akizungumza...

 

9 years ago

BBCSwahili

Shirikisho la Riadha Kenya yalaumiwa

Shirikisho la mchezo wa riadha nchini Kenya yalaumiwa kutochukua hatua dhidi ya wanariadha watundu

 

10 years ago

BBCSwahili

Dunia yalaumiwa kutodhibiti Ebola

Shirika la madaktari wasio na mipaka wameilaumu dunia kwa kuchelewa kuchukua hatua dhidi ya Ebola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani